Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3

[emoji19][emoji27]
 
19–Namuuliza huyu mtu ni nani na Jew alikuja hapa, anakataa kabisa anasema huyo mtu ni wa kijijini kwao,na ni bwana shamba wa kule sasa alipokuja hapa alitaka kumtembelea apajua nyumbani lakini akamkatalia
Yaani mkuu mapicha picha yote hayo bado unadiriki kumuuliza tu ...wewe unadhani atakujibu Nini !? Kama sio kukuongopea !?
 
20-naendelea kumuuliza kuhusu huyo mtu lakini hakuna majibu yoyote, nilikuja kupata uhakika kweli yule mtu alikuja kabisa hapa nyumbani mwezi wa 11, baada ya kumpigia simu kwa kutumia namba nyingina,
Nikajitambulisha n
Akasema ni kweli alikuja ila hakukaa sana na Mama alimpa namba zangu zote ili akiona namba hizo asipokee au azi block,

Mwishowe akaniuliza swali tatanishi, eti hiyo nyumba na ya nani, nikamuuliza kwa nini unauliza hivyo, eti yeye ndio kajenga, nikamkatia simu.
Aisee [emoji16][emoji26]
 
26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
Aisee...yani kama movie vile
Sema huyo mwanamke alikuwa na akili ndogo sana
 
26, sep mwishoni,
Mahafari ya mtoto Dar ,
A
Nasikia kaja lakini kaenda moja kwa moja kwa rafiki,asubuki saa nne nipo, mala nawaona wanakuja, nilienda na rafiki yangu mmoja wa kazini,
Wanafika wote wananipita bila kunisalimia,
Mimi nawasalimu kimya,wamekuja na vyakula vya mtoto na keki,
Mkuu hebu fanya kuiandika yote kisha imwage hapa.
 
Ukifuatilia utagundua wanaume wengi humu wanaelewa wakati alio nao huyu jamaa, wanawake wameshasoma mwisho wa story wanashangaa. Lazima tuwapongeze kwa kuona mbali, lakini pia tuelewe roho zao.
Kweli kaka, maana ndo tupo nao sasa unafikiri tutafanyeje
 
Unaweza kuwa una miaka 35 mtoto wako wa kwanza ana mwaka mmoja ,je miaka 50 utakuwa unacheza na wajukuu?
Wajukuu ni bahati sio kila mtu anabahatika kuwa na wajukuu akiwa na umri huo!
Ila muda ni masaa ukisha chelewa huwezi rudisha nyuma ukiwa na miaka 50 na kuangaika na nyumba ndoko ni kujitafutia safari ya kaburi kwa speed ya SGR
 
24- sep hiyo hiyo, sasa biashara anafanya juu kwa juu, akitoka kupakia mzigo anapitia huko huko kwenda kwao, Dar harudi,
Nikimpigia simu anakata na matusi juu,
Nikiwapigia ndugu zake anawatukana,
Na hapa kwangu anasema hakanyagi,
Naamua kumfuata huko polini, nilipofika nikampigiasimu tena, akapokea akasema keshaondoka huko, yupo kwao,
Nikamtumia boda boda ampigia simu amwambie kuwa ana mchele anauza,
Naye akamjibu katoka huko labda amuunganishr na mtu, akamwambia tena kwani upo wapi dada, akamtajia kijiji cha jirani
Nikaenda huko huko
Duuuhh aisee nimetamani nikutukane lakini nafsi imeniambia sio sawa ... Mkuu pole Sana Huyo mwanamke alijua kukuburuza aisee Mioyo Kama hiyo huwa mnaitoa wapi mbona sisi wengine hatuko hivyo [emoji26][emoji26]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwani unafikilia hatuna majanga yetu tunabaki nayo wenyewe

Eti nije jf niweke thread kutaka ushauri mimi huyu haitatokea hata siku moja
Sindio hapo ... Labda waninyonge [emoji16][emoji16]

Matatizo yangu nitakomaa nayo Mimi mwenyewe till I die humu siyaleti ng'ooo
 
27- namwomba yule rafiki ajaribu amwambie nina maongezi naye lakini, anajibu sisi tumekuja kwa shughuli ya mtoto, nikamwomba basi naomba niongee na wewe,
Akasema lakini nikupe simu ya mzee ili alinipe ruhusu ya kuongea na wewe,

Yule rafiki yangu alinivuta shati kwa ghafla bila kutegemea,
Akaniambia tuondoke, ‘kumbe mwanamke mwenyewe ndio huyu, mbona yupo,(primitive sana) mmm yaani mke wangu Primitive, aliishia tu kuniambia yule sio mwanamke wa kunisumbua mimi, yaani sio hadhi yangu kabisa, kwamba ana mwonekano wa kishamba hasa, acha tabia yake.
 
Back
Top Bottom