Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Huo MCHEPUKO tutaupa hadhi ya MZAZI MWENZA pale tuu utakapouacha na kusimama imara. Or else utabaki kuwa MCHEPUKO tu.


Ila jamani uko very innocent kuface haya yote. Yaan you are too nice to under go all these circumstances. Huyu dada alizidisha mahaba ama ni nini jamani... nakushoutia lakini deep inside nakuhurumia sana. Kiukweli mimi hapa shetani wako ni mchepuko. I wish ungekua hata umeomba ushauri from the scratch kwa watu wako wa karibu enzi hizo. I have seen multiple michepuko wakikimbia wanaume walioko nao baada ya waume kuumwa ama kufilisika kisha waume kurudi kwa wake zao na kupokelewa jinsi tulivyo na huruma.
 
Arudi nyumbani kwake vinginevyo atapata kiharusi aumwe, ateseke, afe, azikwe na maisha ya bimdogo yaendelee
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119] Huyo mchepuko kwa sisi wa zoefu wa hizo mambo piga ua Kuna mtu alikuwa anammega Tena kinoma noma na ndiye ambaye alikuwa anachangia kutia shubiri penzi la huyu Mzee wetu mpaka akawa analiona chungu
 

Mchawi sio lazima abebe tunguri, maneno tu yanatosha.
 
Mzee wa miaka 50 unasema unajuwa kupenda kweli kweli mzee ushauri kama upo na miaka 50 kweli muda wa kutafuta usingizi!
Muda huo upendo kwako ni kama mtu aliye Lima mahindi na tiari alisha yavuna ni muda wa kusonga ugali tu na kuliwa sio muda wa kuotesha tena maindi ebow utachanganyikiwa tafuta upendo na Mungu wako wa imani yako acha masihara pressure itapanda tuta kupeleka mloganzira ukapigwe oxygen waseme una corona kumbe umechanganywa tu
 
Nachosikitika ni mzee wetu hataki kupokea ushauri wa kweli na mchungu. Bi mdogo ndo tatizo. Yaan alimteka na yeye kaamini alipendeka. Hivi anawajua wadada wa town kweli? Mchepuko yuko sharp sana
 
Niandikie hiyo hiyo, namshurutisha abadili jina lake aweke langu kama baba, anaenda kubadili anaweka la watoto,
Nikavuta muda kutafakari na kujirudhisha
Mkuu hapa mbona umetupunja Sana story iliishia pale unataka kupanda pipa
 
Nachosikitika ni mzee wetu hataki kupokea ushauri wa kweli na mchungu. Bi mdogo ndo tatizo. Yaan alimteka na yeye kaamini alipendeka. Hivi anawajua wadada wa town kweli? Mchepuko yuko sharp sana
[emoji16][emoji16][emoji16] naimani now anakiri kuwa alifanya mistake ndio maana akaja hapa ... So Akubali tu kuwa kupata negative comments katika situation Kama hi nikawaida awe mvumilivu tu
 
Arudi nyumbani kwake vinginevyo atapata kiharusi aumwe, ateseke, afe, azikwe na maisha ya bimdogo yaendelee
Mwache ajidai ana juwa kupenda pressure ikipanda apo Leo tu wana mpeleke mloganzira akapigwe oxygen maana watasema hii ni yenyewe ile kitu kumbe kachanganywa tu na kabinti mzee wa zaidi ya miaka 50 anasema kabisa anajuwa kupenda yani muda wa kutafuta usingizi ndio anataka kupenda!!
We mzee tafuta usingizi
 
2- january hiyo kwa pesa mabaki ya pesa ya viwanja nanunua matofari na kuanza msingi kwanza, nimemwambia tujenga nyumba ndogo, anakataa kwa nini ndogo wakati bi mkubwa ya kwake kubwa,
Tunaamua kuchukua ramani ya ile tuliyouza, lakini kwa maboresho kidogo
 
Legend .. Huyu dada apewe ulinzi tafadhali ... Na sura yake' iwekwe kwenye noti ya 10k Mara 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…