VW polo speed ni 220kh/hEven if it is Golf GTI,kwa nguvu ya kuondokea haiwezi kushindana na Toyota Crown or Mark x until Toyota crown/Mark X zifikie maximum speed ambayo ni 180km/hr tofauti na hapo ni miujiza.
Mkuu mimi sio mpenzi sana wa Nissan,lkn kuna thread humu zimeelezea kwa kina khs dualis,ngoja nim-tagg jamaa mmoja Boeing 747 anazijua vzr Nissan atatupa maelezomkuu naona wewe upo vizur kwenye uwanja wa magari!! Japo nje ya maada..Naitaji kujua Nissan Dualis kuanzia spare na unywaji wa mafuta.hilo tu mkuu!!
Elewa essence ya nilichokiandika,achana na mambo za top speed-Unadhan below 180km/hr Golf GTI inaweza kukimbia kushinda Crown yenye Hp ya 300+?VW polo speed ni 220kh/h
VW Golf GTI 300km/h
Crown ni 180km/h
Kwa hio mzee baba unahisi golf gti inafikia hio top speed ya 300km/h sio?VW polo speed ni 220kh/h
VW Golf GTI 300km/h
Crown ni 180km/h
Hamna hata haja ya kusoma kuelewa kwamba Crown ina power kubwa kuliko GTI
Jini ukimaanisha nini hapo mkuu?Jini la Kijerumani
Changamoto ya Crown ni speed limit yake,tofauti na hapo usingeandika hz habariHizo Crown za 2500CC haingii kwa mnyama huyo niliyemsema nimeshashuhudia kwa macho yangu.
Hii ndio shida na hizi barabara zetu mara Lori limeachwa njiani ni hatari.Tatizo hizo gari hata ukiwa 180 hujui maana imetulia ila ukiangalia kisahani unasema mamaaa ngoja nishuke.
Gari ndogo inafanya shughuli za kibabeee barabaraniJini ukimaanisha nini hapo mkuu?
Hii ndio shida na hizi barabara zetu mara Lori limeachwa njiani ni hatari.
yan siwez amin cc1300 speed 220 nyie watu?Haka kagari VW Polo 2007 nimekakubali sana sana kwanza cc 1300, millage 34k/km speed 220km/h pia kodi yake TRA(TRA CALCULATOR) ipo chini around 5m
Naombeni ushauri hukusu changamoto za hii gari kabla sijaivuta.
View attachment 1599348View attachment 1599348
Huyo ni mdogo kuna Kaka yake Volkswalgen GOLF GTI (260KM/H) yule LC 200 V8 kwenye lami kakutana na mwambayan siwez amin cc1300 speed 220 nyie watu?
izo 220 au 260 anafikisha au ulembo tu?Huyo ni mdogo kuna Kaka yake Volkswalgen GOLF GTI (260KM/H) yule LC 200 V8 kwenye lami kakutana na mwamba
View attachment 1602211
View attachment 1602213
Tangu lini Mjerumani kaanza biashara za kichina aisee? Na stability ni kubwa hata kama hupo kwenye speed. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anatoka Mwanza kwenda Kahama na Golf GTI Tairi ya mbele imeburst hajui, mpaka alipoanza kusikia mlio usio wa kawaidaizo 220 au 260 anafikisha au ulembo tu?
mjifariji tuTangu lini Mjerumani kaanza biashara za kichina aisee? Na stability ni kubwa hata kama hupo kwenye speed. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anatoka Mwanza kwenda Kahama na Golf GTI Tairi ya mbele imeburst hajui, mpaka alipoanza kusikia mlio usio wa kawaida
Hii ya tyre kupasuka na Dereva kutokujua gari ikiwa kwenye motion mimi hapana aisee !! Mhh,hapana kwa kweli mzee wangu hata kama ndo kusifia stability zenyewe🤣🤣🤣🤣Tangu lini Mjerumani kaanza biashara za kichina aisee? Na stability ni kubwa hata kama hupo kwenye speed. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anatoka Mwanza kwenda Kahama na Golf GTI Tairi ya mbele imeburst hajui, mpaka alipoanza kusikia mlio usio wa kawaida