mtechnical
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 238
- 570
Mi nimemuelewa jamaaa, kinachomvuta kwa mhindi ni mkataba.
Ni bora kutokuwa na mkataba kuliko kuwa na mkataba usio na masilahi unao kuumiza.
Ukienda kufanya kazi masaki kwanza jua gharama za maisha zinapanda tofauti na Kibaha.
Baki kwenye kazi yako, endelea kutunza uaminifu na Mungu atakufanikisha.
NB Tunza uaminifu
Ni bora kutokuwa na mkataba kuliko kuwa na mkataba usio na masilahi unao kuumiza.
Ukienda kufanya kazi masaki kwanza jua gharama za maisha zinapanda tofauti na Kibaha.
Baki kwenye kazi yako, endelea kutunza uaminifu na Mungu atakufanikisha.
NB Tunza uaminifu