Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulaji wa mafuta ukoje mkuu.Wadau mwisho wa siku niliamua kuchukua Nissan Duals ambayo imenigharimu karibia 22Mil mpaka kuifikisha mkononiView attachment 2196392
Nyau ni mlio wa pakaMie nakushauli utafute chuna inaitwa toyota fielder..tena ile ya mwaka 2006..chuma ina roho ya nyau..
5. Kipengere muhimu iwe na 4WDHabarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.
Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.
1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape
Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.
Hii inafaa kwa wazoefu sio anayeanza
Mkuu mm nataka ninunue show room..unaniambiajeJapo umeonesha kutoitaka lakini ist ingekufaa ni gari nzuri sana ina sifa zote ni ngumu, spea kibao, matumiz mazuri ya wese, dizaini yake bado si mbaya. ila agiza nje usinunue hiz za watu mikononi.