Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama laki 450,000/= mkuuUsinunue. Ni borw utaje maximum budget yako na matumizi yako makuu, wataalam waskushauri.
cc Chief-Mkwawa
Nashukuru Mkuu. Ipi inaweza nifaa kwa bajet ndogo? Ni kwa kazi za kutype tu.Japo sijui unanunua kwa matumizi gani lakini usijaribu, ongeza hela ununue yenye core i5 RAM capacity Gb 8+. The specs for this one are too low.
Watu watafika peponi wamechoshwa na mengi walahi😅Achana na Lenovo, siyo laptop, ni circuit breaker.
Kwa kazi za video editing ya budget ndogo, laptop gani unamshauri mdau kununua yenye sifa zipi?
Msaada tafadhali
Kwa uzoefu wako, hii inarange bei gani kiongozi?Dell e7250 i7 na ram 16 is the best, hata kama ni refurbished.
Kwa uzoefu wako, hii inarange bei gani kiongozi?
Balikiwa sana chiefMpya nilinunua $800 mwaka 2017, ila juzi nimenunua same Marekani nilikuwa huko refurbished kwa $185, Tanzania refurbished itakuwa labda laki 5.
Kwa hio budget tafuta Machine ya Ryzen 5 3500U, utapata Gpu na cpu nzuri kwa hio hela na pia itakua na hardware za kisasa kama vile ssd za M2 na probably type C port.Kama laki 450,000/= mkuu
Ushauri atafute desktop, kama hawezi laptop yenye intel+Nvidia, Minimum gen ya 7 intel ila recommended angalau gen ya 8.Kwa kazi za video editing ya budget ndogo, laptop gani unamshauri mdau kununua yenye sifa zipi?
Msaada tafadhali