Naomba orodha ya majina ya Mitume na Manabii ambao waliuawa na Mayahudi kama inavyoekezwa kwenye maandiko

Naomba orodha ya majina ya Mitume na Manabii ambao waliuawa na Mayahudi kama inavyoekezwa kwenye maandiko

Naskia alitokewa na mtu ambaye hakujitambulisha na kumwambia "Soma"
Unaweza ukatubandikia hapa Hilo andiko?
Au ni stori tu za kwenye Kahawa?
Jamaa hata alikuwa hajui kusoma sijui ilikuwaje wana-mecca walimkubali mtu illiterate kama mudi awaongoze
 
Jamaa hata alikuwa hajui kusoma sijui ilikuwaje wana-mecca walimkubali mtu illiterate kama mudi awaongoze
Walikuwa na hamu ya kumpata mtume ndugu yao Mwarabu.
Na Padri Walaga aliijua hamu yao ndio maana akamtangaza Mwamedi.
Wao walifurahi tu kupata mtume Mwarabu Mwenzao hivyo hawakujali wasifu wake.
Padre alipiga pesa nyingi sana za sadaka.
Akaitimiza Ndoto yake.
Na ndiye aliyekuwa anamhadithia stori za kwenye Biblia na kumwandikia.

Aya kama hii ni Walaga anayeongea hapo.
يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْأَنفَالِ ۖ قُلِ الْأَنفَالُ لِلَّهِ وَالرَّسُولِ ۖ فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَصْلِحُوا ذَاتَ بَيْنِكُمْ ۖ وَأَطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ

[ AL - ANFAAL - 1 ]
Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi Mungu na suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini.
 
Wanapinga tu kwa kuona aibu, mimi ninayo hayo maandiko ila sitaki kuyaweka hapa, sitaki kuwaudhi jamaa zangu ingawa yameandikwa na Waarabu walioshuhidia kwa macho yao na kuyaweka kwenye hadithi wanazo ziita za matendo ya mtume wao.
Duh 🤔
 
Wanapinga tu kwa kuona aibu, mimi ninayo hayo maandiko ila sitaki kuyaweka hapa, sitaki kuwaudhi jamaa zangu ingawa yameandikwa na Waarabu walioshuhidia kwa macho yao na kuyaweka kwenye hadithi wanazo ziita za matendo ya mtume wao.
Gosh!Kumbe ulaji wa denda una historia ndefu kama ni kweli!🙄
 
Back
Top Bottom