Naomba ushauri kuhusu ofa ya mshahara

Naona kazi unayofanya kwa sasa is more of partnership than boss na mwajiriwa. Pia kazi ya sasa una opportunity ya kukua na kuwa na business yako mwenyewe kuliko kwa mhindi. Hivyo baki huko huko kwa mhindi usiende hata wakupe offer ya 700k mkuu.
 
Hata hiyo 500k ni kidogo sanaa.
Maisha ya huko mjini is still hard than Kibaha.



Wahindi ni watu wa kukaa nao mbali mkuu nakushauri maana naona bado wewe ni mdogo ,
Utaishi kwa tabu sanaa bora wabongo wenzetu.
 
Sibagui sio sibaguwi.....ulisomea ujinga??

Hubagui kabila wala rangi ila dini unabagua tena unabagua kwelikweli.

Wahindi ni wanyanyasaji wa wafanyakazi wao, hawafai.
Mimi ni Muislam.

hayo ya ubaguzi unayajuwa wewe. Uislam haujanifundisha ubaguzi hata chembe.

Ukiitwa kondoo na ndiyo mnavyojiita wenyewe ni ubaguzi au ndiyo sifa yenu hiyo?

Kondoo waheda.

Najivunia Uislam wangu.
 
Uko wapi ungesogea hapa nikutandike kofi la utambuzi kwanza kabla ya kukushauri. Umeajiriwa Kibaha na unataka uache kazi yenye uhuru uende kufanya kazi Masaki kwa Muhindi kisa laki tano.

Umbali wa Masaki na Kibaha gharama yake kwa mwezi utaiweza? Kuunganisha magari.

Utaweza afford gharama za kufanya kazi Masaki zenye tofauti kubwa sana na Kibaha?

Pressure ya kazi kwa Wahindi utaiweza, utawahi kazini, utaweza kuondoka umechelewa zile overtime, utaiweza foleni ya kutoka Masaki mida ya kazi wanyonge wote mnagombea daladala kuondoka?

Kuna mtu kakuroga unachukulia kazi yako kienyeji na mazoea. Ukiiacha hiyo bila kazi nyingine yenye mazingira mazuri zaidi unaweza poromoka kimaisha ukapiga zako miaka hata 15 hujawahi pata nafasi kama hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…