Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Kwenye mada straight wadau nataka kuchagua kuvuta jiko hitajika la kuishi nalo nataka mtoto wa pwani nshapata inbox kama 50 chuguo langu nataka chombo Cha pwani,kwenye sampuli kuna wafuatao.
1. Mluguru
2. Mkwere
3.Msagara
4.Mzigua
5. Mzaramo
6.Msambaa
7.Mbondei
8. Mdigo
9. Mjikenda
10. Mkunya
11. Mdengereko
12. Mwera
13. Myao
14. Mmakua
15. Mmakonde.

Binafsi katika upambanaji wangu nimempa namba 1 Myao, 2,Mkwere, 3. Mjikenda.
Naomba tathimini yenu nifanye final

Ruksa kufanya ranking mpya

Karibuni
Mimi ni mchanganyiko wa wa Mhaya na Mnyiha ( Baba Mhaya, mama mnyiha)

Karibuni.
 
Unapendelea nini haswa be specific, kuna makabila yapo vizuri kwenye jambo moja kuliko mengine sasa funguka tujue hitaji kuu tukusaidie kuchagua
Sipendi wa vigoma na shughuli, napenda mkaa kitako mlezi wa watoto, mengine kama uelewa, uvumilivu na heshima hivyo ni kipimo Cha personal dimensions. Nahitaji vile vya kijamii zaidi maana hitaji la mke ni muhimu family yangu niende sawa na jamii
 
Mi nashauri oa mmakonde kwa ajili ya kizazi kipambanaji, jasiri na kisichokata tamaa hapo baadae. Niamini, wamakonde wengi wamekosa elimu na exposure tu (sababu za kihistoria na ukoloni) lakini nakuambia ni watu wenye asili ya mapambano sana na uhangaikaji ndo maana hukosi kuwakuta kwenye kila fursa. Pia wana asili ya ujasiri sana (sio waoga), ndo maana kule kwao simba mharibifu (hata awe zaidi ya mmoja) huwa anazungukwa na kuuliwa na wao wenyewe live. Si wamasai tu wanaoua simba, kuna wamakonde pia ingawa hawasemwi.

Ukipata mke wa kimakonde, ukaenda nae kwa maisha unayoyaongoza wewe kama mume (uliyeelimika, mwenye maono na mchapakazi), watoto ukawawekea msingi bora......nakuapia utakuwa na kizazi kimoja bright hautoamini.

Ukumbusho, wamakonde wana asili ya sanaa pia........
 
Usikute hana hata vinasaba vya uhaya zaidi ya kuwa na ID feki tu [emoji124][emoji3526]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuna ndugu yangu aliyakanyaga alioa kabila la akina Kikwete hawa sijui ndio wakwere. Ndugu yangu mhaya wa kwetu sijui alizuzuka na ule weupe. Mwanamke umbwa kabisa kamharibia watoto. Hajui malezi, hajui kujishughulisha, she is a waste yule mbwa na zaidi naona akamroga ndugu yetu.
 
Kuna ndugu yangu aliyakanyaga alioa kabila la akina Kikwete hawa sijui ndio wakwere. Ndugu yangu mhaya wa kwetu sijui alizuzuka na ule weupe. Mwanamke umbwa kabisa kamharibia watoto. Hajui malezi, hajui kujishughulisha, she is a waste yule mbwa na zaidi naona akamroga ndugu yetu.
Mnapowageuza wanawake kuwa wapambanaji ktk familia hapo ndipo mnapoingia chaka kazi ya mwanamke ni hiyo aliyoitaja mtoa mada hayo mengine peleka uchagani inakogeuzwa ndoa kama Saccos kila mwanandoa ni mtafutaji mwisho wa siku mnaanza kutafutana kuuana ili mali ziwe za mmoja binafsi sifikilii mke mpambanaji hata awe wa Kabila gani wengi wao wakaanza kuzinasa sahau kuhusu kukupetipeti
 
Mi nashauri oa mmakonde kwa ajili ya kizazi kipambanaji, jasiri na kisichokata tamaa hapo baadae. Niamini, wamakonde wengi wamekosa elimu na exposure tu (sababu za kihistoria na ukoloni) lakini nakuambia ni watu wenye asili ya mapambano sana na uhangaikaji ndo maana hukosi kuwakuta kwenye kila fursa. Pia wana asili ya ujasiri sana (sio waoga), ndo maana kule kwao simba mharibifu (hata awe zaidi ya mmoja) huwa anazungukwa na kuuliwa na wao wenyewe live. Si wamasai tu wanaoua simba, kuna wamakonde pia ingawa hawasemwi.

Ukipata mke wa kimakonde, ukaenda nae kwa maisha unayoyaongoza wewe kama mume (uliyeelimika, mwenye maono na mchapakazi), watoto ukawawekea msingi bora......nakuapia utakuwa na kizazi kimoja bright hautoamini.

Ukumbusho, wamakonde wana asili ya sanaa pia........
Umenena kweli tupu mkuu, nilichogundua unajua kuhusu historia, ukiondoa masuala ya kula mapanya, vyura, nyoka na madubwasha mengine ya porini kwenye mawindo yao wamakonde ni majasiri alafu wana asili ya ubishi, hio ni kwa wote sio wanawake sio wanaume, sasa wamatengo ni kinyume chake ndio maana nikasema akimpata mwanamke aliechanganyika na jamii hizo mbili anakua ameokota dodo chini ya mstimu,
 
Back
Top Bottom