GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
huo ni uongo wa waziwaziInasema.....
Tanzania ya pili kuingiza Watalii duniani.
Iko Ukurasa wa Tatu ( 3 )
Na GENTAMYCINE naomba ikithibitika kuwa si kweli basi upesi sana Mhariri wa Gazeti hili la Habari Leo na Mwandishi wa Habari hiyo anbayo nina uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine hata ya Kufanya Usafi Ofisi zao na hasa hasa Maliwatoni ( Toilet ) kwani wameonyesha Udhaifu mkubwa wa Kiuweledi na Usiovumilika kwa Watu tuliobarikiwa Upeo / Akili na kufuatilia Masuala Mtambuka ya Kidunia Kiumakini sana.
Watuombe Radhi Wasomaji na Watanzania upesi sana. Hivi wametuonaje labda?Uongo huo uongo
Watuombe Radhi Wasomaji na Watanzania upesi sana. Hivi wametuonaje labda?huo ni uongo wa waziwazi
tatizo infruensa😂😂😂😂Watuombe Radhi Wasomaji na Watanzania upesi sana. Hivi wametuonaje labda?
Upesi sana Mhariri na Mwandishi wa Habari hiyo wapangiwe Majukumu mengine hasa ya kufanya Usafi Vyooni / Maliwatoni katika hiyo hiyo Ofisi yao.Sijawahi poteza mda wangu kusoma habari leo
Walichofanya Habari Leo ni very Unprofessional tena ukizingatia ni Gazeti la Serikali ambalo Kiprotokali kwa msiojua ni kwamba Mhariri wake Mkuu huwa ni Rais wa nchi.Labda ni promo ya Maonesho ya Utalii, SiTE ( swahili International tourists expo ) inayofanyika mliman city
Ila wangeweka source ingependeza
Dah,kafanya kimazoea au kwa makusudi, apate mileage kama hvWalichofanya Habari Leo ni very Unprofessional tena ukizingatia ni Gazeti la Serikali ambalo Kiprotokali kwa msiojua ni kwamba Mhariri wake Mkuu huwa ni Rais wa nchi.
Kama Mdau wa Tasnia nimesikitika.
📡Inasema.....
Tanzania ya pili kuingiza Watalii duniani.
Iko Ukurasa wa Tatu ( 3 )
Na GENTAMYCINE naomba ikithibitika kuwa si kweli basi upesi sana Mhariri wa Gazeti hili la Habari Leo na Mwandishi wa Habari hiyo anbayo nina uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine hata ya Kufanya Usafi Ofisi zao na hasa hasa Maliwatoni ( Toilet ) kwani wameonyesha Udhaifu mkubwa wa Kiuweledi na Usiovumilika kwa Watu tuliobarikiwa Upeo / Akili na kufuatilia Masuala Mtambuka ya Kidunia Kiumakini sana.
Kadhamiria / Wamedhamiria wakiamini Watanzania wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kama Wao.Dah,kafanya kimazoea au kwa makusudi, apate mileage kama hv
Tanzania ni ya Kwanza na pia ni ya Pili.Kwahiyo kati ya south Africa, Ethiopia, Eigypt ipi ya kwanza hapo
Watuombe / Waombe Radhi upesi sana.📡
Wamedanganya
uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine
Lakini kwenye magazeti Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO amepewa hayo mamlaka, sisi tunasema amepewa mamlakaSheria ya Huduma za Habari, kwa mfano, inaharamisha “habari za uongo” na “umbea” chini ya kipengele cha 50 na 54 kwa kutengeneza kosa la
“uchapishaji unaopelekea kusababisha uoga na wasiwasi” ambalo linatolewa adhabu ya faini ya shilingi za kitanzania milioni 10 hadi milioni 20 (Kati ya Dola za Marekani 4,350 hadi 8,700).
Nakubaliana nawe kwa hili 100% Mkuu.Chawa siku hizi wametamalaki kila sehemu, hapo Mhariri naye anatafuta 'ntoke vp'