"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Muhimu ni kufanya economic assessment sufficiently ya huyo mwanamke.

Je is it foreseeable?

Je Kuna going concern ya economic activities zake ?

Je ni mtu wa hila au nia njema?

Je unapata kibali ndani yako ?
 
Bora hata hao wanaosema maana wengi huzitegesha tu .

Na kutegesha mimba ili uolewe au uwe unalipwa ruzuku ya malezi ya mtoto .

Nayo ni ku take risk coz wanawake wengi wanaishia kutelekezwa sababu ya kuzani unamuwahi Mwanaume Kwa kumtegeshea.

Na Kuna wanawake wameolewa sababu ya kutegeshea mimba pia .

Though wakifika huko ndoani ni kimbembe maana unakuta Mwanaume alikuwa hajapenda kivile ila alilazimika tu sababu ya mimba au mtoto tu.
 
Inakuwaje unajua huyu ni mume wa mtu afuu unaomba kuzaa naye....sikutesa watoto jaman
 
Akitaka azae ns mimi na hatonisumbua yani tunaandikishiana na Mwanasheria wangu na wake akiwa naye awepo. Yani ikiwezekana hadi nyongeza ya Wenyeviti wa Serikali ya Mtaa wawepo ili tusaini Mkataba vizuri. Hapo hatotoboa
 
Akitaka azae ns mimi na hatonisumbua yani tunaandikishiana na Mwanasheria wangu na wake akiwa naye awepo. Yani ikiwezekana hadi nyongeza ya Wenyeviti wa Serikali ya Mtaa wawepo ili tusaini Mkataba vizuri. Hapo hatotoboa
Mkifika mahakamani mnaanza Moja,
Na sheria za nchi yetu Hii kitu kwenye Katibaa haitambuliki, Ndipo UTAJUA HUJUI
 
Mimi nafikiri kuwa nilitegeshewa kabisa mwanamke alinizungusha sana kuna siku nikamwambia nakuja mkoa x na yeye alikuwa kwenye mkoa huo.

Nilichelewa kufika kwenye mkoa kulingana na mda niliyotarajia. Ila alinisubiri tukaonana tukaongozana kwenye Lodge niliyofikia.

Nikaona leo huyu binti amenizungusha sana Leo simuachi, kweli nikapewa akaondoka maana usiku ulikiwa umeingia na nyumbani kwao wakaanza kupiga simu.

Kwa sababu nilikuwa napita naenda mkoa mwingine kuna kazi nilikuwa nafanya nikamwambia njoo kweli kadanganya huko kaja.

Siku hiyo nimejilia mara kasema anasikia sijui bleed nikamwambia nunu pedi mimi nikasepa kwenye kazi jioni narudi hamna cha bleed kabisa.

Baada ya mwezi naambiwa nina mimba nilipigwa na butwaa na akasema hajalala na mtu mwingine zaidi yangu. Nyumbani kwao wakacharuka wakamfukuza aende kwa aliyempa mimba.

Ikibidi nimwambie atafute chumba nikalipia na kununua vyombo vya kuanzia .

Ikafika muda wa kujifungua cha ajabu akajifungua mwezi mmoja kabla ya tarehe za kawaida nikamuliza imekuwaje kama mimba ni ya kwangu mbona imekuwa hinyo kakomaa mimba ni yangu kama huamini tupome DNA.

Nikawa natowa matumizi hivyo hivyo mpaka sasa mtoto ni mkubwa na walipoona mtoto amekuwa mkubwa wakamrudisha kwao mpaka sasa yupo kwao na nendelea kugharamia kwa matumizi.

Mpaka huwa najiuliza sana lakini sipati majibu huyu mwanamke aliwaza nini

Mtoto sasa hivi ni mkubwa na hana hata chembe ya kufanana na mimi wala hata watoto wangu ila nimeamua kutoa matumizi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nafikiri kuwa nilitegeshewa kabisa mwanamke alinizungusha sana kuna siku nikamwambia nakuja mkoa x na yeye alikuwa kwenye mkoa huo.

Nilichelewa kufika kwenye mkoa kulingana na mda niliyotarajia. Ila alinisubiri tukaonana tukaongozana kwenye Lodge niliyofikia.

Nikaona leo huyu binti amenizungusha sana Leo simuachi, kweli nikapewa akaondoka maana usiku ulikiwa umeingia na nyumbani kwao wakaanza kupiga simu.

Kwa sababu nilikuwa napita naenda mkoa mwingine kuna kazi nilikuwa nafanya nikamwambia njoo kweli kadanganya huko kaja.

Siku hiyo nimejilia mara kasema anasikia sijui bleed nikamwambia nunu pedi mimi nikasepa kwenye kazi jioni narudi hamna cha bleed kabisa.

Baada ya mwezi naambiwa nina mimba nilipigwa na butwaa na akasema hajalala na mtu mwingine zaidi yangu. Nyumbani kwao wakacharuka wakamfukuza aende kwa aliyempa mimba.

Ikibidi nimwambie atafute chumba nikalipia na kununua vyombo vya kuanzia .

Ikafika muda wa kujifungua cha ajabu akajifungua mwezi mmoja kabla ya tarehe za kawaida nikamuliza imekuwaje kama mimba ni ya kwangu mbona imekuwa hinyo kakomaa mimba ni yangu kama huamini tupome DNA.

Nikawa natowa matumizi hivyo hivyo mpaka sasa mtoto ni mkubwa na walipoona mtoto amekuwa mkubwa wakamrudisha kwao mpaka sasa yupo kwao na nendelea kugharamia kwa matumizi.

Mpaka huwa najiuliza sana lakini sipati majibu huyu mwanamke aliwaza nini

Mtoto sasa hivi ni mkubwa na hana hata chembe ya kufanana na mimi wala hata watoto wangu ila nimeamua kutoa matumizi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ashapigwa uko,
anatafuta kukuangushia jumba bovu
 
Mimi nafikiri kuwa nilitegeshewa kabisa mwanamke alinizungusha sana kuna siku nikamwambia nakuja mkoa x na yeye alikuwa kwenye mkoa huo.

Nilichelewa kufika kwenye mkoa kulingana na mda niliyotarajia. Ila alinisubiri tukaonana tukaongozana kwenye Lodge niliyofikia.

Nikaona leo huyu binti amenizungusha sana Leo simuachi, kweli nikapewa akaondoka maana usiku ulikiwa umeingia na nyumbani kwao wakaanza kupiga simu.

Kwa sababu nilikuwa napita naenda mkoa mwingine kuna kazi nilikuwa nafanya nikamwambia njoo kweli kadanganya huko kaja.

Siku hiyo nimejilia mara kasema anasikia sijui bleed nikamwambia nunu pedi mimi nikasepa kwenye kazi jioni narudi hamna cha bleed kabisa.

Baada ya mwezi naambiwa nina mimba nilipigwa na butwaa na akasema hajalala na mtu mwingine zaidi yangu. Nyumbani kwao wakacharuka wakamfukuza aende kwa aliyempa mimba.

Ikibidi nimwambie atafute chumba nikalipia na kununua vyombo vya kuanzia .

Ikafika muda wa kujifungua cha ajabu akajifungua mwezi mmoja kabla ya tarehe za kawaida nikamuliza imekuwaje kama mimba ni ya kwangu mbona imekuwa hinyo kakomaa mimba ni yangu kama huamini tupome DNA.

Nikawa natowa matumizi hivyo hivyo mpaka sasa mtoto ni mkubwa na walipoona mtoto amekuwa mkubwa wakamrudisha kwao mpaka sasa yupo kwao na nendelea kugharamia kwa matumizi.

Mpaka huwa najiuliza sana lakini sipati majibu huyu mwanamke aliwaza nini

Mtoto sasa hivi ni mkubwa na hana hata chembe ya kufanana na mimi wala hata watoto wangu ila nimeamua kutoa matumizi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sorry Mr Bushoke
 
Back
Top Bottom