Naomba picha za Tundu Lissu akihiji kaburi la marehemu Hayati Magufuli

Naomba picha za Tundu Lissu akihiji kaburi la marehemu Hayati Magufuli

We ndo hujielewi,hujui umeandika nini na unatetea nini
Mbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!
 
Mbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!
We ndo hujielewi,ulitakiwa ufanye utafiti kwanza,kabla ya kuahadaika na walichosema mashabiki wa Lissu

Mtu mpumbvu akikushauri,nawe ukakubari we ndo mpumbavu zaidi

Ulitakiwa uusome ule uzi wa mkutano wa Tungu Lissu,unukuu maneno yake yeye mwenyewe ya kinywa chake

Na siyo maneno ya wafuasi wake
 
Mbona mkali mkuu?!! Nilichoandika mbona kipo rahisi tu; nimeomba picha tu za lissu akihiji kaburi la jpm kama tulivyohabarishwa. Kuna ugumu gani hapo ewe kamanda wetu wa jf?!!!
Mwacheni Marehemu apumzike kwanza Lissu kafanya mambo Makubwa katika nchi hii na Taarifa za lissu kwenda katika kaburi la Magufuli zilipostiwa na Ccm na Uvccm na sio Taarifa rasmi kutoka Chadema unaweza muuliza Pascal Mayalla kwa ufafanuzi zaidi Asante.
 
We ndo hujielewi,ulitakiwa ufanye utafiti kwanza,kabla ya kuahadaika na walichosema mashabiki wa Lissu

Mtu mpumbvu akikushauri,nawe ukakubari we ndo mpumbavu zaidi

Ulitakiwa uusome ule uzi wa mkutano wa Tungu Lissu,unukuu maneno yake yeye mwenyewe ya kinywa chake

Na siyo maneno ya wafuasi wake
Hizo habari hapa JF zililetwa na wafuasi wa Marehemu Magufuli na sio Lissu
 
Back
Top Bottom