Hakujua matokeo believe you me!Tungekuwa tunajua matokeo hata kufa tungefia nyumban[emoji1][emoji1]life is too short to be serious that's why pressure zinawaua wallah, mi enjoying my life why should I bother kwa choice ya mtu alochagua na alijua matokeo yake
Tuna jibebesha na ambayo haibebeki!Wanaume mna moyo sana. Mnabeba vitu vingi sana that's why mnaondoka mnawaacha wamama, poleni ila.
Mzee naye pimbi wambieni watu ukweli mtakuwa huruKwahiyo alitaka hiyo ml15 uitafute kwa kutumia chanzo kingine ilhali anajua fika una madeni yaliyo kukalia shingoni na Mshahara wako wote asilimia kubwa unaishia kwenye Makato ya madeni hayo !?? Mzee Nisamehe lakini naomba niseme kwamba huyo mwanamke uliingia choo Cha kike ana ushetani ndani yake Hana huruma hata kidogo na wewe
Narudia tena why should I bother with someone's choice of life and feel pain. Kila mtu na life lake na kila mtu na changamoto zake na kuonewa huruma hakubadilishi kitu, that's life, mengine tunajitakia wenyewe let's blame ourselves for our actions and not others. So stop blaming for someone action's please, I know hii imewatouch wanaume wengi maana ndo mnaruka ruka huko na mchepuko sasa hzo stress msinimalizie Mimi I have ideas, so stoooooop it, no need ya ku pata sympathy for ur choice of life. Utavuna ulichopaanda in Mwandrys voice.Hakujua matokeo believe you me!Tungekuwa tunajua matokeo hata kufa tungefia nyumban
@kedekede unawashwa eeh?[emoji57][emoji57]Shunie
Witness j
Maya
Espy
Wambeya wakubwa nyie mnajidai wanyenyekevu ma wenye nidhamu kumbe wanafik
We mzee mbona una vichambo hivo, huyo mke mdogo unambakisha kweli[emoji16][emoji16][emoji16]Siyo kweli, hiyo empire angeitengeneza vipi, nilimchukulia kama mke hasa, na hana tofauti na mke mkubwa, na sasa hivi naye yupo over 40, ukisema mke mkubwa mzito kiuchumi, mimi naona vile vile sio sawa kwani yeye alikosa nini cha kumfanya asiwe mzito, wote wana nyumba na wote watoto wao wameenda shule,kusema mimi nimezeeka nayo sio kweli, kwa taarifa yaani sasa hivi, Mungu apitishie mbali ndio naanza kuona utamu wa maisha, hiyo naisikilizia hasa, nataka nianze sasa kutalii sehemu mbalimbali,
Na kwa taarifa yake nilikuwa nimejipanga kuzeeka naye kwa kuwa nilishaanza kumtafutia kiwanja huko jirani na kijijini kwetu ili kibeneke liendelee, hata gari ningemnunulia,
Halafu mbona namwona naye kama anamabadiliko ya kiutu uzima kulikomimi, kitu gani kinakufanya umwone yeye ni kijana zaidi yangu,
Kumbuka tumeachana miaka minane tu, ujana wote kamaliza akiwa na mimi, leo hii mimi nikienda Club natoka na mtoto wa 25, na wala haoni aibu kukaa na mimi, vipi yeye anaweza kutoka na mtoto wa 25 na akawa happy, au huyo kijana anaweza kuwa happy.
Ila tatizo lingine kubwa ni nalo liona nyinyi wanawake mna chuki na husuda kwa wenzenu wenye maisha mazuri, na hayo maneno yenu ndio chanson cha kuwaingiza chaka na kuharibu kabisa maisha yao
Hata mke angeridhia.. atabaki KUWA MCHEPUKO.Agiza chochote kwa mangi hapo nakuja kulipa.
Kamwe mchepuko hauwezi kuwa halali kisa tuu mmezaa.
Mimi nimemshauri kama anataka awe official basi ni mpaka mke wake aridhie, tofauti na hapo huo utabaki kuwa mpango wa kando tuu.
Nguvu za kiume jamani[emoji134][emoji134][emoji1745]Hapo kwa chuki tu ndo nimekuona hamnazo that's was my opinion na wala haihusiki na chuki kabisa why should I envy someone older than me ambaye ana shindwa ku handle maisha yake na kuja kulia lia humu kwenye forum tena mwanaume it means your in dillema na huna peace of my mind, maana una force watu wakubaliane na justification zako wakati unaumia na kukukula ndani your not happy at all, tena unagutuka uzeeni dakika ya 59. Hyo sijui kuoa hata wa 18 sio shida je una nguvu za kiume za kutosha maana mabaharia wenzako wana handle hii issue kikawaida.
Wewe kubali uliingia Cha kike acha kutafta justification Ili upoze machungu ka viwanja hata mimi ninavyo sembuse mzee mzima unayekaribia ku expire kweli, pole hii kitu itakukula then mkeo ndo wa kuja kukulea so hyo kujenga sio viwanja watu wengi Wanavyo, so usione kuandika hivo eti mie nitaona wivu kwa kipi hasa shaaaaa in maasai voice.
Wewe tuliza mshono wako bwana ur not exceptional watu Wana wake wengi na hawajilizi Hadi sasa kuhangaika na mchepuko ni kwamba huna amani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe akili zako siyo nzuri,daima nitakwambia ukweli. Either huna malezi mazuri au kaelimu ulichonacho kanakufanya ujione unajua sana
How old are you?Narudia tena why should I bother with someone's choice of life and feel pain. Kila mtu na life lake na kila mtu na changamoto zake na kuonewa huruma hakubadilishi kitu, that's life, mengine tunajitakia wenyewe let's blame ourselves for our actions and not others. So stop blaming for someone action's please, I know hii imewatouch wanaume wengi maana ndo mnaruka ruka huko na mchepuko sasa hzo stress msinimalizie Mimi I have ideas, so stoooooop it, no need ya ku pata sympathy for ur choice of life. Utavuna ulichopaanda in Mwandrys voice.
Wasamehe bure[emoji1][emoji1][emoji1]sio wananichokoza wenyewe loh
Pole sana, Tatizo uliamua kujibebesha msalaba wa wake wengi, kwani mke mmoja hakutoshi? Wazazi wetu wameishi ndoa za mke mmoja na wamezeeka pamoja kwa upendo na furaha bila manyanyasoMungu wangu,
Mengine wala si ya kucheka,
Ngoja nipaze sauti.
WANAUME TUANZE KUJIONEA HURUMA KWANZA SISI WENYEWE NA MENGINE BAADAYE, HALAFU TUWAPENDE SANA NDUGU ZETUWA KUZALIWA,HAO WATAKUFANA SISI,
KUSOMESHA WATOTO SAWA LAKINI USIJIUMIZE FANYA KWA KIASI ,
ANGALIA SANA FUTURE YAKO MWENYEWE KWANZA BAADAYE HUKO MBELE ITABIDI UJITUNZE MWENYEWE
Usiseme neno kuwashwa silipendi@kedekede unawashwa eeh?[emoji57][emoji57]
Sisi tumefanya nini sasa?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😍😍😍😍😍[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji849]