Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

25–nikamwandikia message nipo hapo ulipo naomba tuonane, akakataa katakata, baadaye nikadanya nimeibiwa simu yangu ndogo yenye pesa naomba unitumie pesa angalau ya guest ili nioge na kulala kesho niondoke,
Hakunijibu tena,
Mpaka kesho yake asubuhi, akanitumia 50000 Lakini baada ya msg nyingi sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee
 
Huyu jamaa inaelekea ameenda shule lakini amezidiwa maarifa na ni mdogo ambae inaelekea elimu yake bi kama ya kwangu tu.
Anajenga nyumba huku mwenzie anajenga kwengine if ningekuwa Mimi ndiye yeye ile ml30 niliyompa ninge muambia ndio kianzio chake Cha maisha Sina mpango nae Tena na Mimi ningechukua 30 nyingine ningeendelea na maisha yangu
 
Uko sahihi Kaka,
Kama Obama ana watoto 2 iweje wewe utake kuzaa 7?
 
Mkuu tunaelewa lakini ukweli lazima tuongee tuwekeni unafki pembeni
Sasa ndo tutulie tuwe wasikivu, mwisho tuone ni jambo gani la kumshauri, kumsahihisha ikiwa ni pamoja na kujifunza
 
Aisee imeisha kuwa toxic relationship hiyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]pole Sana mkuu

Siku zote hao wanaume alikuwa nao alikuwa ana kuactia tu
 
26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119] Daahh nyieeeee
 
Anajenga nyumba huku mwenzie anajenga kwengine if ningekuwa Mimi ndiye yeye ile ml30 niliyompa ninge muambia ndio kianzio chake Cha maisha Sina mpango nae Tena na Mimi ningechukua 30 nyingine ningeendelea na maisha yangu
Bosi mapenzi ukisha zama, hata kufikiria tu kuachana nae miguu inakuishia nguvu, ukiwaza ndo milele raha atampa mtu mwingine basi homa inakuopanda unakosa hata hamu ya chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…