Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wa kupigwa dozi ya viboko sijui aanze na vingapiTafuta hela kijana
Decision determines destinyTafuta pesa mkuu
Anaendekeza mapenzi badala ya kufanya kazi??Huyu wa kupigwa dozi ya viboko sijui aanze na vingapi
Inasikitisha sana kuwa na vijana wa aina hii kwenye jamii, kweli kijana wa miaka 25 unalelewa na binti!!🤔Acha alale geto akune mbupu alafu mtoto wakike anapigwa na jua, haoni hata aibu?
Sana alafu hajui hata kusoma alama za nyakatiAnaendekeza mapenzi badala ya kufanya kazi??
Hii nchi uhuru umepitiliza
Inashangaza sana bora atoke akapambane hata akikosa siku moja haiwezi kuwa hivyo kila siku.Inasikitisha sana kuwa na vijana wa aina hii kwenye jamii, kweli kijana wa miaka 25 unalelewa na binti!!🤔
Kuna msemo mmoja wa waarabu unasema ni kheri imamu awe mlevi kuliko awe mtu mweusi na mungu akimpenda adui yako utajuta
Usipojiangalia dogo utapotea mazima.Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.
kumekucha KUMEEEKUUCHAAAHabari ndugu zangu, mm Ni wa kiume (25). Nilipokuwa chuo nikipata na mdada ambaye mazingira ya chuo yalikuwa magumu kiasi kwamba ilibaki kidogo kudisco, ila nikapata huruma kunisaidia ktk kusaidiana mwaka wa mwisho ikabid tuishi pamoja km wapenzi.
Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.
Wakati wa kazi zake akapunguza mapenzi akiniambia kazi Ni ngumu anatembea juani kwahyo kuwasiliana Ni ngumu ila akasema akiwa anatoka atakuwa ananipgia muda huo alirudi kwao mm nikaendelea kuishi gheto, ila anaweza akafika nyumbani akalala na asikutafte.
Kuna siku niliwahi kuona sms kamtumia dada yake kuwa saiz Hana hisia namm Ila akaniambia alikuwa anamtania tu, lakin tuliyajenga kweli mabadiliko kidogo yalionekana baada ya siku moja alikuja gheto akanikuta nna simanzi bas akafunguka kuwa alikuwa anafanya vile ili awe huru na mambo yake Ila hakujua kuwa ananiumiza vile, tukasameheana lakin mambo Bado ndugu zangu nimekuwa wa kulia tu kuhusu hili penzi.
Kuna muda huwa namwambia tuachane yeye huwa hakubali Ila atakaa kmy asikutafte mm ndo najirudisha kwake nashindwa kuachana naye hebu nishaurin mwenzenu nna Hali mbaya sana Sina hata NGUVU za kutafta kazi nimekuwa wahuzuni tu ndani
Punguza uongo haukufaiKuna msemo mmoja wa waarabu unasema ni kheri imamu awe mlevi kuliko awe mtu mweusi na mungu akimpenda adui yako utajuta
Mpotezee kaza kishundu nawe usimtafute funga viooo wanasemaHabari ndugu zangu, mm Ni wa kiume (25). Nilipokuwa chuo nikipata na mdada ambaye mazingira ya chuo yalikuwa magumu kiasi kwamba ilibaki kidogo kudisco, ila nikapata huruma kunisaidia ktk kusaidiana mwaka wa mwisho ikabid tuishi pamoja km wapenzi.
Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.
Wakati wa kazi zake akapunguza mapenzi akiniambia kazi Ni ngumu anatembea juani kwahyo kuwasiliana Ni ngumu ila akasema akiwa anatoka atakuwa ananipgia muda huo alirudi kwao mm nikaendelea kuishi gheto, ila anaweza akafika nyumbani akalala na asikutafte.
Kuna siku niliwahi kuona sms kamtumia dada yake kuwa saiz Hana hisia namm Ila akaniambia alikuwa anamtania tu, lakin tuliyajenga kweli mabadiliko kidogo yalionekana baada ya siku moja alikuja gheto akanikuta nna simanzi bas akafunguka kuwa alikuwa anafanya vile ili awe huru na mambo yake Ila hakujua kuwa ananiumiza vile, tukasameheana lakin mambo Bado ndugu zangu nimekuwa wa kulia tu kuhusu hili penzi.
Kuna muda huwa namwambia tuachane yeye huwa hakubali Ila atakaa kmy asikutafte mm ndo najirudisha kwake nashindwa kuachana naye hebu nishaurin mwenzenu nna Hali mbaya sana Sina hata NGUVU za kutafta kazi nimekuwa wahuzuni tu ndani