Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

Anko wangu kaoa mdengereko 😂😂 habari anayo! Sema maisha yanasonga coz mwanaume ni mpole mno.
Naye ni mhaya anko wako?
Huyu wa kwetu ni mhaya alivamia mtumbwi wa kibwengo cha kikwere kinamchezesha sindimba na kurogwa juu. Pambafu yule mwanamke ingekua kuua sio dhambi nishamuua. Yote tisa mimi nachukia sababu kaharibu watoto, poor parenting. Mitoto haina adabu, shule ni zeros. Mbwa sana yule mwanamke kmmke.
 
Nisikilize Mimi nimekaa pwani zaidi ya miaka 20 iyo mikoa yote Dar, mtwara ,Tanga, bagamoyo (coast regional) ...Nenda kwa msambaa kwa vile wasambaa hawanaga vinasaba vya mambo ya pwani ile fully wako nusu upareni wako vizuri kila kona Wana jamii na trend za uzuri kuanzia rangi mpaka akili wako poa kila sekta elimu, utu Wana mchanganyiko mkubwa na wazungu ndo maana wengi ni washika dini si wakristo wala waislamu ...wanapotoka kuzuri sio wabaguzi .

Tatizo lao wanapenda a mno jiandae kulisha ukoo watakuja timu nzima kipind cha likizo, nimekaa Tanga Kuna boss anaitwa shehoza huyo anapenda ndugu zake na ni agent wa bakhresa biashara zake kajaza ndugu mpaka mlinzi wa geti ni msambaa ...kiwango cha kusaidia ni kikubwa Sana Wana wasambaa.


Mdigo ukiwa mshamba mshamba na mpole anakuzidi akili muone haji manyara yule demu alimshinda maana wanapenda shughuli na wanaridhika mapema ,wanavutia na ni rahisi kutongozwa ukizubaa tu basi imekula kwako...kwa mapishi ndo usiseme
 
Back
Top Bottom