3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
Yaani mkuu mapicha picha yote hayo bado unadiriki kumuuliza tu ...wewe unadhani atakujibu Nini !? Kama sio kukuongopea !?19–Namuuliza huyu mtu ni nani na Jew alikuja hapa, anakataa kabisa anasema huyo mtu ni wa kijijini kwao,na ni bwana shamba wa kule sasa alipokuja hapa alitaka kumtembelea apajua nyumbani lakini akamkatalia
Ndio mtulie na wake zenu mpaka uzeeniKwakweli inabid tuwe makini sana.
Nimejifunza mengi sana kupitia yeye
Aisee [emoji16][emoji26]20-naendelea kumuuliza kuhusu huyo mtu lakini hakuna majibu yoyote, nilikuja kupata uhakika kweli yule mtu alikuja kabisa hapa nyumbani mwezi wa 11, baada ya kumpigia simu kwa kutumia namba nyingina,
Nikajitambulisha n
Akasema ni kweli alikuja ila hakukaa sana na Mama alimpa namba zangu zote ili akiona namba hizo asipokee au azi block,
Mwishowe akaniuliza swali tatanishi, eti hiyo nyumba na ya nani, nikamuuliza kwa nini unauliza hivyo, eti yeye ndio kajenga, nikamkatia simu.
Ni sawa ila tuzimudu hisia zetu, kaka mkubwa yupo kipindi kigumu
Wanaokuja na I'd mpya hawajiamini kama una shida yako njoo na I'd iliyozoelekaSi ndipo ID mpya zinapozaliwaga hapo.
[emoji16][emoji16]Hizi p2 sitaki hata kuzisikia nilimeza siku moja zilivyonitenda nikasema mimi tena nije kutumia p2 labda nizaliwe tena
Usijali kabisa my dear
Yeye si analea!? Wenzie wanakula kiulainiiii
Pengine akipata mtu akamchapa kofi moja zuri anaweza zinduka
Tulieni basi...acheni kupiga keleleHizi p2 sitaki hata kuzisikia nilimeza siku moja zilivyonitenda nikasema mimi tena nije kutumia p2 labda nizaliwe tena
Aisee...yani kama movie vile26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
Niache najua unataka kuuliza ni nini kilitokea[emoji16][emoji16]
Mkuu hebu fanya kuiandika yote kisha imwage hapa.26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
Nimekoma, kuchepuka sasa basi.Ndio mtulie na wake zenu mpaka uzeeni
Kweli kaka, maana ndo tupo nao sasa unafikiri tutafanyejeUkifuatilia utagundua wanaume wengi humu wanaelewa wakati alio nao huyu jamaa, wanawake wameshasoma mwisho wa story wanashangaa. Lazima tuwapongeze kwa kuona mbali, lakini pia tuelewe roho zao.
Wajukuu ni bahati sio kila mtu anabahatika kuwa na wajukuu akiwa na umri huo!Unaweza kuwa una miaka 35 mtoto wako wa kwanza ana mwaka mmoja ,je miaka 50 utakuwa unacheza na wajukuu?
Duuuhh aisee nimetamani nikutukane lakini nafsi imeniambia sio sawa ... Mkuu pole Sana Huyo mwanamke alijua kukuburuza aisee Mioyo Kama hiyo huwa mnaitoa wapi mbona sisi wengine hatuko hivyo [emoji26][emoji26]24- sep hiyo hiyo, sasa biashara anafanya juu kwa juu, akitoka kupakia mzigo anapitia huko huko kwenda kwao, Dar harudi,
Nikimpigia simu anakata na matusi juu,
Nikiwapigia ndugu zake anawatukana,
Na hapa kwangu anasema hakanyagi,
Naamua kumfuata huko polini, nilipofika nikampigiasimu tena, akapokea akasema keshaondoka huko, yupo kwao,
Nikamtumia boda boda ampigia simu amwambie kuwa ana mchele anauza,
Naye akamjibu katoka huko labda amuunganishr na mtu, akamwambia tena kwani upo wapi dada, akamtajia kijiji cha jirani
Nikaenda huko huko
Na ukome kweli mwanamke tofauti na mke wako anakuja kimaslahi zaidi wala hakupendi zikiisha utajua rangi zake zoteNimekoma, kuchepuka sasa basi.
Sindio hapo ... Labda waninyonge [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani unafikilia hatuna majanga yetu tunabaki nayo wenyewe
Eti nije jf niweke thread kutaka ushauri mimi huyu haitatokea hata siku moja
Kwakweli hii story inatisha,na idadi kubwa ya wanaochepuka wote mwisho unakuwa unafanana kama hivyo.Na ukome kweli mwanamke tofauti na mke wako anakuja kimaslahi zaidi wala hakupendi zikiisha utajua rangi zake zote