Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Khhaaa! Ndicho ulichoambua[emoji15][emoji15]! Shetani shindwa, ashindwe na alegee [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mm sina jibu, naomba tu nisifahamu
 
Huyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,

Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Pole mkuu ushauri ni kwamba soma majibu na maandiko ya humu halafu chagua yanayokufaa
 
Mimi hata angenitambulishia wapi !.
Simjui kabisa..na mtu asije fanya ujinga wake huko akitegemea ataleta mtu kwangu eti anitambulishe..atasimulia kitakachompata.

Hii ni kwa wote,mume wangu na baba yangu.
 
Hajielewi, ndiyo maana hata wazazi wa bi mdogo wamemuona hivyo, hawahangaiki naye, wamemkalia kimya, hata huko mahakamani, polisi, majirani wote naamini wanamshangaa.
Na uhakika ushauri alishaupata huko kwenye vikao vyote ila hajaupokea!
Anataka kusikia bi mdogo akimwambia anampenda, anamtaka, anamhitaji!

Wanaume Mungu sometimes atutetee, baada ya shetani kutudhalilisha! Mzee anahitaji divine intervention, na psychological help kubwa SANA.

Kazama kwenye matope mazito, sijui quick sand!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hahaha mdogo wangu I can't you[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Sasa wazazi unataka wajishughulishe na wewe na akati sio mume halali? Wenyewe wanatakiwa kuangalia mechi inavoenda mwenye kisu kikali ndo mla nyama, mwanamke mwenye wanaume wengi huyo ni kahaba sio mke wa mtu unataka wasluhishe kwako na kwa wenzio pia?
 
Asiwatambulishe kwa sasa angojee hadi wajitambue maana Kwa sasa hawana msimamo, hawatakuwa na adabu kwa wakubwa zao maana Wana kiburi cha mama yao
 
Kaka ingawa na siye yametukuta... Lakini ushauri wangu kwako Ni mgumu Lakini wenye manufaa.. Mali Ni kitu Cha kupatikanika... Hapo hakuna suluhisho rahisi Tena Mwanamke akiamua ameamua Inabidi wanaume tukubali Hilo bila ya kuangalia kosa liko kwa Nani. Unachoweza Kufanya Sasa Ni kukubaliana ukweli mchungu. Kubali uuze hiyo Nyumba ambayo umesema huwezi kuvumilia kuona mwanaume mwingine anaofaidi. Uza gawa Mara nne sehemu yako yake na watoto hao wawili.. Kisha Rudi kwa unyenyekevu kwa Mkeo Mungu aliyokupa. Ulikosea Sana Kumwacha na kujiongezea huyo Bi Mdogo. Umesema utapa Pension ya kutosha. Usihangaike na huyo Mwanamke Tena . Naona wazi roho ya mauti inakunyemelea kwa ukaribu. Kama Siyo kifo Basi stroke ipo njiani. Kubali ulikosea na utulizane. Tena hapo kataka mwenyewe kukuacha imekurahisishia Sana. Atakuua huyo kumbuka anaishi na Muhuni anayeweza kuchoma watu visu.. Unajuaje kuwa wanapanga njama za kukumaliza ili warithi Hiyo Nyumba?? Bro Jiongeze hata hivyo inaonekana Mungu anakupenda Sana misukosuko yote Hi Bado unadunda.. Na Hela unapata. Tulia na Mkeo Mungu aliyokupa. Huko mbeleni Ni Kilio na kusaga Meno. Unaweza kuja kujikuta Bi Mkubwa naye akakuchoka kwa Sababu ya Hili akakuacha maana naona na Yeye Ni mvumilivu Sana. Achana na huyo Kahaba(Pole kwa Kumwita hivyo Lakini ndo ukweli) Be Blessed
 
Bi mkubwa alishajua, unajua jitihada za michepuko kujitambulisha wenyewe kwa kina mama mjengo eti alimuwekea chupi ya mtoto kwene bag🤣🤣🤣🤣🤣 ishu ya kupewa 120000 na watoto ilianzia apo
 
Uko vizuri mwanangu nakuamiani sana
 
Wewe ndo una kichaa kung'ang'ania mtu ambaye tayari ashakuonesha kila aina ya tendo kuwa hakuitaji
 
Hahaha mdogo wangu I can't you[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mimi nilishamwambia mama ishu kama hizo zisikusumbue kichwa kabisa..
Zikikupata wewe niletee halafu kaa pembeni.

Mamndenyi Kuna scenario ulielezea kwenye uzi fulani ,niliumia sana mama yangu.
Nilitamani ningekuwa mtoto wako japo kwa muda mchache tu!niwanyooshe wale wajinga.
 
Naomba nitag kwenye hiyo scenario ya aunt yangu
 
Mimi huyu sijamuonea huruma ni ujinga wake wanaume huwa Wana roho nyepesi ila hawakomi kuhangaika na ningekuwa mke wa ndoa namtenga na watoto afie mwenyewe huko. Huyu mzee kastaafu kiinua mgongo kimeisha na mchepuko umemkimbia ndio anashtuka na mbaya zaidi Hana mahusiano na mkewe mkubwa kwanini ahurumiwe kwa ushenzi wa kudhulumu familia Halali, Mimi namjua mstaafu mmoja wa ofisi ya Raisi mchepuko michafu imemufilisi Hana hata kumi na mke wa ndoa kamwacha hana hata ya kula. Mwanaume muendekeza michepuko ni laana na uzeeni huishia pabaya Bora hata mwanaume mnunua michepuko, sijui Wana akili gani loh
 
Hii story imenisikitisha sana.

Yaani mwanamkee umlee, umlishe ,umtunze halafu akuendeshe kama gari moshi.
Hivi mkuu wewe ni kabila gani mbona huu mlenda mlenda sana????

Yaani kwa maneno yako ulikuwa vizuri kifedha amekuendesha kama gari moshi jee ukistaafu? Sii atakuingiza kidole hadi matakoni.

Mtu anakutusi, dharau hadi kakupeleka kituoni wewe bado tu umekomaa nae au ni nguvu ya K ilikuwa inatumika .

Tatizo wewe ndio ulilitengeneza, ulikuwa unamjaza pesa sana. Ulikuwa unanunua penzi kutoka Kwake japo umeficha ,basi bora hata angekuwa mkee halali wa ndoa yaani mchepukoo ni wakuuza nyumba unamuingizia mamilioni kwenye account??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…