Naomba orodha ya majina ya Mitume na Manabii ambao waliuawa na Mayahudi kama inavyoekezwa kwenye maandiko

Naomba orodha ya majina ya Mitume na Manabii ambao waliuawa na Mayahudi kama inavyoekezwa kwenye maandiko

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu pamoja na madai kuwa mayahudi wamekuwa wakiua Mitume mara kwa mara, bado Qur'ani tukufu haijataja majina ya mitume hao.

Je ni manabii gani hao ambao Wayahudi wanadaiwa kuwaua?

Je nini madhumuni ya mashambulizi haya ya mara kwa mara dhidi ya Wayahudi?


Nimeweka nukuu hapo chini:

"Hakika tuliweka ahadi na Wana wa Israili, na tukatuma kwao Mitume; kila alipo wajia Mtume kwa yale wasiyoyapenda nafsi zao, baadhi walikanusha, na wengine wanawauwa" S. 5:70


Naombeni tutaje majina ya Mitume au Manabii hao kama wapo pamoja na kuweka nukuu kutoka maandiko husika


Naomba tujadili
 
Tafadhali kama kuna anayejua aliyemtawaza mudi kuwa mtume ni nani atupe muongozo
 
alijipa mwenyewe na alijisilimisha mwenyewe kuwa muislam
hakukuwepo na muislam kabla yake,yeye muislam wa kwanza
Mudi bana hakuishiwa vituko,vipi ile story ya kuwa alikuwa anafuga nguruwe alipokuwa kibaraka wa Bi Hadija ni ya kweli.Maana alikuwa kibaraka kwa Tajiri Bi Hadija na baadae akawa mmewe Bi Hadija
 
Back
Top Bottom