Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Hata mabondia waliokuwa wanapiganishwa na Tysons walikuwa wanamzidi vitu vingi ikiwamo kimo, muonekano muscle pack etc ila alikuwa anawabatua fasta.....

Tusiongelee story tafuta mtu mwenye hiyo gari. Tena kama vipo upate ile Golf VW GTI..... Utajuta kubet.....
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
 
Yani kama una crown au mark x usifuatane na Golf utapata hasira zile gari nikitu kingine
 

Sula la bei inadepend na Production ya mwaka gani.

Mfano, Golf GTi ya mwaka 2010 bei imechangamka.

Golf GTi ya mwaka 2015 na kuendelea, bei zake ni motooo, hazishikiki.

-Kaveli-
 
Mkuu kidadari , vipi ulifanikiwa kumuopoa huyo mnyama VW Polo?

If yes, vipi maendeleo katika utumiaji wake?

Tupe mrejesho na experience.

-Kaveli-
 
Ni kazuri sana na kako stabble sana road, tatizo ukikataka kukauza ndio shida inapoanzia hapo

Na kwa appearance, binafsi naonaga Polo ina muonekano mzuri kuliko golf... hasa sura ya mbele na mkato wa nyuma.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…