Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

Kiukweli usilam usipodhibitiwa utahatarisha maisha ya waislamu wenyewe mana dunia itwachoka na ikiwachoka unadhani nini kitafuata,haya makundi ya kigaidi ya kislam yanauchafua sana uislamu,kunahaja ya kutazama upya mafudisho ya imani hii.
Angalia mzungu anavyotamani mfumo wa maisha ya waislamu hawa
 

Attachments

  • Screenshot_20231030-001828_Instagram.jpg
    Screenshot_20231030-001828_Instagram.jpg
    80.5 KB · Views: 3
Uislamu unazidi kukubalika duniani kote hadi huko nchi za makfir na hata hao makafir wanaona ndio msingi bora wa maisha na wengi wanajiunga sasa na uislamu,

Sio mbaya kujifariji,uislam ni dini inferior ndio mana iko desperate na convetors.

The only ways zilizobaki kuueneza uislam ni kununua watu maarufu,kuzaana na ugaidi.
 
Sio mbaya kujifariji,uislam ni dini inferior ndio mana iko desperate na convetors.

The only ways zilizobaki kuueneza uislam ni kununua watu maarufu,kuzaana na ugaidi.
Superiority yetu inaonekana hata kwenye maisha yetu ya kila siku angalia kwaresma na ramadhani duniani utapata majibu,
 
Cha Ajabu, pale Macca wanapohiji pana NYUMBA ya ALLAH walipo weka jiwe la Kaaba, na pana NYUMBA ya SHETANI ambayo huitupia mawe. Hawajiulizi tu kuwa Inawezekanaje Mahasimu wawili wakae eneo Moja???
Sasa hivi SIRI ZINAZIDI KUFICHUKA KUWA KUMBE SHETANI NDIYO HUYO HUYO ALLAH (Sahih Al-Bukhari 4950)
Kwenye Biblia Mungu alimtupilia mbali Shetani na kumzuia asiingie tena mbinguni ( Ufunuo 12:9-11)
Sasa nimeelewa kwa nini kobazi wanasema jini nae ana swala tano za kuswali.
 
Kijana tuliza akili acha jazba. Wewe unajuaje sala kama alivyo sali Mtume ? Mafundisho ya sala huwezi kuyakuta kwenye Qur'an, utayakuta kwenye Hadithi za Mtume, zenye kusomeka aidha "Mtume kasema kadha" au "Tulimuona Mtume akifanya kadha".

Sasa kitu ambacho nakuhusia na wengine humu, Qur'an haisimami peke yake pasi na Hadithi sahihi za Mtume. Sasa someni na mjue nafasi zenu, msiwe mnayaongelea mambo ya dini huku hamna elimu, unapotea wewe na utawapoteza wajinga wenzako.

Inaonekana hata Qur'an huijui, hakuna namna ya kusali kwenye Qur'an.

Haya mnayo yaandika huwafanya wasio Waislamu wawaone waislamu ni Wajinga, kumbe wajinga ni nyinyi wachache msio taka kusoma.
Hivi we unafahamu nacho ongea au unataka kujifurahisha tu, Qur'an haijakataza anacho kisema Mtume Muhammad inacho kataza kinacho semwa na wengine? Kwani Qur'an ilishushwa kwanani? Kwa Yesu 😄

We akili zako zimepinda hufahamu chochote Qur'an inatuelezea kila kitu wazi kwa kusema Mkihitilifiana kwa kitu rudini kwa Allah na Mtume wake.

Anacho ongea Mtume iwe hadithi basi ni kweli, sio hadith ambazo hazikuthabitiwa, ndio utakuta wengine wanajidai hii ni hadithi sahihi wakati haikuthebitiwa ma Al ulama dini, na hi ndio Qur'an imekataza, Qur'an haikukataza alicho ongea Mtume, laxima iwepo dalili kweli kakiongea.

Allah alifahamu wazi wako watakuja na hadith fake na kasema Mtume Muhammad kasema wakati hajakisema, mfano hio mnatuletea sijui ya bikira 72 mmeitoa wapi, au sijui Mtume kamnyonya ulimi mjukuu wake, sijui kaowa bint mdogo anaumri wa miaka 9 hizo zote ni fake hadithi anaye fahamu ukweli pale ni Mungu, Mtume Muhammad, watu walio karibu naye sio wewe dagaa kichwa kimejaa mchanga hufahamu lolote.

Ungekuwa unafahamu ungeifahamu bibilia yako kwanza inasema hakuna mtu kafanana na Mungu au kamuona Mungu akaishi na wewe unatuletea story Yesu kaishi na watu na kasomesha wanafunzi na wengine wamemuota 😄
 
Najua kazi kubwa inatakiwa tuifanye ili kuondoa huo ujinga ambao mlipandikiziwa tokea mkiwa wadogo, wakati mnasoma madrasa. Ila wale wanaomtafuta Mungu wa kweli watampata tu.
MAJIBU KWAKO ADIOSAMIGO
Tofauti ya NENO deceived kati ya lilivyotumika kwenye Quran na Biblia ni kuwa kwenye Quran ni yeye Allah anajisemea mwenyewe. Mfano Moja ya Majina yake aliyowafunulia wafuasi wake ni : Al- Makir (the deceiver) na kwa hiyo ndiyo sifa yangu, anawaambia watu. Pia kwenye Quran 3:54 (Allah is the Best of Deceivers) ni maneno yake mwenyewe Allah akijisifu.
Kwenye Jeremiah 4:10
Hayo ni maoni ya Jeremiah baada ya kuona mambo yametukia tofauti na alivyokuwa alifikiri yeye. Kwa Wakiristo waliomo humu JF, mtakumbuka Yona ambaye alitumwa na Yahweh kwenda kutangaza ujumbe wa HUKUMU kule Ninawi. Na kweli alitangaza hiyo HUKUMU kwa bidii. Kichwani mwake akajua Lazima MUNGU atatekeleza hiyo HUKUMU, lakini kumbe alisahau kuwa MUNGU ni mwenye REHEMA, ukiomba msamaha yeye hubatilisha hiyo HUKUMU. Sasa kwa kuwa hakujua hiyo sifa ya Mungu na hakujua kuwa Waninawi, walikuja kuomba msamaha yeye alikasirishwa sana alipoona Mungu hakutekeleza HUKUMU aliyokuwa ameahidi kwa Waninawi.
Maoni kama hayo ndiyo yalimfanya Jeremiah aseme Mungu has deceived His people. Soma hapo ktk Jeremiah 4:9 utaona panasema prophets will be amazed. (Mojawapo ya manabii hao ni Hananiah and Shemaiah Jeremiah 28:1-4, 11; 29:30-32) Hawa ndyo walikuwa wakitabiri Uongo tofauti na Yahweh alivyokuwa ametabiri. Yahweh aliona watu wake ni wenye kiburi hivyo akatabiri kupatwa kwao na msiba (kutekwa utumwani) lakini baada ya hapo watatubu na ndipo Amani itakuwepo.
Hapo ktk 2Thessalonians 2:11-12 Yahweh ameruhusu/ameacha hao watu wapotoshwe...(That is why God lets a deceptive influence mislead them so that they may come to believe the lie, 12 in order that they all may be judged because they did not believe the truth but took pleasure in unrighteousness. ) Hiyo ni tofauti na Quran 3:54 ambayo inasema Moja kwa Moja Allah the Best of Deceivers.
Mm ninachoshangaa kwenu nyinyi Waislam ambao Kiarabu siyo lugha yenu. Hapa tumewawekea huyu Msaudi Arabia, na tunawaambia kuwa alikuwa Siasa kali kupita nyinyi, lakini alipoangaziwa na Nuru ya Yesu Christo alibadilika na kufuatia kweli ya Biblia BADO HAMTAKI HATA KUANGALIA HIYO VIDEO 😧😧😧 Kwenu nyinyi hilo ANDIKO la 2Thessalonians 2:11-12 Litatimia. Mungu wa kweli atawaacha muendelee kupotoshwa na hao masheikh uchwala.
View attachment 2817372
Achana na porojo za mbagala mtu yoyote aliyesoma na kufanya research zake vizuri kuhusu ukristo na uislamu lazima atasilimu tu atake asitake, maana ukweli upo wazi angalia huyu ni catholic priest sio mwamposa au gwajima kauona ukweli
Najua kazi kubwa inatakiwa tuifanye ili kuondoa huo ujinga ambao mlipandikiziwa tokea mkiwa wadogo, wakati mnasoma madrasa. Ila wale wanaomtafuta Mungu wa kweli watampata tu.
MAJIBU KWAKO ADIOSAMIGO
Tofauti ya NENO deceived kati ya lilivyotumika kwenye Quran na Biblia ni kuwa kwenye Quran ni yeye Allah anajisemea mwenyewe. Mfano Moja ya Majina yake aliyowafunulia wafuasi wake ni : Al- Makir (the deceiver) na kwa hiyo ndiyo sifa yangu, anawaambia watu. Pia kwenye Quran 3:54 (Allah is the Best of Deceivers) ni maneno yake mwenyewe Allah akijisifu.
Kwenye Jeremiah 4:10
Hayo ni maoni ya Jeremiah baada ya kuona mambo yametukia tofauti na alivyokuwa alifikiri yeye. Kwa Wakiristo waliomo humu JF, mtakumbuka Yona ambaye alitumwa na Yahweh kwenda kutangaza ujumbe wa HUKUMU kule Ninawi. Na kweli alitangaza hiyo HUKUMU kwa bidii. Kichwani mwake akajua Lazima MUNGU atatekeleza hiyo HUKUMU, lakini kumbe alisahau kuwa MUNGU ni mwenye REHEMA, ukiomba msamaha yeye hubatilisha hiyo HUKUMU. Sasa kwa kuwa hakujua hiyo sifa ya Mungu na hakujua kuwa Waninawi, walikuja kuomba msamaha yeye alikasirishwa sana alipoona Mungu hakutekeleza HUKUMU aliyokuwa ameahidi kwa Waninawi.
Maoni kama hayo ndiyo yalimfanya Jeremiah aseme Mungu has deceived His people. Soma hapo ktk Jeremiah 4:9 utaona panasema prophets will be amazed. (Mojawapo ya manabii hao ni Hananiah and Shemaiah Jeremiah 28:1-4, 11; 29:30-32) Hawa ndyo walikuwa wakitabiri Uongo tofauti na Yahweh alivyokuwa ametabiri. Yahweh aliona watu wake ni wenye kiburi hivyo akatabiri kupatwa kwao na msiba (kutekwa utumwani) lakini baada ya hapo watatubu na ndipo Amani itakuwepo.
Hapo ktk 2Thessalonians 2:11-12 Yahweh ameruhusu/ameacha hao watu wapotoshwe...(That is why God lets a deceptive influence mislead them so that they may come to believe the lie, 12 in order that they all may be judged because they did not believe the truth but took pleasure in unrighteousness. ) Hiyo ni tofauti na Quran 3:54 ambayo inasema Moja kwa Moja Allah the Best of Deceivers.
Mm ninachoshangaa kwenu nyinyi Waislam ambao Kiarabu siyo lugha yenu. Hapa tumewawekea huyu Msaudi Arabia, na tunawaambia kuwa alikuwa Siasa kali kupita nyinyi, lakini alipoangaziwa na Nuru ya Yesu Christo alibadilika na kufuatia kweli ya Biblia BADO HAMTAKI HATA KUANGALIA HIYO VIDEO 😧😧😧 Kwenu nyinyi hilo ANDIKO la 2Thessalonians 2:11-12 Litatimia. Mungu wa kweli atawaacha muendelee kupotoshwa na hao masheikh uchwala.
View attachment 2817372
 

Attachments

  • Screenshot_20231118-092016_Chrome.jpg
    Screenshot_20231118-092016_Chrome.jpg
    136.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231118-092453_Chrome.jpg
    Screenshot_20231118-092453_Chrome.jpg
    128 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231118-092622_Chrome.jpg
    Screenshot_20231118-092622_Chrome.jpg
    74 KB · Views: 3
dogo kunawafrika wanakifahamu kiarabu kuliko kiswahili kama hufahamu, usidhani wote walienda kwenye Madrasa kusoma Qur'an bila tajweedi.

Kwani kiarabu si lugha kama kizungu na sio mwarabu akiongea kiarabu basi anakifahamu kiarabu na si kila mzungu hata awe kazaliwa uingereza basi anakifahamu kizungu ndio sababu kukawa na kitu kinaitwa grammar kama hufahamu.
Hahaha kama mnaju kua ni lugha tu kwann kile kitabu chenu hamukiandiki kwa kiingereza au kiswahili kule unakuta mafinyo finyo tu alafu ndio lugha ya mungu wenu mpigani
 
Bado nipo palepale!
12 elimu unabidi uzisome. Hizi zipo kwenye dini ya Uislam.

Nabii Musa A.S alimuomba Allah awafunge midomo wale wote wana wa israel wanaomzungumzia yeye vibaya. Kwa sababu wana wa israel wenzake walivuka mipaka ya kumuongelea juu yake.

Allah akamwambia; Musa! Unachiniomba mimi mwenyewe sijanusurika nacho! Mimi ndiye Mola wao (Allah)! Nimewaumba viumbe wangu binadamu na nimewapa neema mbalimbali. Lakini binadamu hao hao wananitusi! Kwa sababu unachoniomba siwezi kukupatia kwa sababu mimi mwenyewe Allah sijanusurika nacho!

Na mantiki ya Allah kutonusurika nacho si kwamba kashindwa kuzuia laa hasha! ni kwa maana ya Allah si dikteta hakulazimishi.


Narudi tena palepale! 12 elimu inakubidi usomeeee!

Mfano Quran 3:54 Allah is the best of deceivers: Wewe hujui kiarabu! Makar/makir ina maana nyingi kwenye lugha ya kiarabu. Maana nyenginge "strategist" yaani bingwa wa mipango.

Na hiyo aya uliyoiweka Quran 3:53 inasema (nakuandikia kwa kiswahili); wamakara wamakarallahu wallahu khayrul maakirin" kwa maana: Wanapanga mipango yao na Allah anapanga mipango yake na Allah ni mbora wa mipango. Kwa kiswahili hapo tafsiri nyengine badala ya mipango wanaweka vitimbwi.

Yaani A Strategist who responds to deceivers..

Na hakuna tafsiri kwenye Qur'an ambayo hilo neno Makir limetafsiriwa ni deceiver, hakuna. Labda ubabaishaji uje kwenye lugha ya kiingereza.


Ndugu mtanzania, unajenga hoja ya kwenye uislamu kwa kufuata misingi ya ukristo?

Labda nikusaidie! Kwenye uislamu hata shetani mwenyewe atakufa. Atabaki Allah tu!

Ndugu mtanzania, hiyo aya ya juu inamzungumzia Mtume Muhammad s.a.w...

Hiyo sura na aya nyengine inamzungumzia Nabii Musa. Sasa kigeu geu kinakuja wapi? Nabii Musa A.S na Mtume Muhammad wamekuja kwa nyakati tofauti au hujui hilo? Mbona unachanganya asubuhi na jioni zifanane?
Hammaz hauelewi somo nini??!! Utasemaje SHETANI atakufa na Atabaki ALLAH, TU WAKATI HIYO QURAN INAKWAMBIA SHETANI=ALLAH? hapo habaki mtu kwenye Quran; tana wote hao watauawa na Yesu.
Msikilize kidogo huyu muarabu mwenzenu
 
Wanazuoni wa kiislam wanatafsiri kimakosa siyo!?..wanazuoni wa kikafiri ndiyo wanatfsir ipasavyo!?..punguani, mboyoyo nyingi...kadir waahid
Tafsiri lazima iendane na jambo husika lililotamkwa au kuandikwa na sio kulieezea kwa marefu hadi unaondosha neno husika ndio tafsiri za Masheikh ubwawa wenu wakiona jambo la aibu linabadilishwa lote kwenye tafsiri na miislam mingi duniani almost 90% hayajui arabic language. mazuzu kama Koran imeandika kuwa Koran imeshushwa kwa waarabu na kwa kiarabu ili ieleweke why Tafsiri zipo nyingi mno it means Allah hajui waarabu kuwa hawana akili vizuri na Allah kwahiyo sio muweza..
Sura Yusuf 12 : 2 inasema. Mmetelemshiwa Qoran kwa lugha ya Kiarabu ili muielewe..
Indeed, we have sent it down as an Arabic Quran so that you may understand.
إِنَّآ أَنزَلْنَـٰهُ قُرْءَٰنًا عَرَبِيًّۭا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ ٢
Kwenye hiyo Aya Masheikh wenu wanazuoni na wao ni maunguani na mamboyoyo kadir wahid maana nao sio Waarabu!! kama aya ilivyo andikwa na Allah la sivyo Allah nae Mboyoyo why aandike hivyo Qoran for arabs na kwa kiarabu.. Tafsiri haikwepeki kwenu mamboyoyo watumwa wa Allah na Mohamed kiongozi wenu aliitwa Bilal.

Mamboyo wakiislam tizam Tafsiri zao:-
Koran 3:54 Kiarabu ni Maneno hayo tu na tizama Tafsiri ya Kiswahili from Abdullah
يَُّ خَٱللۖ وََُّ ٱللرََكَم وُْوارََكَموَ ٥٤ِينٰ ِكرَمۡٱ

. Wale waliomkanusha ‛Ĩsã, miongoni mwa Wana wa Isrãîl, walifanya vitimbi kwa kumpangia wenye kumuua. Allah Mtukufu akamtoa anayefanana na ‛Ĩsã kwa mtu ambaye aliwaashiria wauaji kwake, wakamshika wakamuua na wakamsulubu wakidhani kuwa ni ‛Ĩsã, amani imshukie. Na Allah Mtukufu ni bora wa wenye kufanya vitimbi. Katika haya pana kuthibitisha sifa ya makr (vitimbi) kwa Allah

Tizama Dr. Abdullah na Nassir wanasema Allah ana Vitimbi hahahaha wame tafsiri neno Makr kuwa ni Vitimbi..

Muslim anaye penda ku play Game atabakia na ujinga wake kua wengine tupo kuwasaidia sababu tumesikia masheikh ubwabwa uongo wao.. ukitaka sawa usipotaka sawa ukweli utabakia ulivyo na ukweli utakuweka huru muslim ni dini ya uongo..

Almost Koran ni uongo uliotungwa na Mudy na regime yake even Ummar alikuwa akitunga Aya na Allah anazichukua kama zilivyo so Koran imetungwa na Binadamu kwa kuokoteza from other source
 
Hahaha kama mnaju kua ni lugha tu kwann kile kitabu chenu hamukiandiki kwa kiingereza au kiswahili kule unakuta mafinyo finyo tu alafu ndio lugha ya mungu wenu mpigani
dogo kwani Qur'an hakuna ziliokuwa hakuna zimefanyiwa translated za uhakika, mbona zipo nyingi sana.

Neno; Makr maana yake ni kupanga kheri au shari.

Mimi nakuliza wewe hivi unadhani Mungu akitaka wewe uwe kilema hawezi kukufanya uwe kilema?

Mungu akitaka wewe uwe Tajiri hawezi kukufanya wewe uwe tajiri?

Nikikuambia wewe dagaa unabisha
 
Achana na porojo za mbagala mtu yoyote aliyesoma na kufanya research zake vizuri kuhusu ukristo na uislamu lazima atasilimu tu atake asitake, maana ukweli upo wazi angalia huyu ni catholic priest sio mwamposa au gwajima kauona ukweli
Sawa waache wachukue shahada; andiko la 2Thesdalonians 2:11-12 linawahusu. Mungu anawaacha kutokana na upumbavu wao wapotoshwe. Ila walikuwa kuwa Allah ni SHETANI (sahih Al-Bukhari 4950) wataondoka haraka sana

Screenshot_20231116-174917.png
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahia ujinga anaoufanya MBS, siku zote ukiona watu wanaanza kutoka kwenye utaratibu jua janga litafuata, wait and see.
MBS ukimkosoa anakuweka ndani. Kuna viongozi wa dini walimkosoa na wanamkosoa wanawekwa ndani. Kuna mmoja anaitwa Sheikh Nayef huwa yupo pamoja na Sheikh Mansour Assalmi aliwekwa ndani. Sijui kama mpaka sasa ameshatoka au laa!
 
Tafsiri lazima iendane na jambo husika lililotamkwa au kuandikwa na sio kulieezea kwa marefu hadi unaondosha neno husika ndio tafsiri za Masheikh ubwawa wenu wakiona jambo la aibu linabadilishwa lote kwenye tafsiri na miislam mingi duniani almost 90% hayajui arabic language. mazuzu kama Koran imeandika kuwa Koran imeshushwa kwa waarabu na kwa kiarabu ili ieleweke why Tafsiri zipo nyingi mno it means Allah hajui waarabu kuwa hawana akili vizuri na Allah kwahiyo sio muweza..
Sura Yusuf 12 : 2 inasema. Mmetelemshiwa Qoran kwa lugha ya Kiarabu ili muielewe..
Indeed, we have sent it down as an Arabic Quran so that you may understand.
إِنَّآ أَنزَلْنَـٰهُ قُرْءَٰنًا عَرَبِيًّۭا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ ٢
Kwenye hiyo Aya Masheikh wenu wanazuoni na wao ni maunguani na mamboyoyo kadir wahid maana nao sio Waarabu!! kama aya ilivyo andikwa na Allah la sivyo Allah nae Mboyoyo why aandike hivyo Qoran for arabs na kwa kiarabu.. Tafsiri haikwepeki kwenu mamboyoyo watumwa wa Allah na Mohamed kiongozi wenu aliitwa Bilal.

Mamboyo wakiislam tizam Tafsiri zao:-
Koran 3:54 Kiarabu ni Maneno hayo tu na tizama Tafsiri ya Kiswahili from Abdullah
يَُّ خَٱللۖ وََُّ ٱللرََكَم وُْوارََكَموَ ٥٤ِينٰ ِكرَمۡٱ

. Wale waliomkanusha ‛Ĩsã, miongoni mwa Wana wa Isrãîl, walifanya vitimbi kwa kumpangia wenye kumuua. Allah Mtukufu akamtoa anayefanana na ‛Ĩsã kwa mtu ambaye aliwaashiria wauaji kwake, wakamshika wakamuua na wakamsulubu wakidhani kuwa ni ‛Ĩsã, amani imshukie. Na Allah Mtukufu ni bora wa wenye kufanya vitimbi. Katika haya pana kuthibitisha sifa ya makr (vitimbi) kwa Allah

Tizama Dr. Abdullah na Nassir wanasema Allah ana Vitimbi hahahaha wame tafsiri neno Makr kuwa ni Vitimbi..

Muslim anaye penda ku play Game atabakia na ujinga wake kua wengine tupo kuwasaidia sababu tumesikia masheikh ubwabwa uongo wao.. ukitaka sawa usipotaka sawa ukweli utabakia ulivyo na ukweli utakuweka huru muslim ni dini ya uongo..

Almost Koran ni uongo uliotungwa na Mudy na regime yake even Ummar alikuwa akitunga Aya na Allah anazichukua kama zilivyo so Koran imetungwa na Binadamu kwa kuokoteza from other source
Endelea kupitapita Quora kutafuta huo upuuzi wako
 
Najua kazi kubwa inatakiwa tuifanye ili kuondoa huo ujinga ambao mlipandikiziwa tokea mkiwa wadogo, wakati mnasoma madrasa. Ila wale wanaomtafuta Mungu wa kweli watampata tu.
MAJIBU KWAKO ADIOSAMIGO
Tofauti ya NENO deceived kati ya lilivyotumika kwenye Quran na Biblia ni kuwa kwenye Quran ni yeye Allah anajisemea mwenyewe. Mfano Moja ya Majina yake aliyowafunulia wafuasi wake ni : Al- Makir (the deceiver) na kwa hiyo ndiyo sifa yangu, anawaambia watu. Pia kwenye Quran 3:54 (Allah is the Best of Deceivers) ni maneno yake mwenyewe Allah akijisifu.
Kwenye Jeremiah 4:10
Hayo ni maoni ya Jeremiah baada ya kuona mambo yametukia tofauti na alivyokuwa alifikiri yeye. Kwa Wakiristo waliomo humu JF, mtakumbuka Yona ambaye alitumwa na Yahweh kwenda kutangaza ujumbe wa HUKUMU kule Ninawi. Na kweli alitangaza hiyo HUKUMU kwa bidii. Kichwani mwake akajua Lazima MUNGU atatekeleza hiyo HUKUMU, lakini kumbe alisahau kuwa MUNGU ni mwenye REHEMA, ukiomba msamaha yeye hubatilisha hiyo HUKUMU. Sasa kwa kuwa hakujua hiyo sifa ya Mungu na hakujua kuwa Waninawi, walikuja kuomba msamaha yeye alikasirishwa sana alipoona Mungu hakutekeleza HUKUMU aliyokuwa ameahidi kwa Waninawi.
Maoni kama hayo ndiyo yalimfanya Jeremiah aseme Mungu has deceived His people. Soma hapo ktk Jeremiah 4:9 utaona panasema prophets will be amazed. (Mojawapo ya manabii hao ni Hananiah and Shemaiah Jeremiah 28:1-4, 11; 29:30-32) Hawa ndyo walikuwa wakitabiri Uongo tofauti na Yahweh alivyokuwa ametabiri. Yahweh aliona watu wake ni wenye kiburi hivyo akatabiri kupatwa kwao na msiba (kutekwa utumwani) lakini baada ya hapo watatubu na ndipo Amani itakuwepo.
Hapo ktk 2Thessalonians 2:11-12 Yahweh ameruhusu/ameacha hao watu wapotoshwe...(That is why God lets a deceptive influence mislead them so that they may come to believe the lie, 12 in order that they all may be judged because they did not believe the truth but took pleasure in unrighteousness. ) Hiyo ni tofauti na Quran 3:54 ambayo inasema Moja kwa Moja Allah the Best of Deceivers.
Mm ninachoshangaa kwenu nyinyi Waislam ambao Kiarabu siyo lugha yenu. Hapa tumewawekea huyu Msaudi Arabia, na tunawaambia kuwa alikuwa Siasa kali kupita nyinyi, lakini alipoangaziwa na Nuru ya Yesu Christo alibadilika na kufuatia kweli ya Biblia BADO HAMTAKI HATA KUANGALIA HIYO VIDEO 😧😧😧 Kwenu nyinyi hilo ANDIKO la 2Thessalonians 2:11-12 Litatimia. Mungu wa kweli atawaacha muendelee kupotoshwa na hao masheikh uchwala.
View attachment 2817372
nimeisha kujibu Al Makri ama iwe shari/kheri nani anaye weza kukuletea magonjwa kama si Mungu na nani anaye weza kukufanya usipate maradhi kama si Mungu, sa ubishi wako ni nini?

Yani Mungu hawezi kukuletea shari? Au kukuondolea shari? Kama anataka.

Hebu tujibu basi, nikikuambia we dagaa unabisha
 
Sawa waache wachukue shahada; andiko la 2Thesdalonians 2:11-12 linawahusu. Mungu anawaacha kutokana na upumbavu wao wapotoshwe. Ila walikuwa kuwa Allah ni SHETANI (sahih Al-Bukhari 4950) wataondoka haraka sana
View attachment 2817427
View attachment 2817429
Wewe umekaririshwa mburahati na hawa wamefanya research ila mwanzo walikuwa kama wewe, ukisoma na kufanya research kuhusu dini lazima utaangukia kwenye uislamu tu hakuna namna, wewe endelea kwenda kuimba kanisani jumapili acha wenye akili wamfuate mungu
 
Hadith siyo rejea ya Qur'an,Bali Hadith ni amendment ya Qur'an,yaani kama katiba na amendment zake,wakati Qur'an inasema inatosha na imeeleza kila kitu,ni mapokeo,dini imepokelewa hivyo na watu wamesonga nayo hivyo,sisi tunaopinga Hadith tunaambiwa tunamkataa mtume,ni Vita haswa,palikua na wayahudi ambao waliyaingiza hayo katika uislam katika kipindi Cha mfarakano wa waislam,miaka Kama 15 hivi baada ya kifo Cha mtume
Na hilo ndio tatizo la hiyo dini yenu. Haijawahi kisimamia yenuewe bila kuingiza na kulaumu dini nyingine. Hapa mnautupia uyahudi mzigo usio wahusu. Kama uyahudi ndio uliingiza hizo Hadith kama reference rasmi za dini ya Uislam. Kwanini mlizikubali na mkazitumia kwa miaka yote hiyo?
 
Back
Top Bottom