Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajatuzidi ni kwamba fedha yao imepoteza thamaniIna maana Zambia wametuzidi kiuchumi?
We hujaelewa..Hawajatuzidi ni kwamba fedha yao imepoteza thamani
Embu weka figure ya kwacha na Tsh tutathiminiWe hujaelewa..
Kwa figure ya 1 USD kuwa sawa na kwacha 16.20 na Tshs 2332 thamani ya hela yetu ipo juu kuliko kwacha..!!!??? Hujaelewa
Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu. Chukua hiyo uliyoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.Leo asubuhi nilikuwa na Google thamani fedha kwa nchimbalimbali za Afrika dhidi ya Dola ya marekani.Nimeshituka kuona kwamba 1$=16.20 kwacha ya zambia.kwa kweli sijaelewa ,naomba ufafanuzi tafadhali.
Kama tu hiki ulichoandika ni kweli, nitakuwa nimekuelewa.Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
Kwa hiyo, kwacha 16.20 na Tshs 2332 hujaziona? Weka ratio tu kwa cross multiplication. Kama 1USD ni sawa na kwacha 16.20 na ni sawa na Tshs 2332, then kwacha 16.20 ni sawa na Tshs 2332, hivyo kwacha 1 ni sawa na Tshs 144. Sasa hapo ipi ina thamani?Embu weka figure ya kwacha na Tsh tutqthimini
Kwa hiyo, kwacha 16.20 na Tshs 2332 hujaziona? Weka ratio tu kwa cross multiplication. Kama 1USD ni sawa na kwacha 16.20 na ni sawa na Tshs 2332, then kwacha 16.20 ni sawa na Tshs 2332, hivyo kwacha 1 ni sawa na Tshs 144. Sasa hapo ipi ina thamani?
Kweli nimeandika kiutopolo sorry mleta mada kwa taharukiWe hujaelewa..
Kwa figure ya 1 USD kuwa sawa na kwacha 16.20 na Tshs 2332 thamani ya hela yetu ipo juu kuliko kwacha..!!!??? Hujaelewa
Bro..!! This is a high level of maturity.Kweli nimeandika kiutopolo sorry mleta mada kwa taharuki
Ndo ukweli wenyeweKama tu hiki ulichoandika ni kweli, nitakuwa nimekuelewa.
Mmasai kaingia discoKwa hiyo, kwacha 16.20 na Tshs 2332 hujaziona? Weka ratio tu kwa cross multiplication. Kama 1USD ni sawa na kwacha 16.20 na ni sawa na Tshs 2332, then kwacha 16.20 ni sawa na Tshs 2332, hivyo kwacha 1 ni sawa na Tshs 144. Sasa hapo ipi ina thamani?