Naomba ushauri kuhusu ofa ya mshahara

Mi nimemuelewa jamaaa, kinachomvuta kwa mhindi ni mkataba.
Ni bora kutokuwa na mkataba kuliko kuwa na mkataba usio na masilahi unao kuumiza.
Ukienda kufanya kazi masaki kwanza jua gharama za maisha zinapanda tofauti na Kibaha.
Baki kwenye kazi yako, endelea kutunza uaminifu na Mungu atakufanikisha.
NB Tunza uaminifu
 
Muhind mwenyewe mwizi tu we bibi kizee vp?
Kwani alikulazimisha ukafanye kazi kwake, njaa zako na ujinga wako unakufanya usizione fursa mpaka aje Muhindi azione akutume na wewe.

Unalalamika nini? Hakuna sheria za kazi Tanzania?
 
Kwani alikulazimisha ukafanye kazi kwake, njaa zako na ujinga wako unakufanya usizione fursa mpaka aje Muhindi azione akutume na wewe.

Unalalamika nini? Hakuna sheria za kazi Tanzania?
We bibi nitake radhi mimi sifanyi kazi kwa muhindi. Mbn unawatetea hoa makanjibai au ndio vile tena.
 
MKuu achana na huyo muhindi kabisa, kama unafanya kazi ambayo unaweza kupata japo 40,000 kwa siku ni bora ukabakia hapo hata kama hakuna mkataba wowote.

mkataba hautakusaidia kitu labda kama ingekuwa ni ajira permanent kama ya serikali, ila hizo za mwakamwaka hakuna issue, bakia zako kibaha na masaki pasikuchanganye
 
Kosa lao wezi, wanyonyaji na wakandamizaji kwa wa Tz wenzetu tumeshashuhudia sana.
Hizo ni fikra zako tu, walikuibia nini?

hao waliokandamizwa hazijuwi mahakama?

Sema wahindi wamewazidi ujanja. Akianza hata kidika cha kuuza kachori, mara anakuwa bilionea. Hawalewi, hawachezi ngoma, utawapata wapi wewe?

Ukimuona mhindi masikini kama wewe ujuwe mlevi kama wewehuyo. Birds of the feather.
 
We bibi mdwanzi sana unawatetea kisa wewe yaya wao.
 
Wahindi hata wakimuwekea 900k mezani asijichanganye itamtokea puani hiyo
 
halafu kwa huku nilipo naiingiza tu wala siangaiki sana na kazi ni chache japo ni kweli sina mkataba
Fanya hukuhuku achana nao hao wakitaka double the payment km huku unakunja 700k waambie wakulipe mara 2 wakichomoa achana nao endelea na huku huku wasikuchukulie cheap kiasi hicho km wanaweza si wafanye wenyewe
 
Kuchamba kwingi mpaka utajipaka kimbaz, wahindi unawajua kweli?? Nipe hilo shavu mimi hapo ulipo,uende huko kwa wahindi wako.
 
Achana na wahind mamaang Mkubwa tangu ujana wake aliajiriwa Kwa Hao wahind na makubaliano mazuri ya mshahara na posho atapoamua kumpumzika ikiwa imebaki kma mwak aache kazi alikuwa mtu mzima umri ushaenda wakaanza mtafutia visa mwisho wakamnyima stahiki zake akapewa pesa kidogo sana
Tulia hapo ulipokuwa usije kujuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…