On This One
JF-Expert Member
- Nov 30, 2021
- 532
- 469
Kuna kazi ya kumsimamia bodaboda nilipewa. Makubaliano ilikua alete 280k kila mwezi baada ya miezi 10 pikipiki itakua ya kwake, sasa uletaji wa hesabu umekua ukisua sua ana malimbikizo ya almost miezi mitatu, nataka kumwambia arudishe pikipiki tuvunje mkataba ila pesa ambayo bado hajaleta ni nyingi sana almost laki 8 kwaiyo siwezi kuipotezea hela yote.
Naweza kuchukua pikipiki na nikamdai kiasi kilichobaki? Na nikishaichukua pikipiki nitamshurutisha vipi alipe angalao hata nusu ya pesa anayodaiwa?
Naombeni ushauri wenu
Minaona umchezeshee kama za mandonga zile