Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Land Rover Discovery TD5

Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Land Rover Discovery TD5

Pengine budget inaweza kubana kwa kujumlisha na ushuru,
Tunaweza kuwasiliana nikakusaidia kukuonganisha na mtu ambaye yeye husaidia kulipia ushuru wa gari kish unamrejeshea kwa awamu mbili.
 
Mk

Mkuu kwa dau lako hilo la dola 13,000 za Mmarekani amini nakwambia unapata Land Cruiser series 80 kutoka South Africa na inalipiwa vibali vyote ila kwa engine ya 1hz iliyotembea sana na ipo katika hali nzuri.

Au ukinunua za kutoka Malawi na ukiilipia kila kitu hiyo pesa inabaki.
Kwa kuagiza kutoka Japan itakuwa ngumu hizi gari zimekuwa adimu na bei ipo juu.
Nipe akili mkuuu hizo gari za Malawi zinapatikanaje maana naona ndizo vijana wa Mbeya, Njombe na Ruvuma wanatumia kwa sasa. Nipm ukipata Cruiser ya ukweli
 
(Td5) Turbo - Diesel - 5 cylinder power engine. Gari ya ukweli kama mfuko mzuri buy it.

kp app
 
Nipe akili mkuuu hizo gari za Malawi zinapatikanaje maana naona ndizo vijana wa Mbeya, Njombe na Ruvuma wanatumia kwa sasa. Nipm ukipata Cruiser ya ukweli
kuwa makini na hizo za Malawi, hasa ukiona zina element ya kutokea msumbiji, usije kupoteza pesa yako , za south kama zina interpol certificate chukua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Funguka vizuri mkuu uwafungue wengi macho kuhusu hizi gari za South
Ni uwe tu makini na documents, zinazopita Mozambique nyingi zinakuwa za wizi, ila zinazotoka south ukimaliza kwenye interpol report huko south uko salama
kwa wale wenye kupenda engine za 1Hd , south Africa sio msaada , zilitoka chache sana kama special order , na wengi hawajaziuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu Wakuu! Hapa kati nimejichanga kama $ 13000 hivi nikaona sio mbaya nitafute SUV kwa ajili ya Safari za Porini hasa siku nimeamua kutembelea mbuga za wanyama.

Katika Pita pita zangu mitandaoni nikaona hizi gari Land Rover Discovery 2. Kuanzia mwaka 1999 mpaka 2004 kama sikosei nyingi zinatumia engine ya TD5.

Kwa wenye experience ya hizi gari naomba tushare mawili matatu kuhusu fuel consumption, Uimara wa gari hasa off-road na pia kuhusu upatikanaji wa spare parts na matengenezo yake kwa ujumla.

Karibuni Wadau wa haya magari.
View attachment 1410651
Mkuu kuna Land Cruiser series 80 ina engine ya 1hz inatumika kwa kazi ya kutembelea. Mwenye nayo anauza bei sawa na bure. Kama upo tayari niambie nikuunganishe naye.
 
Nipe akili mkuuu hizo gari za Malawi zinapatikanaje maana naona ndizo vijana wa Mbeya, Njombe na Ruvuma wanatumia kwa sasa. Nipm ukipata Cruiser ya ukweli
Mkuu nitakucheki ipo moja series 80 1hz engine ipo hii inatumika kutembelea.

Kuna watu kazi zao ni kuchukua gari Malawi na kuzileta Tanzania kihalali nitakuunganisha nao wapo Mbeya , Documents zote unapewa hawafanyi ujanja.
 
Mkuu kuna Land Cruiser series 80 ina engine ya 1hz inatumika kwa kazi ya kutembelea. Mwenye nayo anauza bei sawa na bure. Kama upo tayari niambie nikuunganishe naye.
I prefer 1HDT. Iko more powerful na nzuri kwa safari. Anyway anauza ngapi boss?
 
Kupata landcruiser sio mchezo hasa kwa bei hiyo. Ila hiyo Discovery sio mbaya lakini inataka matunzo na service nzuri (kwa hiyo engine TD5). Za petrol ni nzuri zaidi ila zinakula mafuta sana. Kama unatafuta gari ya porini unaweza kuifikiria hiyo ika wenye uzoefu nazo watasema zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Petroli zinakuaga 4.0L V8 na Diesel zinakuaga 2.5L
 
Mzee Kigogo kwa mtazamo wangu land cruise ni namba moja kama utaiweza kwa bei na namba mbili ni hilux 1kd engine hizi ni gari ambazo wapiganaji wengi wanazitumia (vitani)
Ni gari za kiume tunasema, discovere kwa kweli sikushauri sana gari ni hizo mbili hapo.
Hilux Surf 1KD(KZN185) ni kama Prado KZJ95 hua zinachomoka tairi za mbele
 
Hio chuma ni respect mkuu lazma nije kuinunua ikae garage kwangu kama classic ride for the Love of Land Cruisers!

Cha kufanya ningekuwa yeye ningemvua mtu hapa hapa bongo na kwa hio budget aliyonayo jamaa almost 27M inatosha kui re-new kabisa akaitwanga bull bar na BF-Goodrich za maana. Piga mufller ya uhakika ndani ma entertainment kidogo na mu uphostlery. Ikikamilika chuma inasoma namba B ila imenyooka kama imetoka dukani. Uzuri ma spare parts yake kibao na yanaingiliana na ya Toyota coaster.

Bongo 80 series zipo nyingi mbona ila kwa ilionyooka body anaipata kwa 15M tu. Engine zake ni za uhakika hata ukikuta body imechoka kwa engine ya 1Hz ni kama jeans. Hata akipata ya 1HD-FTE nayo makini sana.

Kiukweli 80 series is one of the iconic Landcruisers ever to be made mzee. Nakumbuka tulikuwa tuna cruise na moja ya kitengo kwa Mshua. Dereva wake Mr.Uledi alikuwa na mbwembwe sana akiikalia mashine anavyoipigisha kinanda stick shifter 1Hz ndani ya straight pipe mashine inamwaga mkwara mzito. Hapo akiitupa na reverse design kama anaigeuza aondoke zake sasa utapenda zilee...Peeep!!! mmh mmh mmh mmh!
Nimepaelewa hapo kwenye straight pipe...
 
Back
Top Bottom