Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Demu wa nini wakati upo chama cha wapiga nyeto ?

Wewe chagua Moja, kutulia na demu au kupambana na nyeto.
Hivi vitu haviendi pamoja.
Hakika haviendi pamoja. Nami nimechagua kutafuta demu na kutulia naye.
 
Umeshakaa ukawaza kuwa muda wowote unaweza itwa na ukajikuta mbele ya Muumba wako? Ulishaandaa majibu ya kumpa utakapoulizwa juu ya matendo yako likiwemo hilo la kuzini moyoni na kujichua?

Kaa tafakari. Jua kuwa kama wanavyoanguka wengine sasa, kuna siku, na inaweza isiwe mbali, zamu yako itafika. Hakikisha unafanya amani na Mungu mapema kabla ya siku hiyo, ambayo inaweza kuwa miaka 50 mbele au ikawa leo hii hii.

Mathayo 5
28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.

Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Shukrani sana kwa maandiko matakatifu
 
Wewe angalia tu ila wakati huu sasa anza ku develop tabia mpya ya kuangalia bila kujichua ukiweza mara mbili mara tatu umeweza forever

Mimi nilianza zamani kidogo 2002 huko na mpaka sasa naangalia for leasure pia hicho kipindi cha mwanzo cha kuangalia bila kujichua hakikisha demu wako yupo karibu hamu zikizidi unamnyandua hivo hivo mpaka utaona kujichua ni upuuzi.

Ila tafuta kazi ya kufanya inaonekana upo na iddle time sana.
Shukrani sana kwa ushauri.
 
Shukrani sana kwa maandiko matakatifu
Hiyo ndiyo dawa ya kudumu. Hudhuria pia misiba. Itakupa big picture ya maisha ambapo Porn sio sehemu ya equation. Ukijifungia ndani waweza kudhani ngono ni big deal. Ni kuwa myopic tu.

Mwisho badili marafiki. Marafiki ni chanzo kikubwa cha baraka au balaa kwenye maisha yetu. Chagua marafiki kwa hekima.

1 Wakorintho 15
33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.

34 Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.
 
Dah nampa pole sana, urahibu wa punyeto nizaidi ya madawa ya kulevya. Naomba nikupe njia zilizonisaidia kitambo iko sijasaliti chama la wana CHAPUTA
1. Toa vyanzo vyote vinavyokupa urahisi wa kutazama video za ngono ( ukiweza kushinda hii punyeto umeacha)
2. Hepuka kukaa mwenyewe, jitaidi kujichanganya kwa watu au kutafuta kitu kitakacho bana mda wako usipate nafasi yakuwa mwenyewe
3 tatu na mwisho na hapa ndipo penye ugumu ila ukishinda mtiani huu uko kwingine unateleza tu.. fanya ufanyavyo kama kweli umezamilia/amezamilia kuacha ajitaidi kwa siku 40 mfululizo asipige punyeto wala kutazama picha za ngono. Ningumu sana ila ukiwanania utaweza.

Ukiweza kumaliza izosiku 40 ambazo ningumu kama kazi ya zege unakua umetoka kwenye ile adicted kali, hata mapambano sasa yatakua sio mazito.. bada ya hapo muendelezo unakua rahisi sana ila ukitaka urudi kawaida kabisa jitaidi umalize siki 90. Kila lenye heri mkuu
Shukrani sana ndugu kwa ushauri. Nishaanza safari ya siku 40 na leo nipo siku ya pili naomba niombee nifike salama.
 
Screenshot_20210305-180113.png

Unaweza ukatumia hii ijapokuwa zimebaki chache tutagawana hivyo hivyo!
 
Pole sana rafiki yangu kwanza kabisa naomba ufute katika akili yako kuwa jambo fulani ni gumu na haliwezekani. Jaribu kuifanya akili yako kukubali kuwa chochote kinawezekana na tabia yoyote ile inawezekana kujifunza na inawezekana kuachwa. NI SUALA LA KUAMUA KWA DHATI TU.
Jiulize mwenyewe hivi..." kabla sijaanza haka kamchezo kwani nilikuwa naishi vipi?"..utagundua kuwa hako kamchezo haukuwa nako ila ulijifunza kidogokidogo na sasa kamekomaa.

Mkuu kumbuka wewe siyo tabia na tabia siyo wewe....wewe ni mtu mwingine kabisa na unaweza kuachana na chochote au kufuatanahote ukiamua.

Tatizo ni kwamba huwa tunafikiri vitu tulivyonavyo ikiwemo tabia ndiyo sisi tulivyo jambo linaloipumbaza akili na kushindwa kujipinga.....kumbuka akili yako haipingani na uwepo wake. Usiiwekee mipaka ya vitu ila jione upo huru kuamua utakacho.

Mkuu kinachotakiwa kwanza ni kuweka "nia"ya kuacha huo mchezo na pia nakushauri fanta hili kwa dhati jaribu kuzalisha mawazo yanayoonesha kuwa upo juu ya tabia yoyote .

Be the master of your destiny.
 
Back
Top Bottom