Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

Kati Yao yupo bikra?

Mwenye tako je ++
?
Ata tukushauri vip Najua mwsho wa siku utamuoa mwenye matako makubwa tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kati Yao yupo bikra?

Mwenye tako je ++
?
Ata tukushauri vip Najua mwsho wa siku utamuoa mwenye matako makubwa tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukanda wa pwani hakuna wanawake wenye mizigo ya maana..wengi ni flat skrini na matipwatipwa tu.

Mizigo iko nyanda za juu kusini na kanda ya ziwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Umesema mengi kuhusu ujasiri na uthubutu wa chinga , ila umesahau kuwa jamaa anataka mke .
Wamakonde wana ngoma zao za kimila msondo na mkomange, mwanamke alitefundwa na ngoma hizi anakuwa mwanamke hatari sana kwenye tasnia ya ndoa , mosi anajiamini sana maana anakuwa anajua mapenzi , pili anakuwa na dharau sana maana ni rahisi sana kumteka mwanaume yoyote timamu, na tatu huwa hawatuliii
Sishauri makonde kwa lengo la ndoa , ila kama lengo ni kukidhi sexual fantacies, wako vizuri sana .
 
Kaulize tena vizuri alokusimulia kakuingiza chaka mkuu Wamakonde hawana Msondo wala Mkomange wao wanacho kitu kinaitwa Chiputu kwa watoto wadogo wa kike Huo (Mkomange) Usahihi ni Mkomango wanao wamakua au Wamwera kama sijakosea na Chiputu hakiathiri tabia kwa kuwa ni jambo wanalolifanya watoto wakiwa na umri wa miaka mi4 hadi 6 huwa hawafunzwi chochote kunako mambo ya kikubwa
 
Uko sahihi mkuu.
 
Unaweza ukawa sahihi sana , ila msondo na huo mkomango ndio ngoma za kimila zilizotawala mkoa wa mtwara,
Mila za kimakonde hazijasambaa sana kwenye makabila ya wamwera na wamakua , ila desturi za kimwera zimeingia sana kwa wamakonde na ndio swaga za mkoa huo.
 
Mi nimezubgumzia mke kiongozi,.....wa kujenga nae familia. Hizo habari zingine hizo yakupasa kuwa makini kweli kuzisikiliza; kama hujaishi na wamakonde, unaweza kuogopa hata kuwasalimia. Ukweli ni 2% na uzushi ni 98%
 
Hata hayo machakula ya kichina siyo wamakonde wote wenye kutumia.....sana sana ni ile jamii inayotambulika km wamawia (wana asili ya msumbiji) na hata huko kwa wamakonde wenyewe huwa wanakawaida ya kujitenga kabisaa. Isitoshe siku hz desturi hizo zimeondoka kwa kasi sana!
 
Kkmmk tuko wengi,nina mzigo natamani Hadi kuukopesha kama CR7,haukopesheki,watoto kaharibu na ni mwanga pia
 
Wamakonde wana ngoma zao za kimila msondo na mkomange
Ngoma za wamakonde ni Nganga, Nsakata, Msondo, Likuti, Mikoli, Nakudunda, Mapiku, Mangoti, Singenge, Ntengu, Nkala na Sindimba

Hupenda haki muda wote ila ni wepesi wa hasira endapo utawazingua, kiufupi ni hivyo tu
 
wewe unadai unataka mwanamke wa pwani (pembezoni mwa bahari), lakini inaonekana hata makabila ya pwani huyajui! vizuri.
 
Wewe unafikiri kwa nini Kikwete hakuoa kwao! Sasa wewe unaenda kuvamia tu.
 
Sijamaanisha kutafuta rizki. Labda sikutumia Kiswahili kizuri. Namaanisha hawajibiki hajigusi ndani ya nyumba. Ni vivu, mharibifu, mfujaji, mshenzi, roho roho mbaya n.k
Anko wangu kaoa mdengereko 😂😂 habari anayo! Sema maisha yanasonga coz mwanaume ni mpole mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…