Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Bro..!! This is a high level of maturity.
Redenomination!!! Dah! Nilikuwa sijui. Ujue miaka km kumi na tano iliyopita niliwahi kufika Tunduma nikaona pesa ya Zambia ipo chini sana,Ilikuwa 1Tshs kwa kwacha 300,Ajabu nimerudi mwaka jana naambiwa Kwacha ipo juu ya Shilingi yetu,nikashangaa mno.Kumbe ni ishu ya Redenomination.Nimeelewa sasa mkuu,ngoja ni Google hicho ki redenomination.Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
Kwaiyo mkuu dollar moja sawa na Kwacha ya Zambia 16,000?Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
Hapana, uchumi unapimwa kwa GDP, sio kwa thamani ya unit moja ya currencyIna maana Zambia wametuzidi kiuchumi?
Huo ndio uhalisia kabisa mkuuZambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
Kwa hiyo kwacha 1000 ndiyo sawa na Tsh 144?Kinachofanya kwacha ionekane na thamani sio uchumi, bali walipunguza zero tatu maana kulikua na mfumuko wa bei.
Hivo kwny hela ya zambia ongeza sifuri tatu
Yaani 1USD sawa na 16200 kwacha
Uongo mtupu. Wametuzidi. Kwacha 1 ni tsh 143.Hawajatuzidi ni kwamba fedha yao imepoteza thamani
Duh! Nakuombea toba mkuu.Zambia pesa yao ilishuka thamani wakaamua kufanya Redenomination wakapunguza zero tatu.Chukua hiyo uli yoiona ongeza zero tatu ndo thamani halisi.
we nawe umechanganya madesa hapa. 1 usd n sawa na kwacha 16.20 na siyo 1600Yaani Kwacha1600 Na cent 20, na Tsh,2332,
Ipi itakuwa kubwa
Pitia na ndola hapo bas 😶HAPANAAAAAAA
Thamani ya kwacha iko juu kuliko shilingi.
sema uthamani wa hela hauna uhusiano wowte na uchumi.
Zambia ni nchi maskini kuliko TZ , hvyo bado haisaidii chvhote kwa wao kuwa na hela kubwa.
ila siwatanii maisha ya zambia ni gharama sana
just imagine malaya ananiambia short time 500 kwacha sawa na Tsh 69 000
na kulala naye ni 800 kwacha sawa na Tsh 110,000......wakati bongo ni hela napiga pombe ,nyama choma ,guest na ya kumlipa mwanamke.
HAKA KA-NCHI KAKISENGE SANAAA
by the way huwa napita zambia kuelekea maeneo mengine.
NB: 100 kwacha hii unayoiona ni sawa na 13,800 Tsh.
hii ni exchange rate ya 04/08/2022
nawasilishaView attachment 2317541
mkuu uko ndola??Pitia na ndola hapo bas [emoji55]
No niliishi kidogo hapo Kuna ndugu zangumkuu uko ndola??
What if kaona kamba mguuni?!!HAPANAAAAAAA
Thamani ya kwacha iko juu kuliko shilingi.
sema uthamani wa hela hauna uhusiano wowte na uchumi.
Zambia ni nchi maskini kuliko TZ , hvyo bado haisaidii chvhote kwa wao kuwa na hela kubwa.
ila siwatanii maisha ya zambia ni gharama sana
just imagine malaya ananiambia short time 500 kwacha sawa na Tsh 69 000
na kulala naye ni 800 kwacha sawa na Tsh 110,000......wakati bongo ni hela napiga pombe ,nyama choma ,guest na ya kumlipa mwanamke.
HAKA KA-NCHI KAKISENGE SANAAA
by the way huwa napita zambia kuelekea maeneo mengine.
NB: 100 kwacha hii unayoiona ni sawa na 13,800 Tsh.
hii ni exchange rate ya 04/08/2022
nawasilishaView attachment 2317541
Mwanzoni walikuwa wanatumia ZMK ila kwa Sasa hivi wanatumia ZMW ambapo 1ZMK ni saw na 0.001 ZMW ila zote zinaitwa kwacha kwahiyo anachokifanya Zambia ni kulinganisha gramu Moja ya Tanzania kwa kiliogram Moja ya kwaoMbona Google wanadai 1kwacha ni 143.8 wakati mnasema waliondoa 0 3?View attachment 2317540
Anachokisema ni ukweli mwanzo Zambia walikuwa wanatumia zmk kwacha ilivyoshuka thamani wakaamua kupanda juu Ili kupunguza idadi ya sifuri ndio wakaja na zmw.. ila jina likabaki kuwa ni lileAcha kuandika na kurudia rudia huu upumbavu, uaaibisha ukoo wenu.