Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
- Thread starter
-
- #121
Nashukuru sana kwa ushauriKwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very best
Nashukuru kwa ushauri nitauzingatiaKwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very best
SawaInawezekana kubadili
Huo ni mkataba wa mauziano. Kwenye hati hakuna mashahidi wa namna hiyo.Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
kosa la 8Hivi una uhakika umeoa kweli. Kwangu mimi utakuwa UMEOLEWA bila wewe kujijuwa.
Ngoja nikuulize uliyoona ni hati ya kiwanja au mkataba wa kununua kiwanja?Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mkeo anakuzid kipatoWana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Muaminishe kuwa hauna nia na hicho kiwanja alafu Kaa kimya. Baada ya mda mshawishi akukopeshe kiasi kikubwa cha pesa kisha lala mbele mkuu.Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mkeo ni mbinafsi. Kubadili itakuwa ni mchakato, tafuta mwanasheria awaambie cha kufanya.Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Mambo ya mauzo yataihusisha na tra katika capital gain, na kujikuta wanalipa pesa nyingi.Hapo jibu ni moja tu, nenda ukauze kiwanja kisha unaemuuzia akuuzie tena upya ndio utaandika majina yako na majina yake
Yaan hapo huwezi kufuta jina kwenye hati limeshaandikwa mchakato ni kumuuzia mtu kisha yule akuuzie tena upya ndio unabadirisha majina mnaweka majina yenu wote, lakini sababu ni nini haswa mpaka unataka kufanya hivyo kwani mkeo haumwamini?
Huyu mleta mada anaonekana ni kijana ambaye alioa mwanamke msomi, mjanja, anayeijua hela na mwenye exposure hili wasaidizane maisha.... Na Sasa hivi ndio anakutana na upande WA pili wa mwanamke WA dizaini hiyo.Nilivyoelewa ni kuwa mwanzo wifewako na wewe mlichanga then pesa ukampa yeye anunue kiwanja, then akanunua huko aliko akatafuta na hati ila akaona aandike jina lake tu
...
Baadae inaonekana mkakutana ukaona haina jina lako mkajadili akakubali jina lako pia liongezwe
...
Unachotaka kujua/ushauri ni kama inawezekana kuongeza jina ama la!
Jibu: inawezekana kikubwa tu mhusika ambae jina lipo kwenye hati awepo na akubali kusaini (kakubali tayari)
...
Hahaha ila next time wakuu makosa kama haya ni ya kuepuka ukichanga na mtu pesa kununua kitu fatilia nawewe upate umiliki wa hicho kitu
SawaMkeo ni mbinafsi. Kubadili itakuwa ni mchakato, tafuta mwanasheria awaambie cha kufanya.
Hapana siyo msomi ni level yanguHuyu mleta mada anaonekana ni kijana ambaye alioa mwanamke msomi, mjanja, anayeijua hela na mwenye exposure hili wasaidizane maisha.... Na Sasa hivi ndio anakutana na upande WA pili wa mwanamke WA dizaini hiyo.
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Yah tuna watoto wawili lkn wakati tunanunua kiwanja tulikua na mtoto mmojaMuaminishe kuwa hauna nia na hicho kiwanja alafu Kaa kimya. Baada ya mda mshawishi akukopeshe kiasi kikubwa cha pesa kisha lala mbele mkuu.
Huyo wife mmezaa naye mtoto??..
SawaUsije ukajenga nyumba kwenye icho kiwanja mzee itakuwa imekula kwako