"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu cha kizungu kilishakufa alipangiwa masaki na hiko kibabu, baada ya miezi miwili mwamba akapewa tena dola buku mbili, kwa utamu wa hela si akalegeza, pewa sana viuno demu akanasa [emoji23]
Wakati huo mwamba anajenga Goba na ana kiwanja Kigamboni. unfortunately alisha chumbia tayari demu wake aliyempenda si akampiga chini.
Mshkaji tupo taasisi moja ya fedha.
Leo hii mwanangu anahenya, anajuta, katepeta, mwanamke kamkalia kooni kinoma ishu za child support...demu alikuja hq customer care pale kumuulizia akajibiwa hayupo ila alikuwepo lakini aliashatoa taarifa akiuliziwa waseme hayupo, kumbe alimuona asubuhi wakati anaingia alileta bonge la vurugu mbele ya wateja full matusi na kumtaja jina mwamba akidai child support haitoshi mpaka askari na security wa galdaworld wakaja mbeba juu juu...ilikuwa taharuki na noma sana, mwamba alichezea warning letter moja nzito sana toka kwa HR.
"Tulimwambia be careful with this woman before"
akaona kama kaokota dodo mchangani, zile dola zilimtoa akili akaona kapata mtoto wa bill gates... [emoji23][emoji23]
Wakati umeme wa mgao juzi kati demu anadai watoto hawalali joto ndani anataka jenereta, mara 500k kwa mwezi haitoshi, anatumia house maid wawili wa nyumba na wa watoto tu, demu hataki kukaa uswahilini, anataka apartments mbweni baada ya masaki kodi kuisha na kuona hawezi mudu tena, akiona nyumba haileweki anataka jamaa atafute nyumba nyingine haraka, bado hataki school bus ipeleke watoto shule bali anunuliwe gari IST apeleke mwenyewe wanae shuleni hawaamini school bus driver, bado matusi mazito hela ya matumizi ikichelewa...[emoji23][emoji23]
Central police & Oysterbay police mwamba kutwa kwenye dawati la jinsia na yule demu...!
Ila hawa viumbe hawa Mungu tu ndio anajua nia yao wakati wanakutaka....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Badae anakubadilikia na kwakua ni Siri atakutishia kwenda kumwambia mkeo,, ukijaribu kumzuia anakupa mashart ya kutekeleza kabla hajakisanua,, hapo ndo kipindi utakachoona ni dizai gan pesa inapitia kwako kama daraja tu
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Hiyo kauli ya mwisho sikuielewa mwanzo ila nilivyorudia kusoma nikaelewa...aisee wanawake hawa hela yako utaishia kuigusaa tuu ilee inasepaa
 
Wadada wa mjini ndiyo zao, wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So, anakuambia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo wakulungwa. Ukijichanganya ukazaa naye utajuta.

Kabla, bibie hufanya risk assessment (Cost-Benefit Analysis) kulingana na kipato chako. Hawaji kichwa-kichwa, so kama huna hela hawa utawasikia kwa wenye hela tu.

Siku analianzisha unashangaa hivi huyu si ndiyo alisema hatanisumbua?

View attachment 1677228
Nimekubali sana hii kweli kabisa hufanya risk assessment (Cost-Benefit Analysis) kulingana na kipato chako. Wanajua hapo ukikataa mkienda mahakamani atapata matunzo ya kutosha. Mimba za maskini wanazipiga abortion au P2 tu.
 
Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu cha kizungu kilishakufa alipangiwa masaki na hiko kibabu, baada ya miezi miwili mwamba akapewa tena dola buku mbili, kwa utamu wa hela si akalegeza, pewa sana viuno demu akanasa [emoji23]
Wakati huo mwamba anajenga Goba na ana kiwanja Kigamboni. unfortunately alisha chumbia tayari demu wake aliyempenda si akampiga chini.
Mshkaji tupo taasisi moja ya fedha.
Leo hii mwanangu anahenya, anajuta, katepeta, mwanamke kamkalia kooni kinoma ishu za child support...demu alikuja hq customer care pale kumuulizia akajibiwa hayupo ila alikuwepo lakini aliashatoa taarifa akiuliziwa waseme hayupo, kumbe alimuona asubuhi wakati anaingia alileta bonge la vurugu mbele ya wateja full matusi na kumtaja jina mwamba akidai child support haitoshi mpaka askari na security wa galdaworld wakaja mbeba juu juu...ilikuwa taharuki na noma sana, mwamba alichezea warning letter moja nzito sana toka kwa HR.
"Tulimwambia be careful with this woman before"
akaona kama kaokota dodo mchangani, zile dola zilimtoa akili akaona kapata mtoto wa bill gates... [emoji23][emoji23]
Wakati umeme wa mgao juzi kati demu anadai watoto hawalali joto ndani anataka jenereta, mara 500k kwa mwezi haitoshi, anatumia house maid wawili wa nyumba na wa watoto tu, demu hataki kukaa uswahilini, anataka apartments mbweni baada ya masaki kodi kuisha na kuona hawezi mudu tena, akiona nyumba haileweki anataka jamaa atafute nyumba nyingine haraka, bado hataki school bus ipeleke watoto shule bali anunuliwe gari IST apeleke mwenyewe wanae shuleni hawaamini school bus driver, bado matusi mazito hela ya matumizi ikichelewa...[emoji23][emoji23]
Central police & Oysterbay police mwamba kutwa kwenye dawati la jinsia na yule demu...!
Ila hawa viumbe hawa Mungu tu ndio anajua nia yao wakati wanakutaka....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
😀 😀 😀 😀aisee mwanamke akikwambia tunazaa tu ntalea kimbia ufeeee...usigeuke nyuma kabisa akiona kuna maslahii mwisho wake mbayaa yani utasotaaa balaaaa.. huyo jamaa ako awe mvumilivu ndo zile kesi mtu anaua mzazi mwenzie ili mradi achukue mtoto apumzike keroo za mwanamke aliezaa nae.
 
Wengi wako hivyo lakini kila theory haikosi kuwa na exceptions zake.

Wapo wanawake wachache ambao wanapowaambiwa kuwa umpe mbegu azae na hatakusumbua kutaka hela ya matunzo ya mimba na mtoto wanamaanisha na hawajikuwasumbua Kweli.

Muhimu angalieni financial freedom ya huyo mwanamke, je anafanya kazi ambayo ni sustainable?

Au ni vijihela vya msimu amembomu mtu mahali ?

Wewe mwanamke mfano ni mfanyabiashara mkubwa au anafanya kazi UN au bank kuu mfano unazani atakuwa na muda wa kusumbua wanaume hela ya malezi ya mtoto? Hapana.
 
Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu cha kizungu kilishakufa alipangiwa masaki na hiko kibabu, baada ya miezi miwili mwamba akapewa tena dola buku mbili, kwa utamu wa hela si akalegeza, pewa sana viuno demu akanasa [emoji23]
Wakati huo mwamba anajenga Goba na ana kiwanja Kigamboni. unfortunately alisha chumbia tayari demu wake aliyempenda si akampiga chini.
Mshkaji tupo taasisi moja ya fedha.
Leo hii mwanangu anahenya, anajuta, katepeta, mwanamke kamkalia kooni kinoma ishu za child support...demu alikuja hq customer care pale kumuulizia akajibiwa hayupo ila alikuwepo lakini aliashatoa taarifa akiuliziwa waseme hayupo, kumbe alimuona asubuhi wakati anaingia alileta bonge la vurugu mbele ya wateja full matusi na kumtaja jina mwamba akidai child support haitoshi mpaka askari na security wa galdaworld wakaja mbeba juu juu...ilikuwa taharuki na noma sana, mwamba alichezea warning letter moja nzito sana toka kwa HR.
"Tulimwambia be careful with this woman before"
akaona kama kaokota dodo mchangani, zile dola zilimtoa akili akaona kapata mtoto wa bill gates... [emoji23][emoji23]
Wakati umeme wa mgao juzi kati demu anadai watoto hawalali joto ndani anataka jenereta, mara 500k kwa mwezi haitoshi, anatumia house maid wawili wa nyumba na wa watoto tu, demu hataki kukaa uswahilini, anataka apartments mbweni baada ya masaki kodi kuisha na kuona hawezi mudu tena, akiona nyumba haileweki anataka jamaa atafute nyumba nyingine haraka, bado hataki school bus ipeleke watoto shule bali anunuliwe gari IST apeleke mwenyewe wanae shuleni hawaamini school bus driver, bado matusi mazito hela ya matumizi ikichelewa...[emoji23][emoji23]
Central police & Oysterbay police mwamba kutwa kwenye dawati la jinsia na yule demu...!
Ila hawa viumbe hawa Mungu tu ndio anajua nia yao wakati wanakutaka....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aende ustawi wa jamii wakayaweke sawa kisheria.
Hizi drama zitaisha.
Hakuna sheria inayokutaka wewe ndio uwe mtoaji wa kila kitu kwa mwanamke ambaye sio mkeo .
Mnachangia
Tunawaoneaga huruma tu.
 
Aende ustawi wa jamii wakayaweke sawa kisheria.
Hizi drama zitaisha.
Hakuna sheria inayokutaka wewe ndio uwe mtoaji wa kila kitu kwa mwanamke ambaye sio mkeo .
Mnachangia
Tunawaoneaga huruma tu.
Point. Co-parenting kama kiasi ni 89,000 TSH kwa mwezi basi ni 89,000/2= 44,500 TSH kwa mwezi kwa kila mzazi
 
Back
Top Bottom