Naomba ushauri kuhusu mpenzi wangu

Oya Marioo, ukiendelea kulia lia kiboya hivi iko siku watakupaka mafuta.
Mwanaume mzima unabung'aa gheto siku nzima unalilia mapenz na kupigiwa simu wakat manzi ako yuko anapambana na jua?
My nigga ukiendelea hivi utaolewa kabisa.
25 years but stoopid
 
Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.
Usipojiangalia dogo utapotea mazima.

Utabaki unailaumu serikailli ya ccm kumbe wewe ndio una shida.
 
kumekucha KUMEEEKUUCHAAA
 
Ukiwa unasumbuka na mapenzi na pesa huna hakuna rangi utaacha ona [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kosa nililolifanya kwa mke wangu na najutia mpk leo ni kumfungulia biashara. Kamacsio ile biashara pengine mpaka leo hii tungekuwa pamoja tukiwa na amani tele.
 
bado wwe ni tegemezi yaan huwez kuamua mwenyewe. mpka uwe provoked na mtu bro jiongeze. mwanamke so ndugu yako. chkua maamuz ya kiume.
 
Mpotezee kaza kishundu nawe usimtafute funga viooo wanasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…