Naomba ushauri kuhusu mpenzi wangu

Ww ni mbwa na mbwa wanakufa kimbwa mbwa yaani tatizo unaliona unatafta ushauri madogo kwani mmekuaje mbona unaakili za kimbwa mbwa skukuu kama hizi unaleta simanzi ww ni mbwa kwa mara nyingine.

Endelea kukaa ndani usitafte kazi ukapata hela udhani utahurumiwa kila siku mbwa toka kabweke huko upate hata kazi ya ulinzi
 
Kamsemee Kwa Mama,,utachagua Mama yake au wako!!
 
One man down
Offer I repeat one man down
We need back up
Do u copy
 
Quality vs Quantity

Kama nchi kwenye elimu tumechagua quantity
 
Aisee, wewe ni mhitimu wa elimu ya chuo kikuu ? Jipige kifuani ngumi mbili halafu sema kwa sauti kubwa "mimi ni ng'ombe"

 
Usichokijua kuwa hayupo mwanamke tofauti na mama yako anayeweza kukuvumilia ukiwa hauna hela
Maisha ya sasa haitaji uajiriwe ili uwe na pesa, tafuta kitu cha kukiingizia pesa na kuajiriwa iwe km ziada.
Huyo mwanamke muda siyo mrefu atakukimbia kwasababu mwanamke ni mbinafsi na hupenda kupokea kuliko kutoa, pesa ya mwanamke huwa inahesabiwa yaani anapotoa hukokopesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…