DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Point nzuri sanaMpe basic knowledge ya number hapo nyumbani (ajiri mwalimu maalum, English language like lengo kuu)akifikisha 5yrs to 6yrs mpeleke akasomee programming and coding, fanya hivyo na utakuja kunipa high five.
Hivi kumbe mjinga anapata supporters? Ni maajabuBila shaka Wote Mupo salama.
Naomba ushauri wenu, Mwanangu kwa sasa ana miaka mitatu na nusu ila nimeamua nisimpeleke shule hizi za kawaida kusoma Darasa la kwanza Hadi la Saba na kuendelea.
Nimeona ikiwezekana nimpeleke akasomee ufundi moja kwa moja Kwa vitu ambayo ataweza kuvifanya hata akiwa na umri mdogo.
Mfano naweza kumpeleka chuo cha Urembo, au Music, ama Video and productions au mapishi ama Utangazaji.
Nyie wakuu Muna lipo la kumshauri Je inawezekana? Nini faida na hasara zake.
NB: anajua kusoma na kuandika.
Faida na hasara zake je?Mbona ni kama umeshaamua mkuu, labda uombe tukushauri ufundi gani mzuri
Sawa sawa Mkuu. Asante Kwa mchango wakoelimu ya singi ni muhimu sana, mpeleke shule ila kwenye likizo unamuongezea ujuzi
Kivipi MkuuAisee!! Kuna watu naona wanasapoti upuuzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka..Japo havifai kuchekaπ π πmiaka mitano anaenda vetaaaa
Faida zake na hasara zake ni zipo?Wazo zuri
Watakubali kumpokea kwenye vyuo vyetu au nimtafutie mwalimu piaMpe basic knowledge ya number hapo nyumbani (ajiri mwalimu maalum, English language like lengo kuu)akifikisha 5yrs to 6yrs mpeleke akasomee programming and coding, fanya hivyo na utakuja kunipa high five.
Ufundi sio lazima uwe veta Mkuu, Unaweza kumtafutia mwalimu maalumu akawa anamfundisha tuπ π πmiaka mitano anaenda vetaaaa