Ramo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,818
- 1,824
Aisee,unabahati sana ..ukiona mwanamke anakutafuta Kwa kutumia gharama kubwa ujue kuna kitu hakipo sawa hapo...
Kuna mmoja aliniwekea ofa ya kiwanja Kigamboni, mara naanza kusikia stori za kaungua, ikabidi nivute handbrake mwaka wa tatu saivi najitafakari mbele trafiki, nimevuka zebra na sina bima [emoji23][emoji23][emoji23]