Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

Embu kaka mng'ato utusaidie kuhusu hii stability anayosema mr Moses Swai
Kwa wanaofahamu rim za volkswagen golf
1602868264162.png


Kuna utofauti mkubwa sana na mguu wa Toyota IST
1602868413241.png

Sasa tairi ipasuke una IST na ipasuke una VW wapi utaokoka kwa wepesi? Miguu tu inaongea boss bado kwenye ku absorb pressure ya speed najua IST ukiwa 180 tu roho mkononi. Hapo kwenye VW unaweza kanyaga 200 na usisikie mtikisiko wa gari yaani kitu kimetulia kama maji mtungini.
 
Despite of uchumi wa kuunga unga, ipo tu siku VW Polo nitaiopoa niionje ladha yake. I like performance wheels.
Ni pesa tu, najua hata magari mengine ya VW ni bora pia kama Amarok , Tourage, Passat, Jetta, Tiguan, Atlas, Teramont, Scirocco, Bettle
1602868850600.png

1602868881349.png

1602868909550.png

1602869018908.png


1602869053359.png

1602869079142.png

1602869121582.png

1602869155250.png

1602869244257.png
 

Attachments

  • 1602869159325.png
    1602869159325.png
    475.6 KB · Views: 56

Lakini mbona Amarok zinachoka haraka mno? Zinakongoroka mapema! Au ni matunzo ya mtu binafsi? Au ni kwa vile ni field vehicle?
 
Polo MK4 ina engine za petrol 8 zenye ukubwa kuanzia 1200cc mpk 1800cc zinazotoa HP kati ya 55 mpk 150.

Polo MK4 ina engine za diesel 4 zenye ukubwa kuanzia 1400cc mpk 1900cc zinazotoa HP kati ya 70 mpk 130.

Mark x 1st gen. wana Engine za Petrol 3 zinazo range kuanzia 2500cc mpk 3000cc zinazotoa Hp kati ya 212 mpk 315.

Crown S180 wana Engine za Petrol 3 zenye ukubwa wa kuanzia 2500cc mpk 3500 zinazotoa hp 212 mpk 314 hp,wkt crown S170 zina engine za petrol 5 kuanzia cc 2500 mpk 3000cc zinazotoa HP Kati ya 197 mpk 280.

Sasa hapo Polo itakatizia wapi jomba?

Nasubiri facts zako boss.
we iyache polo kabisa mkuu usiifananishe na magari mengine ile speed ni 220 sasa hawa wa mia 180 wanaongea nni
 
Back
Top Bottom