Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

Wadau mwisho wa siku niliamua kuchukua Nissan Duals ambayo imenigharimu karibia 22Mil mpaka kuifikisha mkononi
IMG-20220420-WA0054.jpg
 
Mie nakushauli utafute chuna inaitwa toyota fielder..tena ile ya mwaka 2006..chuma ina roho ya nyau..
 
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.

Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.

1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape

Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.
5. Kipengere muhimu iwe na 4WD
Unapoenda mikoani mvua ikinyesha
usiteseke
 
Japo umeonesha kutoitaka lakini ist ingekufaa ni gari nzuri sana ina sifa zote ni ngumu, spea kibao, matumiz mazuri ya wese, dizaini yake bado si mbaya. ila agiza nje usinunue hiz za watu mikononi.
Mkuu mm nataka ninunue show room..unaniambiaje
 
Back
Top Bottom