Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Sadaka unatoa mkuu ?Ndio.uislam upo kwenye damu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sadaka unatoa mkuu ?Ndio.uislam upo kwenye damu.
Kuitangaza dini na kuitetea kama hivi ni zaid ya sadaka.Sadaka unatoa mkuu ?
Na ndiye aliyekuwa anamhadithia stori za kwenye Biblia na kumwandikia.
tupia andiko kama ni kweli usemavyo ni sahihi.Alikuwa malaika jibril sio mtu
Zakaria hakuuawa na myahudi aliuawa na Herode ambaye hakuwa myahudiZakaria,
Yahya. N.k
Muhammad hakujua kusoma wala kuandika.ameipata wapi Quran? Kama sio kwa Mungu?tupia andiko kama ni kweli usemavyo ni sahihi.
Halipo, jiulize ni kwanini halipo andiko la msingi kama hilo kwenye Qurani.
Ni uzushi tu.
Alikuwa mtu wa wapiZakaria hakuuawa na myahudi aliuawa na Herode ambaye hakuwa myahudi
Mwarabu mpalestinaAlikuwa mtu wa wapi
na yesu aliuliwa na nani?Mwarabu mpalestina
Wewe umejuaje kama alitokewa na Malaika Gibrili na andiko halipo kwenye Qurani ?Muhammad hakujua kusoma wala kuandika.ameipata wapi Quran? Kama sio kwa Mungu?
Wewe umejuaje kama alitokewa na Malaika Gibrili na andiko halipo kwenye Qurani ?
Tulitafute wapi Hilo andiko.
Kwani Malaika Gibrili alitoka wapi, kama sio kwa Mungu ?Muhammad hakujua kusoma wala kuandika.ameipata wapi Quran? Kama sio kwa Mungu?
Mwamedi alijitawaza nwenyewe kama mitume wa siku hizi wanavyojitawaza kuwa maaskofu!Tafadhali kama kuna anayejua aliyemtawaza mudi kuwa mtume ni nani atupe muongozo
Surat iqra itafuteKwani Malaika Gibrili alitoka wapi, kama sio kwa Mungu ?
Kwanini Hilo andiko halipo, la kutokewa na kuambiwa
Soma.
Nilidhani utaiweka hiyo sura na Aya husika.Surat iqra itafute
Unataka nini tena?Nilidhani utaiweka hiyo sura na Aya husika.
Hapo imedhihirisha bayana kuwa stori ya mtume wako kutokewa na Malaika na kuambiwa "soma" na kupewa utume ni ya uwongo.
Hiyo sura haipo na hilo andiko halipo.
Malaika gani hajitambulishi.
Na mlijuje kuwa katokewa na Malaika wakati hakuna uthibitisho?
Yaani Mariamu anatokewa na Malaika Qurani inaandika kwakuwa ni habari ya ukweli.
Mtume mwenye kupewa kitabu Qurani inashndwa kuthibitisha kutokewa na Malaika.
Hii zi ajabu ya kuwango cha lami...!
.........
قَالَ إِنَّمَا أَنَا رَسُولُ رَبِّكِ لِأَهَبَ لَكِ غُلَامًا زَكِيًّا
(MARYAM - 19)
(Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.
........
Nasubiri andiko Malaika ikimtokea Muhammadi na kumwambia "Soma" na kumwambia kuwa amepewa utume na Mungu.
Huyo Jibriri yuko wapi hapo ?Unataka nini tena?
nadhani kina mwaki naninani watakujibu maana wao ndio mitume wengi wa mchongo, wee uliona wapi kila ukoo una asikofu wake na mtume wake.Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu pamoja na madai kuwa mayahudi wamekuwa wakiua Mitume mara kwa mara, bado Qur'ani tukufu haijataja majina ya mitume hao.
Je ni manabii gani hao ambao Wayahudi wanadaiwa kuwaua?
Je nini madhumuni ya mashambulizi haya ya mara kwa mara dhidi ya Wayahudi?
Nimeweka nukuu hapo chini:
"Hakika tuliweka ahadi na Wana wa Israili, na tukatuma kwao Mitume; kila alipo wajia Mtume kwa yale wasiyoyapenda nafsi zao, baadhi walikanusha, na wengine wanawauwa" S. 5:70
Naombeni tutaje majina ya Mitume au Manabii hao kama wapo pamoja na kuweka nukuu kutoka maandiko husika
Naomba tujadili
Wewe ulishawahi kumuona yesu?Huyo Jibriri yuko wapi hapo ?
Au Aya zote anaongea Jibriri?