Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
πππ mchizi noma sana,taaluma ya utapeli sijui kaisomea wapi? very professionalππHuyu jamaa mwisho wa siku aliishia kuwabutua wazawa na michezo yake ya Forex. They never saw it coming! Greatest Con in the making
Kwangu mm huyu jama ni hero pamoja na kwamba mnasema aliwatapeli,[emoji16][emoji16][emoji16] mchizi noma sana,taaluma ya utapeli sijui kaisomea wapi? very professional[emoji16][emoji16]
Huna akili wewe uzi wa mwaka juzi then leo ndio unamuhoji mtu kama katoa leo mada.Kwa nini unaficha sura?hzo project zako mbona husemi ziko wapi una ishia kutuonyesha picha tu.
Hahah yuko vizuri sanaπππ mchizi noma sana,taaluma ya utapeli sijui kaisomea wapi? very professionalππ
KW hyo mwka Jana hzo picha za kuku na mahindi alieleza anazifugia wapi?nielekeze nami nikashuhudie mafanikio yake kivitendo.au suea yke mwaka jani ilionekana?Huna akili wewe uzi wa mwaka juzi then leo ndio unamuhoji mtu kama katoa leo mada.
Kweli sikila aliyepata nafasi ya kuona mwangaza ataufuata.
Hivi wewe JF umejiunga lini kwanza tuanzie hapo unamjua member abate anayejulikana sula yake physically toka JF iwepo then uje hapa.KW hyo mwka Jana hzo picha za kuku na mahindi alieleza anazifugia wapi?nielekeze nami nikashuhudie mafanikio yake kivitendo.au suea yke mwaka jani ilionekana?
Umenena vyema.atawpiga wenye bongo za kamasi tu huyu pimbi.Huyu jamaaa ni professional katika utapeli...kafundishwa na wanigeria na wasauz....amewapiga sana watu aisee alafu akapepea kusiko julikana...nimepitia huu uzi, watu wanauliza maswali mshikaji yy kazi yake ni ku-like tu hata hajibu....pia kuna wapambe wake walikuwa wanajidai kujibu baadh ya hoja huku wakireact harshly any negativity comment kuhusu mshikaj....kiufupi ukialikwa kwenda kwenye fursa ujue wewe ndo fursa yenyewe
Nimejiunga na JF kabla hujanunuliwa simu.VP nimejibu swali lako.Hivi wewe JF umejiunga lini kwanza tuanzie hapo unamjua member abate anayejulikana sula yake physically toka JF iwepo then uje hapa.
Unauliza kuhusu miradi ya Sir Jeff sasa sim yako inamuhimu gani kuitwa smartphone, nenda google Sir Jeff Dennis, nenda YouTube search Sir Jeff Dennis, Nenda tafuta nakala za gazeti zilizopita sikufundishi unazipataje, uliza ujifunze sio unakuja kibabe then ujui kitu, you need to use your fake id effectively kujifunza mambo boss sio kukulupuka.
Then unauliza sula yako mladi wako wewe hata simu yako tu umeonesha humu unatumia simu gani, mutataka muulize mpaka tuoneshe mke wako ukiwa kitandani.
Mbona unaongea kama umeingia leo JFNimejiunga na JF kabla hujanunuliwa simu.VP nimejibu swali lako.
Kawaida tu kiongozi kwan we umeuliza mini?kama huamini muulize maxence nimejiunga ln, akikujibu linganisha na mwaka ulionunuliwa cm.Mbona unaongea kama umeingia leo JF
Kamanda jamaa alisha kimbia humu jfMkuu Mimi nimeamua kujiajiri kwa kufanya biashara ya Mchele, mchele nautoa kahama na kuleta Moshi, nimeanza na tani 1, na pia nimefanikiwa kufungua frame naomba unipe mbinu gani niitumie ili niuze Mchele wangu kwa uharaka zaidi?,
Aiyaaaa, kwanini alikimbia?Kamanda jamaa alisha kimbia humu jf
Akasepa S.AAiyaaaa, kwanini alikimbia?
[emoji115]Dogo mshenzi sana...sasa haongei tena baada ya kupiga watu kwenye Forex...lakini amerudi kivingine najua
Aiyaaaa, kwanini alikimbia?