Vipi iliyokaa hivi? 'Nizalie mtoto nitawapa matunzo'Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa Wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So anakuanbia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla Bibie hufanya Risk assessment (Cost-Benefit Analysis) kulingana na kipato chako, hawaji kichwa-kichwa, so kama Huna hela hawa utawasikia kwa wenye hela tu.
NB: siku analianzisha unashangaa hivi huyu si ndo alisema hatanisumbua?
Na ww unaingia mzima mzima kavu!Vipi iliyokaa hivi? 'Nizalie mtoto nitawapa matunzo'
Huu utapeli uko pande zote!
Wadada wanataka security ya kuishi Mjini (Kodi, IST na Bata)Kuzaa na Mme wa mtu ni ujuha wa hali ya juu
Ni ujuha tuWadada wanataka security ya kuishi Mjini (Kodi, IST na Bata)
Simple eeh!? Hivi unajua gharama za kutunza mtoto hapa mjini? Au unahisi utamchemshia madida siku nzima na kumfunga visepe kama mtoto wa mjomba wako hapo Mgeta?Yaaani wanaume ndio tumefikia huku tunaogopa watoto saizi.....hahahahahahaha kweli shetani yupo kazini. Mbona simple tu akitaka mtoto mpe na hakikisha anakua chini ya himaya yako kama hataki asepe...tatizo lenu mnawachekea chekea sana be a man with voice. Mbona babu zenu waliweza....acheni ushoga
Kwani condom shilingi ngapi?Simple eeh!? Hivi unajua gharama za kutunza mtoto hapa mjini? Au unahisi utamchemshia madida siku nzima na kumfunga visepe kama mtoto wa mjomba wako hapo Mgeta?
Yanini Condom...samaki watarushwa ufukweni tu 😂😂😂Kwani condom shilingi ngapi?
Hawatakagi kondomu haoKwani condom shilingi ngapi?
Kwa kipi ulichonacho?Mimi kuna mwanamke aliniambia nikimpa mimba ,ataninunulia nyumba aisee.,!..Ila nilikataa.