Naomba Ukweli wa Taarifa hii iliyoko HABARI LEO ya Leo kwani Mimi Siiamini na Sitoiamini

Naomba Ukweli wa Taarifa hii iliyoko HABARI LEO ya Leo kwani Mimi Siiamini na Sitoiamini

Pia wamevunja sheria ya TAKWIMU kwa kunukuu data za uongo na kusababisha kuufanya umma wa watanzania kupewa taarifa zisizo sahihi.
Waombe Radhi Watanzania na Wawajibishwe pia. GENTAMYCINE huwa nachukia sana Mtu Msomi ( Intellectual ) na Mweledi ( Professional ) wa Tasnia fulani kuwa Muongo tena wa Kimakusudi kama huu wa hili Gazeti la Serikali la Habari Leo na Watendaji wake Mhariri na Mwandishi husika wa Taarifa hii / hiyo ya Uongo Kwetu.
 
NA mwairir akatia ok taarifa ichapishwe jionee link ya nchi zinaongiza kwa watalii duniana

 
Inasema.....

Tanzania ya pili kuingiza Watalii duniani.

Iko Ukurasa wa Tatu ( 3 )

Na GENTAMYCINE naomba ikithibitika kuwa si kweli basi upesi sana Mhariri wa Gazeti hili la Habari Leo na Mwandishi wa Habari hiyo anbayo nina uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine hata ya Kufanya Usafi Ofisi zao na hasa hasa Maliwatoni ( Toilet ) kwani wameonyesha Udhaifu mkubwa wa Kiuweledi na Usiovumilika kwa Watu tuliobarikiwa Upeo / Akili na kufuatilia Masuala Mtambuka ya Kidunia Kiumakini sana.
Hiyo raarifa imewekwa makusudikumvimbisha kichwa Hanganya.

Asipokuwa makini anakuja kustuka kumekucha
 
Hiyo raarifa imewekwa makusudikumvimbisha kichwa Hanganya.

Asipokuwa makini anakuja kustuka kumekucha
Rais ukikubali Kudanganywa ni dalili tosha ya Kudharaulika na Watendaji wako na pia ni Ishara kuwa nao wameshakuona kuwa huna Ukijuacho na Ukiwezacho.
 
NA mwairir akatia ok taarifa ichapishwe jionee link ya nchi zinaongiza kwa watalii duniana

Watuombe Radhi Wasomaji na Watanzania wenye Akili Kubwa na Wafuatiliaji wa Mambo / Masuala Mtambuka kuliko wao.

Leo ninao na siwaachi.
 
Huku pia serikali ya CCM inajipongeza

SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI


0fea235389a4def33fa535af7c0c4079.jpeg

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) amesema mabadiliko yaliyofanyika ya Sheria za Huduma za Habari yataenda kukuza Sekta ya Habari kwa kiwango kikubwa.

Mhe. Nape Moses Nnauye ameyasema hayo baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha mabadiliko hayo ya Sheria hiyo, Bungeni, jijini Dodoma, leo Juni 13, 2023.

“Mabadiliko yaliyofanyika yataenda kukuza Sekta yetu ya Habari kwa kiwango kikubwa sana. Yataongeza uhuru wa kujieleza, haki na wajibu lakini pia yatakwenda kushughulikia tatizo kubwa la hadhi ya Wanahabari ambayo ni kuifanya kazi ya Habari iwe taaluma na ikiwa taaluma itakuwa na kipato ambacho kinaelezeka kwa mujibu wa Sheria”- amesema Waziri Nape.

Katika hatua nyingine Waziri Nape amesema Katika Sheria hiyo kumeondolewa jinai ambapo ni jambo zuri na litajenga Tasnia ya Habari ikue na kuendelea vizuri.

Sambamba na hayo Waziri Nape amempongeza Mkuu wa Nchi Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa ndiye aliyeagiza mapitio ya Huduma za Habari ya mwaka 2016 na kumshukuru kwa uamuzi wake huo mzuri.

Waziri Nape ameziomba taasisi za kimataifa ambazo zinafanya tathmini ya hali ya demokrasia, Uhuru wa Wanahabari na Uhuru wa Kujieleza, zitumie taarifa za sasa hivi baada ya mabadiliko haya kufanya tathmini.

Maana wamekuwa wakitumia taarifa za muda mrefu na kuifanya nchi kuonekana kama haijapiga hatua wakati Serikali ya Awamu ya Sita imefanya mengi katika kurekebisha uhuru wa watu kujieleza, uhuru wa Wanahabari na kupanua wigo wa demokrasia.
 
Ni hatari sana kuwa na chawa ambao hawajielimishi,mhariri alishindwa kuchungulia hata Google maskini!.
 
Gazeti lipigwe faini na kufungiwa kama sheria inavyotamka.

Pia idara ya MAELEZO ikemee tabia hii ya kupotosha umma kupitia gazeti hili linalomikikiwa serikali
 
Kwa Tanzania chochote tu kinaandikwa ili kumzuga iwe mwananchi au mlengwa yoyote. Hawajawahi kustik kwenye ukweli moja kwa moja. Kuna ile waziri mmoja anasema hapo Tanzania kugawa chakula kwa nchi za ulaya. Mwingine anakuja kesho Tanzania kupewa msaada wa chukula na jumuiya ya ulaya
 
Inatusaidia nn kila kitu bei juu
 
Back
Top Bottom