Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Wadau,,ninamke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010..baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake.Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani,,nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo ,,nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.Huyu mwanamke sijatoa mahari sbb tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.Nawashukuru sana

Pesa hutafutwa, uhai huwezi pata Mahali, lazima ana mwanaume nje na wala sio ndugu, anayefanya afanye ujinga huo lazima anamlala!

Kuja PM nikupe maelekezo rahisi ya kukamata hayo maujinga yake; then ukishayapata Nenda mahakamani mpe talaka, uza nyumba mgawane!

Huyo mwanamke ni mhalifu na hakufai, ila nahisi kuna maelezo ujatupa; hawezi tu Kuwa na Tabia ngumu hivyo bila na wewe Kuwa sehemu ya hayo matatizo!
 
Wadau,,ninamke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010..baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake.Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani,,nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo ,,nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.Huyu mwanamke sijatoa mahari sbb tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.Nawashukuru sana
kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe🥺🥺🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Wadau,,ninamke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010..baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake.Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani,,nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo ,,nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.Huyu mwanamke sijatoa mahari sbb tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.Nawashukuru sana
Ww unajielewa kwl sasa mwanamke unandoa nae anakusumbuaje ss weny ndoa zao tuliwashnda walipo jarbu mizaa kutapeli mali ambayo wakutafuta, tatzo w umependa amna kingne acha uteseke
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
mfukuze ila usimpige
 
Yaani we jamaa inaonekana umesoma ila by nature tu huna akili (kumradhi kama nimekukera kwenye hili); yaani mwanamke hujaoa na wala haujapelekwa mahali anakutesa kwasababu gani? Unachaniwa nguo na kufungiwa nje na kimada tena kwenye nyumba yako mwenyewe?
Afu...... Huoni aibu kuja kuuliza maswali ya kipuuzi kama haya kwenye hadhira ya wanaume wenzako?
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
Huna akili
 
Nafikilia hivto lakini nafanyaje ili baadaye nisipoteze haki zangu hasa asset chache nikizowekeza mshahara wangu wakati yeye hakuwahi kuweka chochote?
Tafuta mganga mzuri ummalize kabisa huyo shetani,kuna mwamba hapo juu amekuambia katavi yupo mganga mzuri, hakika ndoa hazifai karne hii
 
FUKUZA FUKUZA FUKUZA

nime screenshot hii thread Mtoto wangu akikua tamuonyesha mfano wa Mwanaume dhaifu aisje kua boya
 
Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.
Kama ulivyofanya maamuzi ya kumleta kwako, fanya maamuzi ya kumtoa kwako.

Kuwa kiongozi, kwasasa unaongozwa, nafasi yako imepokwa.
 
Achana nae,cha kufia ni nini wakati unaona kabisa hamna kitu hapo. Mwanaume anaetarajia kuowa afikiri mara mbili maana yakikupata hakuna msaada zaidi ya kugawana mlicho nacho. Haiichiki kivipi?
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
Kamtie ndani kwa kukuibia laptop... Pesa fanya uhamishie akaunti nyingine. Piga chini na washirikishe serikali za mtaa akifanya vituko kuweka rekodi.
 
Kisa chako kimenikumbusha mbali sana. Hasira zimefufuka upya kabisa

Wanawake wengine ni Kvma/mikvndu tu aisee..

Kuna mmoja alimfanyia visa mtu wangu wa karibu kisa tu jamaa alijaa akamuweka ndani kwa kama mwaka hivi, kisha akayakanyaga zaidi wakazaa. Sasa baada ya kuzaa tu mtoto ana miezi hata mwaka haujafika mwanamke akaanza visa. Hataki ndugu wa mwanaume aje nyumbani, hata sisi marafiki zake hataki tuje. Akawa kama kichwa kwenye hio familia.

Jamaa alifanyiwa visa hadi akakonda, mtu amehangaika na biashara miaka na miaka kajenga nyumba yake lakini hana amani.

Huyo mwanamke akawa anampa vitishio hivohivo eti kisheria yeye ni mke wake na mali hizo ni zao wote, na anasema hadi hadharani mbele ya mfanyakazi wa ndani wakigombana humo.

Ilikua noma ikabidi tutumie sheria na kuipindisha kweli kweli hadi yule malaya akaondolewa pale na visenti kadhaa tu, na mtoto baadae ilifanyika mbinu akarudi kwa baba ake. Ila hadi hapo tulikaa jopo la wahuni na ma-mafia kuhakikisha mwanetu hayumbishwi, trust me hakuna battle ngumu kama battle ya kisheria dhidi ya mwanamke ambae hujamuoa kihalali lakini umekaa nae ndani na kumzalishia humohumo ndani. Aisee tuwe makini sana na hilo
Wasukuma Huwa hawana mda na mambo ya sheria unauwawa aidha Kwa mapanga au Kwa dawa na Mali wanachukua.

Ndio maana huwezi sikia huo upuuzi Kwa Wasukuma.
 
Achana nae,cha kufia ni nini wakati unaona kabisa hamna kitu hapo. Mwanaume anaetarajia kuowa afikiri mara mbili maana yakikupa hakuna msaada zaidi ya kugawana mlicho nacho. Haiichiki kivipi?
Analilia Mali wakati huyo anaweza hata kumuua na Mali akazikosa.
 
Back
Top Bottom