Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Land Rover Discovery TD5

Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Land Rover Discovery TD5

Mwaka 2016 kuna jamaa alinipa Nissan Patrol yake nimsaidie kutafuta wateja. Nilikaa nayo for one month kabla ya kuuza. Aisee Nissan Patrol ni gari hasa na utaifurahia zaidi ukipita off road.
Hiyo ni gari matata, ukiwa na masafa marefu utaifurahia, huwa ukipiga spidi kali inachutama.
Naipenda sana, nafikiria kuisaka upya
 
YEs mkuu! Land Cruiser 80 series ni gari ya ndoto yangu hasa upate Manual Turbo Diesel ila sasa hazipatikani now days na hata ukiipata bei yake imechangamka kidogo compare to Discovery.
Land Cruiser 80 or even 60 Series Ilikua chaguo langu ila kuzipata kwa bei hiyo ni nadra sana
Hio chuma ni respect mkuu lazma nije kuinunua ikae garage kwangu kama classic ride for the Love of Land Cruisers!

Cha kufanya ningekuwa yeye ningemvua mtu hapa hapa bongo na kwa hio budget aliyonayo jamaa almost 27M inatosha kui re-new kabisa akaitwanga bull bar na BF-Goodrich za maana. Piga mufller ya uhakika ndani ma entertainment kidogo na mu uphostlery. Ikikamilika chuma inasoma namba B ila imenyooka kama imetoka dukani. Uzuri ma spare parts yake kibao na yanaingiliana na ya Toyota coaster.

Bongo 80 series zipo nyingi mbona ila kwa ilionyooka body anaipata kwa 15M tu. Engine zake ni za uhakika hata ukikuta body imechoka kwa engine ya 1Hz ni kama jeans. Hata akipata ya 1HD-FTE nayo makini sana.

Kiukweli 80 series is one of the iconic Landcruisers ever to be made mzee. Nakumbuka tulikuwa tuna cruise na moja ya kitengo kwa Mshua. Dereva wake Mr.Uledi alikuwa na mbwembwe sana akiikalia mashine anavyoipigisha kinanda stick shifter 1Hz ndani ya straight pipe mashine inamwaga mkwara mzito. Hapo akiitupa na reverse design kama anaigeuza aondoke zake sasa utapenda zilee...Peeep!!! mmh mmh mmh mmh!
 
Extrovert,
Hii ni moja kati ya series bora zaidi za Land Cruiser. Navizia Japan huwa zinatoka mara chache sana hasa be forward ama trade car view.

Shida nyingi zinakua Auto transmission kitu ambacho siwezi. Kwa gari kubwa kama hizi hasa Diesel napenda Manual gear.

Ni nzuri sana kwa Safari ndefu
 
Hiyo ni gari matata, ukiwa na masafa marefu utaifurahia, huwa ukipiga spidi kali inachutama.
Naipenda sana, nafikiria kuisaka upya
Mpaka leo najuta kwanini nilimuuzia yule jamaa.
Gari ilikua bado Iko kwenye good condition.
 
Hii ni moja kati ya series bora zaidi za Land Cruiser. Navizia Japan huwa zinatoka mara chache sana hasa be forward ama trade car view.
Shida nyingi zinakua Auto transmission kitu ambacho siwezi. Kwa gari kubwa kama hizi hasa Diesel napenda Manual gear.
Ni nzuri sana kwa Safari ndefu
Ukitulia freshi manual unaipata mbona mkuu. Achana na hii mashine aisee
Screenshot_20200414-181211.png
 
Nafikiria kuchukua Patrol Y60 Td42 manual,kuna mwana analiuza bei ya kawaida sana,nataka nilifungie trailer ya 2 tonnes kwa ajili ya kuingia nayo kwny mishe mishe mkuu.

Hio machine unaionaje?

Kama iko kwenye hali nzuri, engine bado inatema, hutajuta mkuu.
 
Magari ya mzungu yana macomplication kibao mpaka wanaharibu. Napenda engineering ya Mjapan kwa sababu Iko simple and reliable.
I can dance to this tune all day long...This is what made me fall in love with 80 series Japanese masterpiece!

 
Wewe ndio umesema ukweli. Mjapan ndio kika kitu kwa ss watu wa economy
Ndugu yangu nakushahuri usiingie chaka ukanunua gari yeyote ya mataifa mengine tofauti na Japani utajuta tena landrover ndo sio gari kabisa ni matatizo utaumwa mimi nishaendesha zote kuanzia 109, 110, range mpaka ya 2016 ingawa sio zangu ila japani kwa uimara wa gari ni kiboko, tena hzo discover ndio matatizo matupu kaka nunua hata landcruser yenye kilometa lakitatu kuliko discover ya kilometa zero,utanishukuru baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu nakushahuri usiingie chaka ukanunua gari yeyote ya mataifa mengine tofauti na Japani utajuta tena landrover ndo sio gari kabisa ni matatizo utaumwa mimi nishaendesha zote kuanzia 109, 110, range mpaka ya 2016 ingawa sio zangu ila japani kwa uimara wa gari ni kiboko, tena hzo discover ndio matatizo matupu kaka nunua hata landcruser yenye kilometa lakitatu kuliko discover ya kilometa zero,utanishukuru baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
range rover zina shida gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom