Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

Nashindwa kuelewa kuwa hivi Waafrika tumelogwa? Unashangilia tu kusikia "kanisa la Roma" je kanisa la Afrika ni lipi?
 
We jamaa huoni kuwa umeandika ujinga? Huyo Mungu wenu mbona sasa aliwaacha waafrika nyakati zote? Unatetea upumbavu wa imani kuona kuwa huyo mungu mbaguzi alibaki na wazungu tuu akawaacha waafrika siku zote kabla? Mungu wa wazungu ni mungu wa mchongo sana
 
Maine mwanamalundi
 
Dini zote kubwa zilizokubaliwa Dunia nzima ni kutoka middle East and Asia, yaani Ibrahim Ibrahimic RELIGIOUS BELIEFS, CHRISTIANITY, ISLAMIC AND JEWISM/JUDAISM
Kwahiyo Siyo wazungu walioanzisha Kama mnavyodhani, Lakini huu ni wakati ambao WATU WANAMWABUDU MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI, siyo Dini inayo m DEFINE mtu kuwa mwenye dhambi au la,
Tubu DHAMBI uokoke ungalipo hai [emoji91][emoji91]
 
East africa tu kuungana tumeshindwa ndo tutaweza ungana na kuwa na imani na dini moja?
Iweje tuwe na Imani moja wazaramo na wanyakyusa,kwa mzaramo unaweza kuoa na kuishi na mkeo, kwa Baba mkwe, Lakini kwa wanyakyusa ni mwiko,
 
Kwani Yesu aliposalitiwa alishinda? Si aliuawa msalabani au mimi ndo sijui? Hata Mwanamalundi alisalitiwa ila kifo chake pia kiliacha alama kubwa juu ya hatma yake
 
Basi kwa ufupi Uislamu ni Uarabu na Ukristu ni uzungu. Sasa wewe Mwafrika unadandia tu imani za watu.
 
Kwani Yesu aliposalitiwa alishinda? Si aliuawa msalabani au mimi ndo sijui? Hata Mwanamalundi alisalitiwa ila kifo chake pia kiliacha alama kubwa juu ya hatma yake
Hiyo story ina mapokeo tofauti mfano Waislam hawaamini kuwa alikufa msalabani

Na Wakristo wenyewe wanaamini kuwa alinyanyuliwa kwenda mbinguni either way alitoboa

Nambie kuhusu hatma ya kinjekitile
 
Hiyo story ina mapokeo tofauti mfano Waislam hawaamini kuwa alikufa msalabani

Na Wakristo wenyewe wanaamini kuwa alinyanyuliwa kwenda mbinguni either way alitoboa

Nambie kuhusu hatma ya kinjekitile
Akina Stefano waliuawa na ikaisha. Sijasema Mwanamalundi ndiye Yesu wetu ila nimesema fate yake ilikuwa bora pia kama ya Yesu. Alihubiri upendo na wema pia ndo maana alipendwa. Yeye alifanya mengi maisha yake yote
 
Msikikilize msomi, Profesa Rudolph Ware, aliyefanya tafiti kuhusu dini Afrika:

 
of what use? Nilidhani tuungane tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etc za african brand/flavour, bado tu mko kwenye dini!
Ndio tungeanzia dini tuje huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…