Naomba ushauri kuhusu mwanangu

Naomba ushauri kuhusu mwanangu

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,011
Reaction score
4,705
Bila shaka Wote Mpo salama.

Naomba ushauri wenu, Mwanangu kwa sasa ana miaka mitatu na nusu ila nimeamua nisimpeleke shule hizi za kawaida kusoma Darasa la kwanza Hadi la Saba na kuendelea.

Nimeona ikiwezekana nimpeleke akasomee ufundi moja kwa moja Kwa vitu ambavyo ataweza kuvifanya hata akiwa na umri mdogo.

Mfano naweza kumpeleka chuo cha Urembo, au Music, ama Video and productions au mapishi ama Utangazaji.

Nyie wakuu Mna lipi la kumshauri Je inawezekana? Nini faida na hasara zake.

NB: anajua kusoma na kuandika.
 
Mpe basic knowledge ya number hapo nyumbani (ajiri mwalimu maalum, English language like lengo kuu)akifikisha 5yrs to 6yrs mpeleke akasomee programming and coding, fanya hivyo na utakuja kunipa high five.
 
Mpe basic knowledge ya number hapo nyumbani (ajiri mwalimu maalum, English language like lengo kuu)akifikisha 5yrs to 6yrs mpeleke akasomee programming and coding, fanya hivyo na utakuja kunipa high five.
Point nzuri sana
 
Bila shaka Wote Mupo salama.

Naomba ushauri wenu, Mwanangu kwa sasa ana miaka mitatu na nusu ila nimeamua nisimpeleke shule hizi za kawaida kusoma Darasa la kwanza Hadi la Saba na kuendelea.

Nimeona ikiwezekana nimpeleke akasomee ufundi moja kwa moja Kwa vitu ambayo ataweza kuvifanya hata akiwa na umri mdogo.

Mfano naweza kumpeleka chuo cha Urembo, au Music, ama Video and productions au mapishi ama Utangazaji.

Nyie wakuu Muna lipo la kumshauri Je inawezekana? Nini faida na hasara zake.

NB: anajua kusoma na kuandika.
Hivi kumbe mjinga anapata supporters? Ni maajabu
 
Mpe basic knowledge ya number hapo nyumbani (ajiri mwalimu maalum, English language like lengo kuu)akifikisha 5yrs to 6yrs mpeleke akasomee programming and coding, fanya hivyo na utakuja kunipa high five.
Watakubali kumpokea kwenye vyuo vyetu au nimtafutie mwalimu pia
 
Back
Top Bottom