Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

I thought unajua kiarabu kumbe umeng'ang'ania Tafsiri za Kina Sheikh ubwabwa Barwani, Abdullah na Nassir Koran App.

Sasa kama Imeandikwa wazi kuwa Allah ni Mdanganyifu unakubali au unakataa? au una pray Game but haya maandishi yangu yatawasaidia wengi watakao soma werevu not foolish one.

Me naamini am freewill ila Muislam haamini ndio maana amewaambia lazima muende kwenye Hellfire.

Koran 19:71 وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًۭا مَّقْضِيًّۭا ٧١
There is none of you who will not pass over it.1 ˹This is˺ a decree your Lord must fulfil.
Allah alipanga Issah asidhuriwe na wanaomtafuta na asikamatwe ule ulikuwa ni mpango wake ,ni kama vile panapotokea ajali wengine wamekufa na wengine wamepona yote ni mipango ya Mungu...Ina maana hakuna kinachotokea beyond ya mipango yake.

Soma ile surah vizuri ndio utaelewa alifananisha miongoni mwao mtu huyo ndio wakamkamata ila sio issah.... Mungu akupanga issah akamatwe na issah hajafa 😅😅.

Ndio maana nyie mnakubali kwamba kuteswa kwa Mungu wenu ni ili maandiko yatimie yaliyopangwa.


"Na hakuna mmoja wenu isipokuwa atavuka (Jahannam); itakuwa ni jambo lililoamuliwa na Mola wako kwa nguvu"

Hakuna mtu ambaye anaruka maisha ya baadae baada ya duniani jahannam na pia hakuna mtu ataweza kukimbia kifo.

Sijui kama umeelewa !? Kama hujaelewa niambie nikutafsirie.

Point ipo pale nionyesha wapi Allah ni deceiver ...Na hicho kiarabu unakijulia wapi lama sio tafsiri za mchongo.
 
Gaidi wa mwanzo alikuwa Roman Empire walio msulubu huyo Yesu wako.

Gaidi wa pili Crusader walio tumia upanga kwa kutumia kutangaza dini yao.

Gaidi wa tatu wakoloni walio leta utumwa na kutawala duniani kwa maslahi binafsi ila wakajifanya watangaza dini.
Waarabu hawakuleta utumwa na huo utamaduni wao mnaoita uislamu.
 
I thought unajua kiarabu kumbe umeng'ang'ania Tafsiri za Kina Sheikh ubwabwa Barwani, Abdullah na Nassir Koran App.

Sasa kama Imeandikwa wazi kuwa Allah ni Mdanganyifu unakubali au unakataa? au una pray Game but haya maandishi yangu yatawasaidia wengi watakao soma werevu not foolish one.

Me naamini am freewill ila Muislam haamini ndio maana amewaambia lazima muende kwenye Hellfire.

Koran 19:71 وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًۭا مَّقْضِيًّۭا ٧١
There is none of you who will not pass over it.1 ˹This is˺ a decree your Lord must fulfil.
Tafsiri zako ni za kule Quora ..piga picha mas'hafu then nionyesh izo ayah zako kutokea moja kwa moja kweny mas'hafu..Nakusubiri achana na Quora😅😅
 
Jitu limesoma Magharibi utegemee jipya? Sheikh Ilunga angekuwepo angemtukana hatarii

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huyo shehe ilunga wote hamjui uislam wala uarabu.........mwenye dini yake na uarabu wake amekataaa wewe ni nani upinge na umezaliwa kibanda cha mkaa iringa ndani ndani uko.............waache wenye kujua dini yao waongeee wewe mtengeneza kidada kaa kwa kutulia
 
Mtume Muhammad alisema Al Nari min Asaan hatalawla sayid Al Qureshii, moto utamchomo kila aliye niipinga hata awe katika wale wafalme wa Qabila lake Mtume.

Afu we dagaa unadhani uarabu ndio dini, uislam si uarabu nikufata amri za Mungu, nyie ndio wale wajinga mnaosema Israel taifa teule 😄
We rangi nyeusi unaandika kirabu koko na kusubiri tende zao.. unajikuta unaujuaa uislamu ulietewa na wao.. unaijua UAE.? kwaio unapingana na mwana mfalme mwenye elimu kuliko wewe choko.
 
NIWAACHIE WARAABU HII LIGI..
ILA HILI LA SAHIH AL BIKHAR 4950
NA HADITH IDADI 16,245 YA MU"WAIYA IBN ABU SUFYAN ....
SIONI AJABU WANAZUONI KUZIKATAA HIZI SIMULIZI ILI KUFICHA UKWELI FLANI WA TAMADUNI ZA KIARABU
Aisee.....
 
Hana jipya alicho ongea Qur'an imeisha sema miaka tusifate hadithi wakati Qur'an ina kila kitu.


Kuna Waislam wanaamini hadithi aliyo ongea yeye tu, si hadithi anakuja mtu anakuwambia Albukhari sijui kasema au flani kasikia the hadith ya Mtume Muhammad can be used as Islamic law.

However, Allah says in the Quran that following any law besides the Quran is forbidden.

أَفَغَيْرَ اللَّهِ أَبْتَغِي حَكَمًا وَهُوَ الَّذِي أَنزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلًا
Then is it other than Allah I should seek as judge while it is He who has revealed to you the Book explained in detail? … (6:114 part)
تِلْكَ آيَاتُ اللَّهِ نَتْلُوهَا عَلَيْكَ بِالْحَقِّ ۖ فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَ اللَّهِ وَآيَاتِهِ يُؤْمِنُونَ
These are the verses of Allah which We recite to you in truth. Then in what statement (hadith) after Allah and His verses will they believe? (45:6)
فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَهُ يُؤْمِنُونَ
Then in what statement after it (the Qur’an) will they believe? (77:50)
مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
What is [the matter] with you? How do you judge? Or do you have a book / scripture in which you learn that indeed for you in it is whatever you choose? (68:36–38)
Conclusion

These verses make it very clear that the only source by which to judge according to Islam is the Quran and nothing else. God even specifically questions why people would believe in any hadith after the Quran has been revealed.
Sasa ibada zenu huwa mnazifanya vipi na mnasema Qur'an pekee inatosha ?

Isiwe mnajiona kuwa ni Waislamu kumbe si Waislamu.
 
Vile shetani anawasubiri hapo Kila mwaka wampige Kwa mawe,hivi waislamu wanawaza kuwa shetani ni kiwete flani hivi
Daah nimecheka, kuna uhusiano wa karibu wa Waislam na ujinga fulani, imagine super power 3 wa wakati huo walitoka huko ila tangu Uislam uanze maendeleo yao yakafa
 
Miaka ya hivi Karibuni aliripotiwa na Al Arabiya kuwa asilimia zaidi ya 90 ya Hadith za Mtume hazifai kuwa vyanzo dini ya kiislam; sasa hivi amesema hadithi zote kwa sababu ziliandikwa miaka takribani 280 baada ya Mtume Mohammad kufa, hazifai kuwa chanzo Cha Imani ya kiislam
View attachment 2816463
Kwa sasa amepiga marufuku wanafunzi wa kike kuvaa habaya, Hijabu na niqab siku za mitihani, huko mitaani kuvaa Hijabu si shurti tena ila ni takwa la mwanamke na ameruhusu matamasha ya muziki ambako wanawake na wanaume wanachanganyiki
View attachment 2816466
Mimi kwa maoni yangu, huenda huyu Mwana wa Mfalme amesoma vizuri Quran yao Pamoja na hadithi za Mtume Mohammad akajionea mwenyewe madudu yaliyoko huko; mfano mzuri ni Sahih Al-Bukhari 4950 ambayo Shangazi wa Mtume Mohammad alimuita Allah "Shetani" na Allah mwenyewe HAKUPINGA kuitwa hivyo. Hii ikimaanisha kiukweli yule ambaye alimpa Mtume maahizo yote ya kwenye Quran ni Shetani
View attachment 2816477
Saudia Kwisha habari yake.

Hao wafalme bila Ngubu ya USA hawawezi kukaa Ikulu hata miezi mitatu.

Lazima wawatumikie mwabwana zao.
 
Yupo sahihi 100% kwa moja kama una elimu utamuelewa...Mimi binafsi sisomi hadithi maana Qur an inatosha.

Logically hadith ikipishana na Qur an ni ubatili ....Ina maana Qur an inatosha kwa kila haina haja ya Hadith na hapo kweny hadith ndio njia watu wanatumia kupotosha watu mpaka uchuje maana wengine ni warongo.

😅Yupo sahihi maana huwezi kusoma hadithi pekee bila ya kujua Qur an na Hadith ikipingana na Qur an basi haifai ..

Tunapobishana hapa naona mnaleta hadithi mimi nataka Qur an hadithi ni za kutungwa nyingine mpaka usome uchuje....Kama lait wangu wangesoma hadith pekee basi wangepotea mapema maana mpokeo mengi ya ya uongo yaani dhaifu ....
Mdogo mdogo watawakamata tu, wameanza na Hadith, Hijab na Nikab, wanaelekea kwenye Pombe.

Naona na akina Ronaldo na wenzgine wamehamia huko.

Lengo ni Ku introduce western cultures ans norms.
 
Narudi tena palepale! 12 elimu ili uuelewe uislamu.

Nguzo za Jamarat zina historia ndefu. Na zina nukta tofauti. Kuna Jamarat al-Sughra, Jamarat al-Wusta na Jamarat al-Kubra.

Hizi zinawakilisha (elewa neno wakilisha) maeneo ambayo Nabii Ibrahim A.S alipambana na ushawishi wa Shetani kipindi ambacho Mungu alimpatia mtihani wa kumchinja Nabii Ismail A.S.

Akiwa njiani kukamilisha huo mtihani Shetani ndiyo akaja kwa Nabii Ibrahim ukitumia ushawishi wake ili Nabii Ibrahim asitekeleze mtihani aliyopatiwa na Mungu. Na alimjia kwa maeneo matatu tofauti. Nabii Ibrahim A.S kwa maeneo yote hayo matatu (3) tofauti alimrushia mawe.

Kipindi cha hijja mahujaji wanaadhimisha au wanamuadhimisha Nabii Ibrahim A.S kwa kurusha mawe kwenye hiyo minara.

Kwa hiyo kiongozi; usichoelewa uliza kila mambo yana yenyewe. Ukitaka uyaelewe waulize wenyewe.
Niambie hiyo story ya ati Allah alimpatia Ibrahim mtihani wa kumchinjwa Ismail inapatikana wapi?
 
kama ana question the credibility ya hizo hadith, he is right ila anatakiwa asiwe biased alitakiwa a question pia credibility ya Quran kwani na yenyewe imekuwa compiled almost 100 years baada ya mtume kufa.. na mode of compliation ni ile ile from several source.. kwani wakat mtume yupo maono yake aliokuwa anashushiwa yalikuwa yana rekodiwa aidha by writing au emorazing na watu tofauti wa karibu yake namaanisha maswahaba wake.. almost 100 years latter ndo yakawekwa kwenye kitabu kimoja.... baada ya kukuswanywa.. na hapo ni baada ya ku hariri.. kwani kulikuwa na pages za quran zlizokuwa kwenye dialect tofauti.. maana yake matamshi

ilibidi ichaguliwe moja kuweza kuweka uniformity... hata Mke wa Mtume bi Khadioja inasemekana nae alikuwa na kipande cha quran (aya) ..maana kabla ya quran kuwa kweney kitabu kimoja kulikuwa na copies za vijikaratasi tofauti tofauti


na siko hapa kusema kuwa Quran sio kitabu kitakatifu.. ama biblia.. maana hata katiba tunaipa heshima tofauti ingawa kimsingi mie naangalia kwa mlengo wa kati kwa maana ya originality ya kitu .. kama wana historia wanavyofanya.. so ukirudi nyuma utakutana na manuscript tofaut tofauti za quran na bibles za zaid ya miaka 300 na kuendelea maana yake kuna mtu aliandika .. then zikawa compiled


swali la msingi kama anahoji kwa maana ana wasiwasi kuwa pengine walioandika wameongeza na ya kwao au wamepunguza.. vip kuhusu walio compile quran.. maana walikusanya aya kutoka kwa source tofauti kwa aidha manucript zilizoandikwa au aya zilizokwuz memorized.. je hao hawawez ku ongeza au kupunguza ili kufit ajenda zao
Mwana wa Mfalme he's smart. Anawajua hawa watu vurugu zao ndyo maana ameanza mdogo mdogo. Anajua fika kuwa kwa jinsi Imani ya kiislam ilivyojengeka, Muislam hawezi endesha ibada yake bila Sunnah (hadithi za Mtume) hizo ibada Tano, hijja, utekelezaji wa Sharia, hizo Hijabu etc vyote vimo kwenye hadithi
Kwa hiyo kimsingi ameanza ku dismental Islam.
 
Sikiliza ndugu hoja hapo kwanini Allah alipoitwa SHETANI HAKUKANUSHA!!??
Bado nipo palepale!
12 elimu unabidi uzisome. Hizi zipo kwenye dini ya Uislam.

Nabii Musa A.S alimuomba Allah awafunge midomo wale wote wana wa israel wanaomzungumzia yeye vibaya. Kwa sababu wana wa israel wenzake walivuka mipaka ya kumuongelea juu yake.

Allah akamwambia; Musa! Unachiniomba mimi mwenyewe sijanusurika nacho! Mimi ndiye Mola wao (Allah)! Nimewaumba viumbe wangu binadamu na nimewapa neema mbalimbali. Lakini binadamu hao hao wananitusi! Kwa sababu unachoniomba siwezi kukupatia kwa sababu mimi mwenyewe Allah sijanusurika nacho!

Na mantiki ya Allah kutonusurika nacho si kwamba kashindwa kuzuia laa hasha! ni kwa maana ya Allah si dikteta hakulazimishi.

Majina matano kati ya majina 99 ya Allah yanaonyesha yeye ndiye yule SHETANI
Mfano Quran 3:54 Allah is the best of deceivers
Quran 25:23 ALLAH causes death; ktk Biblia anayesababisha kifo ni SHETANI. Yohana 8:44 yeye ni muuzaji Tangu zamani
Narudi tena palepale! 12 elimu inakubidi usomeeee!

Mfano Quran 3:54 Allah is the best of deceivers: Wewe hujui kiarabu! Makar/makir ina maana nyingi kwenye lugha ya kiarabu. Maana nyenginge "strategist" yaani bingwa wa mipango.

Na hiyo aya uliyoiweka Quran 3:53 inasema (nakuandikia kwa kiswahili); wamakara wamakarallahu wallahu khayrul maakirin" kwa maana: Wanapanga mipango yao na Allah anapanga mipango yake na Allah ni mbora wa mipango. Kwa kiswahili hapo tafsiri nyengine badala ya mipango wanaweka vitimbwi.

Yaani A Strategist who responds to deceivers..

Na hakuna tafsiri kwenye Qur'an ambayo hilo neno Makir limetafsiriwa ni deceiver, hakuna. Labda ubabaishaji uje kwenye lugha ya kiingereza.

Quran 25:23 ALLAH causes death; ktk Biblia anayesababisha kifo ni SHETANI. Yohana 8:44 yeye ni muuzaji Tangu zamani
Ndugu mtanzania, unajenga hoja ya kwenye uislamu kwa kufuata misingi ya ukristo?

Labda nikusaidie! Kwenye uislamu hata shetani mwenyewe atakufa. Atabaki Allah tu!
Aidha, Allah ktk Quran 17:59 alisema hawakumpa Mohammad karama ya kufanya miujiza kwa sababu waliisha acha kumtumia miujiza kutokana na watu wa hapo zamani hawakuiamini miujiza waliofanya mitume wake. Lakini hapo hapo katika Quran 7:113-122 Allah anasema watu waliamini miujiza ya Mussa. Allah ni kigeugeu

Ndugu mtanzania, hiyo aya ya juu inamzungumzia Mtume Muhammad s.a.w...

Hiyo sura na aya nyengine inamzungumzia Nabii Musa. Sasa kigeu geu kinakuja wapi? Nabii Musa A.S na Mtume Muhammad wamekuja kwa nyakati tofauti au hujui hilo? Mbona unachanganya asubuhi na jioni zifanane?
 
Naomba Aya Allah anajitambulisha kuwa ni Mungu Mwenyezi na jina lake ni Allah.

Katikabl Qurani utasikia tu Allah anatajwa na Muhammadi na Majini na Sisimizi.
Allah yupo kimyaaa na hajawahi kujitambulisha kwa jina lake.

Sasa sisi tusio mjua Allah tutajuaje Kama ni Kweli huyo Mungu wenu ameridhia kuhusu kuitwa Allah?

Swali dogo tu.

Waislamu aliyewaambia kuwa Mungu wenu anaitwa Allah ni Nani?

Nasubiri jibu
 
Hapo Juu kuhusu Kaafir japo unataka kulitetea ila arabuni ni jina la kuudhi kwani Kaffir au Kufar kwa wewe ulivyolitafsiri hauna mashiko kwa utetezi wako kwani Kuficha Haki ya Mungu nani alifichwa enzi za Mudy?
Ni Maquraish kama Abu Jahl na wenzake.
maana kama Allah alikataliwa na wayahudi live Mudy alienda Jerusalem akahubiri even Kibra ya Kwanza ilikuwa Jerusalem ilipo sasa Mecca ni uongo pale Mecca ni kituo cha upagani haswa jiwe jeusi.
Kwani Allah kakataliwa na wayahudi kipindi cha Muhammad tu?

Kakataliwa na wayahudi kipindi ambacho Allah alimtuma Nabii Musa A.S

Kakataliwa na Wayahudi kipindi ambacho Allah kamtuma Nabii Yahya A.S kwa Wayahudi

Kakataliwa kipindi ambacho alimtuma Nabii Zakariyya A.S kwa wayahudi.

Alikataliwa kipindi ambacho alimtuma Nabii Ilyas (iliyas) A.S kwa wayahudi na orodha inaendelea.

Kingine Mtume Muhammad hakuwahi kwenda Jerusalem kuhubiri, mbona unachanganya taarifa? Sasa kama kuna kibla ya kwanza kama ulivyosema maana yake kuna kibla ya pili ndiyo Makka. Tatizo liko wapi?

Wewe unasema waislamu wanaabudu jiwe mwenzako anasema wanaabudu satan! Sasa kati yenu yupi msema kweli ili tuendelee na hoja?
Kusema Dini ya Uislam hamchukii mtu bali ukafir wake ni uongo Mudy kaelekeza hadi kumuua mtu asiye Muislam..Jews na Christian imeelekeza kabisa hautakiwi kumsalimia non Muslim Asalam Aleykum imeelekeza ukikutana na Non Muslim msukume atumbukie mtaroni.
Leta ushahidi kiongozi kisha ndiyo tujadili. Maneno matupu kila mtu anao uwezo tosha wa kuyaandika.
Issue yako ya kutetea Kodi haina mantiki kwani Mtume wenu alisema Convert or pay jizya or Die period.
Leta na hapa usahidi Mzee kisha tuendelee kujadili. Maneno matupu kila mtu anao uwezo wa kuyaandika.
Allah anapandikiza non Muslim unauliza apate faida gani? kwani Mchawi akija kukuchezea anapata faida gani? Allah ni Shetani so same work ana enjoy zake tu akiona watu wanavurugikiwa.
Na hapa lete tena ushahidi pia. Sawa ndugu mtanzania?
Utasemaje nimechagua Maisha ya Chuki.. Unataka kusema Allah hatupangii maisha yetu? so nini Maana ya neno Inshallah? Najua Waislam mnaamini kila mfayalo hamfanyi kwa matakwa yenu ni Allah kawafanya mfanye mnavyovifanya... nyie ni Watumwa wake.. Mmeumbwa ili muabudu tu.. Christian tumeumwa like baby wa Mungu tuishi for Joyful not Slavey like you guys
Sasa unaushangaa uislam? Hata wayahudi wanasema בעזרת השם (maana yake kwa msaada wa Mungu).

Tafakari hilo kisha uliza swali kama hujui katika hilo!
 
Naomba Aya Allah anajitambulisha kuwa ni Mungu Mwenyezi na jina lake ni Allah.

Katikabl Qurani utasikia tu Allah anatajwa na Muhammadi na Majini na Sisimizi.
Allah yupo kimyaaa na hajawahi kujitambulisha kwa jina lake.

Sasa sisi tusio mjua Allah tutajuaje Kama ni Kweli huyo Mungu wenu ameridhia kuhusu kuitwa Allah?

Swali dogo tu.

Waislamu aliyewaambia kuwa Mungu wenu anaitwa Allah ni Nani?

Nasubiri jibu
(20:13) I Myself have chosen you; therefore, give ear to what is revealed. (20:14) Verily I am Allah. There is no god beside Me. So serve Me and establish Prayers to remember Me.

Ukitaka nyengine hii:

إِنَّنِي أَنَا اللَّهُ لَا إِلَٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدْنِي وَأَقِمِ الصَّلَاةَ لِذِكْرِي﴾
[ طه: 14]


Indeed, I am Allah. There is no deity except Me, so worship Me and establish prayer for My remembrance.
Surah Ta-Ha

Ya juu surat Twaha kuanzia aya ya 13-14. Ya pili Surat Twaha kuanzia aya ya 14.

Hapo alimwambia Nabii Musa A.S

Ukitaka nyengine ni hii nayo pia: 6:102. That is Allah—your Lord! There is no god ˹worthy of worship˺ except Him. ˹He is˺ the Creator of all things, so worship Him ˹alone˺.
 
Miaka ya hivi Karibuni aliripotiwa na Al Arabiya kuwa asilimia zaidi ya 90 ya Hadith za Mtume hazifai kuwa vyanzo dini ya kiislam; sasa hivi amesema hadithi zote kwa sababu ziliandikwa miaka takribani 280 baada ya Mtume Mohammad kufa, hazifai kuwa chanzo Cha Imani ya kiislam
View attachment 2816463
Kwa sasa amepiga marufuku wanafunzi wa kike kuvaa habaya, Hijabu na niqab siku za mitihani, huko mitaani kuvaa Hijabu si shurti tena ila ni takwa la mwanamke na ameruhusu matamasha ya muziki ambako wanawake na wanaume wanachanganyiki
View attachment 2816466
Mimi kwa maoni yangu, huenda huyu Mwana wa Mfalme amesoma vizuri Quran yao Pamoja na hadithi za Mtume Mohammad akajionea mwenyewe madudu yaliyoko huko; mfano mzuri ni Sahih Al-Bukhari 4950 ambayo Shangazi wa Mtume Mohammad alimuita Allah "Shetani" na Allah mwenyewe HAKUPINGA kuitwa hivyo. Hii ikimaanisha kiukweli yule ambaye alimpa Mtume maahizo yote ya kwenye Quran ni Shetani
View attachment 2816477
Ukweli ni kwamba Qur'an si kitabu cha Mungu na huyu mtoto wa mfalme anafahamu hivyo hata na masheikh wengi wanalijuwa hili ila kwa kuwa waliaminishwa huu upuuzi toka utotoni wanashindwa kujitoa muhanga na kuwaambia waumini wao ukweli. Mohammed alipewa Qur'an na shetani na kuchanganikiwa pale pale, ilimchukua miaka kadhaa kupona ukichaa na akaja na uwongo kusema kuwa alishushiwa Qur;an na Mungu kumbe si kweli.
 
Niambie hiyo story ya ati Allah alimpatia Ibrahim mtihani wa kumchinjwa Ismail inapatikana wapi?
Mimi kazi yangu ni kujibu tu! Wewe leta mambo mimi nitayaweka sawa ili usiendelee kuwaongopea watu.
 
Sikiliza ndugu sisi tunakupenda sana usije angamia na huyo Allah. Kama kweli wewe unataka kujua ukweli kuhusu hiyo Ayat 3:54 nakusihi sikiliza hii short video. Huyo aliyefunga kilemba Cha Kisaudia anaitwa Al Fadi alienda Marekani kusoma lakini akiView attachment 2817046wa pia na mission ya kuwapa dawah wakiristo, ila alitokewa na maono ya Yesu na hatimaye akampokea Yesu. Anajua kiarabu na Dini ya kiislam vizuri mno. Msikilize ndugu yangu, muda uliobaki siyo Rafiki
View attachment 2817046
Sikiliza ndugu sisi tunakupenda sana usije angamia na huyo Allah. Kama kweli wewe unataka kujua ukweli kuhusu hiyo Ayat 3:54 nakusihi sikiliza hii short video. Huyo aliyefunga kilemba Cha Kisaudia anaitwa Al Fadi alienda Marekani kusoma lakini akiView attachment 2817046wa pia na mission ya kuwapa dawah wakiristo, ila alitokewa na maono ya Yesu na hatimaye akampokea Yesu. Anajua kiarabu na Dini ya kiislam vizuri mno. Msikilize ndugu yangu, muda uliobaki siyo Rafiki
View attachment 2817046
Bahati mbaya uislamu haufuati idols bali maandiko ,Hijjah ya mwaka huu tu Viongozi wa juu wa makanisa wamepokelewa baada ya kuslim 😅😅.


Leta hoja sio picha za watu na sio mvaa kilemba ni muislamu au ana elimu sana ,huyo Dr zakir ni nadra kumkuta kavaa kilemba ...


Leta ushahidi maana hata video mtakuleta zipo nyingi ila nataka kuona uwezo wako.
 
Back
Top Bottom