Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Tafuta kazi za kufanya na za kuchosha, epuka kukaa peke yako, pia mhadithie hili tatizo lako mtu anayekuamini sana ikiwezekana mpenzi au mke wako na utaona matokeo chanya.
Mkuu katusimulia rafiki zake wa jf hilo la kuwaambia watu wa karibu mda mwingine ni hatari sababu hujui wao watachukuliaje hiyo ishu
 
Tafuta mwanamke kwanza aisee.

Baada ya apo piga sana iyo kizaga to the maximum. Piga sana mzee, piga tena.

Ukipata nafasi chapa tena, nakuambia mzee ukimaliza wiki nzima unapiga tu, hutofikiria tena kupiga nyeto.
NAWASILISHA.
 
Njia sahihi ya kukufanya uache hiyo nakushauri kisaikolojia.

Kila ukianza kujichua muweke kwenye fikra Mama yako mzazi au dada yako Mudi utakata, kila ukitaka kugusa vuta hisia za mama basii hutarudia tena.
Lohhhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Mkuu dah! Pole sana. Kuacha nyeto inahitaji ufanye kazi utakazochoka almost siku nzima. Ukichoka hata hizo akili hizo hazitakuwepo.
Nilipokuwa chuoni mwaka wa kwanza pia nilikuwa member mzuri sana wa chama tawala(chaputa) ila baada ya kuanza field ambayo huwa tunasimama siku nzima, taratibu ile tabia niliipunguza na nikawa na totoz wawili so nikawa fresh tu.
Ila sometimes huwa napasha viporo ile kitu ni OG sana.
 
Njia sahihi ya kukufanya uache hiyo nakushauri kisaikolojia.

Kila ukianza kujichua muweke kwenye fikra Mama yako mzazi au dada yako Mudi utakata, kila ukitaka kugusa vuta hisia za mama basii hutarudia tena.
shetan mbaya sana hata ukiwaza unamchakata mbususu mama yako shetan atatoa sura na shepu ya mama ataweka ya paula kajala japo mwil ule ule.

mi kwa ushaur wangu ,fanya mazoez sana ,kula tangawiz sana uwe unapiga punyeto kimtindo.

OVA
 
shetan mbaya sana hata ukiwaza unamchakata mbususu mama yako shetan atatoa sura na shepu ya mama ataweka ya paula kajala japo mwil ule ule.

mi kwa ushaur wangu ,fanya mazoez sana ,kula tangawiz sana uwe unapiga punyeto kimtindo.

OVA
Pamoja [emoji109]
 
Mkuu dah! Pole sana. Kuacha nyeto inahitaji ufanye kazi utakazochoka almost siku nzima. Ukichoka hata hizo akili hizo hazitakuwepo.
Nilipokuwa chuoni mwaka wa kwanza pia nilikuwa member mzuri sana wa chama tawala(chaputa) ila baada ya kuanza field ambayo huwa tunasimama siku nzima, taratibu ile tabia niliipunguza na nikawa na totoz wawili so nikawa fresh tu.
Ila sometimes huwa napasha viporo ile kitu ni OG sana.
Mkuu shukrani kwa ushauri [emoji109]
 
Back
Top Bottom