"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Vipi iliyokaa hivi? 'Nizalie mtoto nitawapa matunzo'
Huu utapeli uko pande zote!
 
Simple eeh!? Hivi unajua gharama za kutunza mtoto hapa mjini? Au unahisi utamchemshia madida siku nzima na kumfunga visepe kama mtoto wa mjomba wako hapo Mgeta?
 
Mimi kuna mwanamke aliniambia nikimpa mimba ,ataninunulia nyumba aisee.,!..Ila nilikataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…