- Thread starter
- #21
Ina maana wafuasi wake mlitudanganya?!!!Kama ipo ilete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana wafuasi wake mlitudanganya?!!!Kama ipo ilete
We ndo hujielewi,hujui umeandika nini na unatetea niniIna maana wafuasi wake mlitudanganya?!!!
Mbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!We ndo hujielewi,hujui umeandika nini na unatetea nini
We ndo hujielewi,ulitakiwa ufanye utafiti kwanza,kabla ya kuahadaika na walichosema mashabiki wa LissuMbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!
Mwacheni Marehemu apumzike kwanza Lissu kafanya mambo Makubwa katika nchi hii na Taarifa za lissu kwenda katika kaburi la Magufuli zilipostiwa na Ccm na Uvccm na sio Taarifa rasmi kutoka Chadema unaweza muuliza Pascal Mayalla kwa ufafanuzi zaidi Asante.Mbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!
Hizo habari hapa JF zililetwa na wafuasi wa Marehemu Magufuli na sio LissuWe ndo hujielewi,ulitakiwa ufanye utafiti kwanza,kabla ya kuahadaika na walichosema mashabiki wa Lissu
Mtu mpumbvu akikushauri,nawe ukakubari we ndo mpumbavu zaidi
Ulitakiwa uusome ule uzi wa mkutano wa Tungu Lissu,unukuu maneno yake yeye mwenyewe ya kinywa chake
Na siyo maneno ya wafuasi wake
Whatever,hakuna sehemu Lissu alisema atahiji kaburi la JPMHizo habari hapa JF zililetwa na wafuasi wa Marehemu Magufuli na sio Lissu
Absolutely nothing elseWhatever,hakuna sehemu Lissu alisema atahiji kaburi la JPM
Duh...!. haya bana!.Mwacheni Marehemu apumzike kwanza Lissu kafanya mambo Makubwa katika nchi hii na Taarifa za lissu kwenda katika kaburi la Magufuli zilipostiwa na Ccm na Uvccm na sio Taarifa rasmi kutoka Chadema unaweza muuliza Pascal Mayalla kwa ufafanuzi zaidi Asante.
Mbona unaonekana umestuka kaka?!!!!🤣🤣🤣Duh...!. haya bana!.
P
Watu mlileta Hadi video humu Sasa mnakana. Lazima ashitukeMbona unaonekana umestuka kaka?!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kauli ya Lissu ilikuwa Game Plan tu , hakuwahi hata kuwa na wazo la kufanya hivyoJamaa yako kumbe alikataliwa?[emoji1787]
Weka hapa kipande cha video cha TL akitamka kuwa atakwenda kwenye kaburi la JPM.Duuuu!!
Zikitumwa nitag 😂Mshtue Erythrocyte atakuwa anazo🤣🤣.
Najua utatetea maujinga ya Lissu.Kauli ya Lissu ilikuwa Game Plan tu , hakuwahi hata kuwa na wazo la kufanya hivyo