certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 814
passport naitoa wapi ? Ungenipuuza kaka wajasiliamali si wakujibishana na watu kama mm just keep on telling the storySitoi kiki boss. Bundle ni langu kwanini unipangie cha kupost?!
Kwani certified mdokozi ni jina lililopo kwenye passport yako, au unaleta tu unafiki.
Asante, nashukuru sana kakaBoss kuhusu dawa hua tuna assume mahindi yakivuka magoti basi mashambulizi dhidi ya wadudu ni madogo sana, so hkn dawa tunatumia. Kwa uelewa wangu.
Pia mbolea inategemeana na ardhi boss, so nahisi hapo mpk uwe na vipimo vya maji na udogo. kitu ninachotumia Ruvu kinaweza kuwa tofauti na huko ulipo, mfn mahindi hapa Miono nimetumia urea tu.
Dah yaani unaposema kukutana na watu sahihi umenikumbusha wakati nilipoanza biashara ya viazi vya chips, jamaa alinifanyia uhuni akanipatia mbegu za viazi badala ya viazi vyenyewe, nikapata hasara ya 7MBoss! Kua connected kwenye biashara ndio kila kitu, naeza sema hii ndio prime factor. Wenzetu wazungu wanapenda kusema "Your network is your net worth."
Na sisi ambao hatukubahatika kuwa na surnames za kiheshimiwa kutengeneza network ni ngumu sana. Yani leo hii wewe na riz1 wote mkipewa mil 10 mfanye biashara, ndani ya mwaka m1 jamaa keshakuacha mbali sana. Maana hata akisema anasupply pipi za ivory kwenye taasis za serikali anaeza hata kuuza pakti elf 20, wewe huku kitaa pakti unauza ef 3.
Ukianza biashara hautaelewa kila kitu in an eye blink. Ni pole pole, kadri unavyozidi kua kwenye game ndio unavyoelewa how it's done na ndivyo unavyozidi kukutana na watu wengi, hawa watu ndio connections zenyewe. Niseme kwa ufupi, kukutana na watu sahihi ndio njia rahisi zaidi ya kutengeneza network yako.
Hata kwenye masoko pia ni hivyo hivyo.
Mkuu mwenye nayo anaanza na laki na nusu,mimi niliona ameovrrcharge ckuendelea na mazungumzo nae,nahisi atashusha hadi laki na nusuBoss mtitimbi kwa bei gan mkuu
Kwani haiwezekani?Baada ya kusoma maelezo ya mwanzo na replies zako kwa maswali na comments za wakuu mbalimbali katika uzi huu, na kama nimeelewa vizuri kuhusu umri wako, kuna sehemu umesema unataka uwe na kampuni 5 kabla ya kufika miaka 25, ikiwa na maana hujafikisha miaka 25. Hii inanipa shida kuamini kwamba uko below 25, au labda sijaelewa vizuri kuhusu hilo la kabla ya 25 years. Mkuu kama hutojali, ufafanuzi pls.
Inawezekana mkuu. Hapo nilitaka ufafanuzi wa umri wake maana alivyofikia hatua hizo kibongobongo ni ngumu, lakini ukipata maelezo kutoka kwa mhusika inakua nzuri zaidi na pia swali hilo linaamsha mhusika atiririke zaidi. Hata hivyo yeye alinielewa na jibu alilotoa nilimuelewa.Kwani haiwezekani?
Huwa wanakuja na speed wakijua we wakuja..wanaweza shusha mpaka lakiMkuu mwenye nayo anaanza na laki na nusu,mimi niliona ameovrrcharge ckuendelea na mazungumzo nae,nahisi atashusha hadi laki na nusu
Tena nilikosea kuandika alianza na 2.5,siyo 1.5Huwa wanakuja na speed wakijua we wakuja..wanaweza shusha mpaka laki
Hapana hao walio shika masoko kuna watu au aina fulani ya watu ambao inawalenga, wewe unaweza fanya biashara hiyo hiyo lakini market yako ni watu wa aina fulani tu, focus na watu hao, eels vionjo vinavyo wavutia komaa na subiri na soon utaona mabadiliko.Daaah kwenye biashara naona nicheza makidamakida nilijaribu kufuga kuku wa nyama niliishia kuwauza kwa mkopo hadi leo sijajua nilipokosea sasa nilipoona picha za kuku nimekumbuka mbali natamani kurudia biashara hiyo lakini soko imekuwa kikwazo sana kwa mkoa nilipo.........unakuta wapo walioshika soko kwa muda sasa wewe inakutia kwenye mahangaiko sana
Asante sana mkuu unanipa moyo wa kuweza kurudi tena kwenye biashara hiyoHapana hao walio shika masoko kuna watu au aina fulani ya watu ambao inawalenga, wewe unaweza fanya biashara hiyo hiyo lakini market yako ni watu wa aina fulani tu, focus na watu hao, eels vionjo vinavyo wavutia komaa na subiri na soon utaona mabadiliko.