Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

fanya maamuz ww ni mtu mzima Punyeto tushaachaga na kingne tafta dem pamanent utaacha niamini ukiona ni ngumu anza kubet ndio dawa yake [emoji23]
 
Ushauri mzuri sana,awe bize na mambobmengine,kikibwa asome mambo ya dini nakufanya kazi.
 
Tumia kitochi mkuu nahisi kwa sasa utakua unajilipua kwenye smartphone
 
Kufa tu,kwan hata ukiendelea kuishi huna mana puli itakua imekuharibu huwezi kuzalisha ...taifa linahitaji nguvu kazi pesa IPO.
 
Mkuu anza kubet


Narudua tena anza kubet

Huwezi kupata hata nguvu ya kuangalia hizo porn zaidi ya live score na kufuatilia game za mipira .....
 
Ni simple tu jaribu Kutrain mind Yako
Jiulize ili swali
Umeshawahi fikilikia kufanya Mapenzi na Mama yako au Dada yako.. Nadhani jibu ni hapana sababu ni kwamba umetrain mind yako isifikilie kabisa au kufantasize kwenye ilo swala.. Basi jaribu kufanya the same kwenye video za ngono
 
Tafuta demu mzuri, halafu hizo staili za kwenye pilau ndo uzitumie kwake mbona fasta utasahau hizo video zako?
 
Mhhhh..sasa hapo sinitashindwa hata kufanya mapenzi
Kila kwenye vijana 10 waliobalehe (age ya 18 to 25) around 7 au 8 wamepiga puli but wanapoanza kuopoa na kupata mademu huwa wanaacha hiyo kitu. So as said earlier tafuta demu, tena mzuri na anayekupagawisha, halafu uwe unamwambia akupigishe puli siku moja moja, yaani hiyo itakufanya usahau kujichua mwenyewe kwani utaona hui njoy tena na utaacha.
 
Dawa yake ni uwe unapiga demu mara kwa mara tu... uta acha kuangalia porn na kupiga nyeto
 
[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…