Unakuta umemaliza kazi zako huna kitu cha kufanya umetulia boss akikuta umetulia huna cha kufanya anaanza kukufokea kwanini umekaa idle
Ukimwambia umemaliza majukumu yako ukoo free anakutafutia kazi yeyote ya kufanya hata kama ikoo njee ya majukumu yako
sawa.Ushauri mmbovu huo
hakikisha ukimaliza majukumu yako unaenda kumuomba kazi nyingine ili usikae idle. Then jitahidi sana kutabasamu na kuomba samahani, pia dhibiti mdomo wako . Zaidi muombe Mungu sana.Unakuta umemaliza kazi zako huna kitu cha kufanya umetulia boss akikuta umetulia huna cha kufanya anaanza kukufokea kwanini umekaa idle
Ukimwambia umemaliza majukumu yako ukoo free anakutafutia kazi yeyote ya kufanya hata kama ikoo njee ya majukumu yako
ww ni Imani Gani,,kama ni mkristo jitaid uwe na Roho mtakatifu then umwombe kibali nakuhakikishia hyo ofisi watakua wanakusikiliza ww tu kiufupi ww ndio utakuwa Kila kitu..Nina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisini hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.
Wanakimbiaga ofisi kijanja hawa , kila siku dharura mara oooh kiukweli mimi najihisi sijawa na mood kufanya kazi ofisi hii .Kwenye CV unaandika ujuzi wa kutumia Microsoft excel kwa ufasaha,haya tucholee pie chart ya takwimu hizi.
kuna wakati katika maisha ni busara kukaa kimya na kuacha dhana ya kuwa labda umpumbavu kuliko kuongea na kuondoa shaka yeyote juu ya upumbavu wako.Kama ww ni muislam nenda Kwa shehe akutafutie jini likupe nyota ...note njia hii Ina madhara..
NakaziaAmani ya nafsi ni Bora kuliko kitu kingine chochote. Piga chini kazi tafuta alternative ya kuishi.
duuh akitoka si kitaumanaa boss polee snaaa maisha hayaaaMwaka flan nilienda kampun flan kufanya kaz..namna nilivyopata kaz walitangaza nafasi nikaomba nikaitwa kwenye usaili..wakat usaili ukiendelea nikiwa nimeshatumia kama dk 45 hiv mkurugenzi mkuu (mzungu) akanikubali na na nikaajiliwa..kumbe ile nafasi kuna mbongo mkuu wa idara alitaka ndugu yake ndo achukue ile nafasi..
Nilipoanza kaz nikaona sipat ushirikiano na watu wa idara yangu..chini chini kulawa na maneno "msimpe ushirikiano ili afail..".dogo mmoja wa IT tukiqa tunakunywa chai ndo akanimegea mkanda mzima...kwa kuwa na mimi nilikiwa mkuu wa idaranikatumia nafasi yangu kutaka taarifa mbali mbali...
Baadae nikabaini mambo meengi ya upigaji..nikamuita jamaa kistaarabu nikaamuliza akafoka na kugoma..halafu usiku kama saa saba akaingia whatsup kwenye grp la staff wote..akaoandika vitu vingi kama kunikosoa utendaji wangu..alivyopost nikasoma weee...kisha nikaingia kwenye email yangu nikavuta file lake la upigaji na hasara yoote aliyosababisha...nikapost pale...
Md na staff wengine wakalisoma..uchunguz ukaanza akasimamishwa kaz na kufunguliwa mashtaka na hatimae akafungwa..mwakana anamaliza kifungo...
Pole sana huyo ni shetani yupo kazini omba sanaNina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisini hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.
Kwa uzoefu wangu kitu ninachokiona watu wanakutafutia sababu uondoke hapo ulipoNina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisini hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.
Habar ndio hyo..huo upumbavu upo kichwani mwako ndio maana huelewi mambo yanavyokwenda.kuna wakati katika maisha ni busara kukaa kimya na kuacha dhana ya kuwa labda umpumbavu kuliko kuongea na kuondoa shaka yeyote juu ya upumbavu wako.
Mkuu, ajipendekeze tena!Wanakufokea tu bila sababu??? Wewe ndio unaleta sababu za kufokewa so jitahidi ufanye kazi inavyotakiwa kuepuka makosa mara kwa mara ili wakose nafasi ya kukufokea na visa.
Ukiwa ofisi mpya sharti uwe mchangamfu ili wakuchangamkie ukijitenga hakuna wakukusogelea watakuacha hapo uhangaike mwenyewe
Changamka!
Jichanganye!
Jifanye mjinga
Jipendekeze
MkuuNina kama week mbili tangu nianze kazi ila kuna changamoto ninapitia hapa
1. Changamoto ya kwanza kuna supervisor full time kunifanyia visa mara kila saa natishiwa kufukuzwa kazi
2. Work mate niliokutana nao ofisini hawanipi ushirikiano vitu vingi vya msingi hawanielekezi
3. Upande wa boss wangu ambae alikuwa anakubali utendaji wangu wa kazi sasa hivi kanibadilikia full kunifokea full kupewa maonyo kuhusu kufukuzwa
4. Ofisini nipo kama mwana mkiwa naona kama niko motoni lawama na vitisho vimekuwa vingi
Hapa nilipo sijui hatma yangu katika hii ofisi.