Naomba ushauri kuhusu barua ya kurejeshwa upya kazini

Naomba ushauri kuhusu barua ya kurejeshwa upya kazini

Joined
May 28, 2023
Posts
61
Reaction score
79
Habarini,

Nina barua yenye check namba, niliyoambiwa kwamba nionapo tangazo mamlaka yoyote ya ajira nchini ikiwemo sekretarieti ya ajira niombe ili niweze kupangiwa kituo kulingana na uhitaji uliopo.

Sasa kuona tangazo ni ishu ukiliona leo mpaka baada ya miezi au mwaka pia nafasi ni chache mno.
Nimeamua kumwandikia President au Rais nimemwomba sana aniajiri mnaonaje wadau?

Au kuna maelezo gani naweza kuweka kwenye barua yatakayomvutia zaidi ili asisite kuweka mia kwa mia tamko la kuniajiri (haswa wenye uzoefu nipeni uzoefu wenu)nimesota sana juu ya ishu hii nawasilisha.

Natanguliza shukrani ahsanteni.
 
Habarini,

Nina barua yenye check namba, niliyoambiwa kwamba nionapo tangazo mamlaka yoyote ya ajira nchini ikiwemo sekretarieti ya ajira niombe ili niweze kupangiwa kituo kulingana na uhitaji uliopo.

Sasa kuona tangazo ni ishu ukiliona leo mpaka baada ya miezi au mwaka pia nafasi ni chache mno.
Nimeamua kumwandikia President au Rais nimemwomba sana aniajiri mnaonaje wadau?

Au kuna maelezo gani naweza kuweka kwenye barua yatakayomvutia zaidi ili asisite kuweka mia kwa mia tamko la kuniajiri (haswa wenye uzoefu nipeni uzoefu wenu)nimesota sana juu ya ishu hii nawasilisha.

Natanguliza shukrani ahsanteni.
 
Habarini wadau,

Nimemwandikia Rais aniajiri baada ya kupata barua yenye check namba ambayo iko kwenye utaratibu wa kurejeshwa kazini ukinitaka au kuniomba niombe ajira ktk mamlaka ya ajira nchini pindi nionapo tangazo ndipo niweze kupangiwa kituo kulingana na nafasi iliyopo.

Swali je mama atanipokea?

Au napaswa niandike nyingine niweke madoido gani? Ushauri tafadhali.
 
Unarejeshwa kazini ukitokea wapi?mbona nimeshindwa kuelewa
 
Back
Top Bottom