Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kwenye CV unaandika ujuzi wa kutumia Microsoft excel kwa ufasaha,haya tucholee pie chart ya takwimu hizi.Tuachage kudanganya kwenye CV zetu. Ndio yale mambo ya kuandika kwenye CV kuwa unajua French unaajiriwa anakuja mfaransa unaanza kuongea mistari ya Awilo Longomba.
[emoji3][emoji3]
Ndugu Ngurukia sawa bwana
Chunguza hao jamaa wa hapo ofsini kwako sio kabila Moja kweli? Kama ndivyo tengemea hiyo trending.....!Nina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisi hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.
Akitoka itakuwa kama kwenye movie vile anakuja kukuteka😂😂😂😂Mwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
Nina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
Ubaya ubaya tu mkuu hukukosea kbsaMwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
2024 makaburi ya Kinondoni yanapata member mpya.Mwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
Hii imekaa kiunyama mwingi sana. Inaitwa kumkoma nyani.😂😂😂 Ukamzima kabisa mpaka behind the bars?!Mwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
dr kwema?Uliagizwa ukadeki choo nn au nn
1. Muulize supervisor unakosea wapi urekebishe mwende nae sawa.Nina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisi hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.
Washamtupia,akaoge maji ya mto YordanUshauri wangu ni Omba Mungu sana huenda Kuna mtu/ watu hawakupenda upate hiyo kazi
kwa kaliba ya huyo jamaa akitoka jela hiyo vita haitaisha labda uhame nchi.. huna usalama hata kidogo utaishi kama digidigi. revenge is realMwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
Azingatie hili mtaani sio poaUsiache kazi kabla haujapata kazi ,mtaani kugumu endelea kuwaproove wrong kwa hard working
Nijuavyo sehemu ya kazi ukiwa mgeni ukaleta mbwembwe Hutoboi. Jifanye mjinga jifunze kazi ishi nao kama hawakusumbui vile ila wasalimie wajulie hali jenga urafiki umeenda kufanya kazi hujaenda kupendwa wala kudekezwa hapoNina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisini hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.